Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Sure bro siki hizi binti wa kike akikuletea boyfriend shukuru Mungu pia maaana utashangaa wa kiume anaeza kukuletea boyfriend what will ya do ??

God forbid
6e21c7d75001aeea323d4f5d82a735bb.jpg
 
Usiseme wazungu sema vijana wameharibika kwa kuwafata wazungu
Hata hivyo wazungu hawana Makosa ni sawa na mzungu kutengeneza hela halafu laana zote zitokanazo na matatizo ya hela ukamtupia yeye!!Tatizo ni nchi zetu wenyewe kwa kuruhusu kila kitu ambacho kinafanywa ulaya kifanyike uku!!!Haya mambo hayajaanzia hapa toka B.C yalikuwepo biblia inaonesha Sodoma na Ghomora yalikuepo!!Unaweza ukazitafuta na kuone zipo bara lipi!!Wazungu kwa sababu wanalinda haki za binadam na kutetea haki zingine zilizokinyume na tamaduni zetu ndo maana wao wamefikia hali hiyo waliokua Nayo!! Dunia nzima hawa watu wenye disoders wapo useme wanafichwa na sheria Kali na misimamo mikali!!Nchi inayowasapot wanajitokeza kwa wingi wanatoka wapi ndo Iujue walikuepo wamejfcha!! Kuzuia hili serikali ni kuweka msimamo Mkali dhidi ya uvunjifu wa maadili!!

I wish mleta uzi angetuliza kichwa, akasoma hii post. Labda angeelewa kwa nini hakukuwa na sababu ya kuwashambulia wazungu kwa upumbavu wa kujitakia wa vijana wetu.
Kingine, ukileta mada while hutaki challenge toka kwa wanaojadili mada ni ujuha. Na sio kila anayepinga hoja ana elements za ushoga, grow up you faggots!!
 
I wish mleta uzi angetuliza kichwa, akasoma hii post. Labda angeelewa kwa nini hakukuwa na sababu ya kuwashambulia wazungu kwa upumbavu wa kujitakia wa vijana wetu.
Kingine, ukileta mada while hutaki challenge toka kwa wanaojadili mada ni ujuha. Na sio kila anayepinga hoja ana elements za ushoga, grow up you faggots!!
Kuna tatizo kubwa sana hapa!!
-Hii post unayotaka nitulize kichwa ili niisome imetokana na mimi kuweka post hii ni reply....sasa sijui ningeisomaje kabla?
-Always naweka post kupata mawazo mbadala!ni ujinga wa kiwango cha juu niweke post halafu nisitegeme kupata changamoto za upinzani, narudia kusema ni ujinga kwakuwa hatufanani mitazamo
-unajaribu kuonyesha udhaifu wa hii post na kuwashutumu wansowasakama mashoga kuwa wana tatizo lakini na wewe unashindwa kuwa na uvumilivu mpaka kufikia hatua ya kutoa matusi makubwa, umewaita faggots watu wenye mtazamo tofauti na wewe ...kuna shida kubwa hapa
Kwa kawaida ukiona mtu anafikia hatua ya kuleta matusi na kashfa kwenye mtazamo wa mwingine ujue huyo kapaniki mpaka kashindwa kuvumilia jua hicho kitu kimemuuma kupitiliza....! Unabaki na mshangao na kujiuliza ni hili tu kweli la kutetea au kuna lingine kubwa zaidi? ??
 
