Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Ungefanikiwa kuiona picha alizotumiwa mdau ungezirai
 
laanatullahy

Laanatullahy
 
Hahahaha nimecheka kama mazuri binafsi hua najiuliza maswali mengi pia bila jibu yaani unapapasaje kalio la huyo mwanaume mwenzio maskini dah.
 
Hii thread ya ajabu sana. Mtoa mada kaweka topic mezani ili Watu tujadili. Na Kwenye mjadala kuna kuwa na opposing na proposing side.

Ila ukichangia opposite na mtoa mada unaitwa wewe ni shoga, unapapaswa makalio na matusi mengine kibao.
 
Hii thread ya ajabu sana. Mtoa mada kaweka topic mezani ili Watu tujadili. Na Kwenye mjadala kuna kuwa na opposing na proposing side.

Ila ukichangia opposite na mtoa mada unaitwa wewe ni shoga, unapapaswa makalio na matusi mengine kibao.
Mleta mada haungi mkono tabia hizo!kila ukiona humu jf mtu anakuja na kuwatetea basi ujue ndy wale wale!na kupitia Uzi huu mashoga wengine ambao wako jf tutawajua tu
 
Mleta mada haungi mkono tabia hizo!kila ukiona humu jf mtu anakuja na kuwatetea basi ujue ndy wale wale!na kupitia Uzi huu mashoga wengine ambao wako jf tutawajua tu

Sawa yupo Kwenye opposing side.
Kwa hiyo mtu haruhusiwi kupinga mawazo ya mleta mada?? Ukipinga basi wewe shoga!!! Let's be honest kila mtu ana mawazo yake na msimamo wake. Hata wewe kuna issues huwezi kubaliana nazo.
 
Sawa yupo Kwenye opposing side.
Kwa hiyo mtu haruhusiwi kupinga mawazo ya mleta mada?? Ukipinga basi wewe shoga!!! Let's be honest kila mtu ana mawazo yake na msimamo wake. Hata wewe kuna issues huwezi kubaliana nazo.
Ndo maana tumeshajua msimamo wako uko wapi,huwezi kua sehemu ambayo hauna furaha nayo,sehemu inayokuudhi,maadamu umeamua kuchagua upande huo kila la kheri.
 
sasa ni kwamba wanajiuza au wananakuwa na hamu tu ?

Wamegawanyika ila wengi wanafanya tu kwa hamu kwa vile washaanza huo mchezo na wakati mwengine wanakosa mashabiki wakuendelea nao katika huo ufuksa ndo wanabaki kuhaha kutafuta watu mpaka mitandaoni kutimiza haja zao Mungu atuepushe na huu mtihan maana niuupuzi mtupu mtu kukataa jinsi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…