Kuna tatizo kubwa sana hapa!!
-Hii post unayotaka nitulize kichwa ili niisome imetokana na mimi kuweka post hii ni reply....sasa sijui ningeisomaje kabla?
-Always naweka post kupata mawazo mbadala!ni ujinga wa kiwango cha juu niweke post halafu nisitegeme kupata changamoto za upinzani, narudia kusema ni ujinga kwakuwa hatufanani mitazamo
-unajaribu kuonyesha udhaifu wa hii post na kuwashutumu wansowasakama mashoga kuwa wana tatizo lakini na wewe unashindwa kuwa na uvumilivu mpaka kufikia hatua ya kutoa matusi makubwa, umewaita faggots watu wenye mtazamo tofauti na wewe ...kuna shida kubwa hapa
Kwa kawaida ukiona mtu anafikia hatua ya kuleta matusi na kashfa kwenye mtazamo wa mwingine ujue huyo kapaniki mpaka kashindwa kuvumilia jua hicho kitu kimemuuma kupitiliza....! Unabaki na mshangao na kujiuliza ni hili tu kweli la kutetea au kuna lingine kubwa zaidi? ??
Sorry kwa kutumia neno zito. Na ujuwe hoja yangu wala haigusi ushoga coz najua ni choice yao, siwezi kuwazuia na maisha yao. Kwangu ni sawa na mtu anayejiuza, anayenunua makahaba, anayebadilisha wapenzi kila mara anayekula au kuliwa kinyume na maumbile kwa wanawake, mwizi, anayedhulumu wenzake...etc.
Ndugu mshana jr wewe ni msomaji, as per your topics, huwa unaleta controversial issues ambazo wengi wetu hata hatuzijui, mambo ya uchawi, ushirikina, kuzimu, vifo, vitu vya kuogofya nk. Huwa mada hizo kwangu sina arguments na wala siwezi kuzibishia chochote coz hayo mambo siyajui japo naamini ushirikina upo, uchawi upo lakini siwezi kuyafuata (kutokana na malezi ba imani yangu).
Tafadhali naomba unionyeshe toka kwenye source inayoeleweka;
-Chanzo cha ushoga.
-Wapi ulianzia.
Nipe maelezo, kwa nini leo tumlaumu mtu mmoja tu kwa tatizo hili wakati limeanza long time sana, likihusisha races tofauti?
FYI, I'm not gay, I don't advocate it but I don't give a damn about gays and their actions.
 
tunawaonea whiteman couz hata huko wapo wastaarabu wanaopinga hayo...akili yako mwenyewe ndo inayokupeleka huko na kupenda mteremko pia dini tumezikimbia na satan tumempa nafas kubwa
 
Sorry kwa kutumia neno zito. Na ujuwe hoja yangu wala haigusi ushoga coz najua ni choice yao, siwezi kuwazuia na maisha yao. Kwangu ni sawa na mtu anayejiuza, anayenunua makahaba, anayebadilisha wapenzi kila mara anayekula au kuliwa kinyume na maumbile kwa wanawake, mwizi, anayedhulumu wenzake...etc.
Ndugu mshana jr wewe ni msomaji, as per your topics, huwa unaleta controversial issues ambazo wengi wetu hata hatuzijui, mambo ya uchawi, ushirikina, kuzimu, vifo, vitu vya kuogofya nk. Huwa mada hizo kwangu sina arguments na wala siwezi kuzibishia chochote coz hayo mambo siyajui japo naamini ushirikina upo, uchawi upo lakini siwezi kuyafuata (kutokana na malezi ba imani yangu).
Tafadhali naomba unionyeshe toka kwenye source inayoeleweka;
-Chanzo cha ushoga.
-Wapi ulianzia.
Nipe maelezo, kwa nini leo tumlaumu mtu mmoja tu kwa tatizo hili wakati limeanza long time sana, likihusisha races tofauti?
FYI, I'm not gay, I don't advocate it but I don't give a damn about gays and their actions.
At least now we can have a constructive argument, kuepusha marudio hili nilishalijibu huko nyuma, ngoja niitafute ile reply nikutag
Nimefuatilia na kukuta nilishakujibu tena kwa kirefu tuu
 
watoto wetu wa kiume sijui hata tuwafiche wapi jamani,mbaya zaidi hawa mashoga sisi wanawake ndo tunaowasapoti na kuwapa company za outing badala tuwakemee. Mungu Tunusuru na watoto wa kiume.
 
watoto wetu wa kiume sijui hata tuwafiche wapi jamani,mbaya zaidi hawa mashoga sisi wanawake ndo tunaowasapoti na kuwapa company za outing badala tuwakemee. Mungu Tunusuru na watoto wa kiume.
mashoga wengi rafiki zao ni kinadada wanawakuwadia
 
At least now we can have a constructive argument, kuepusha marudio hili nilishalijibu huko nyuma, ngoja niitafute ile reply nikutag
Nimefuatilia na kukuta nilishakujibu tena kwa kirefu tuu
Ulishanijibu, lakini kuna kitu nilihitaji, sikuona jibu lako..Kumbuka argument yangu na wewe sio ushoga kama ushoga, bali kuwatupia lawama watu wengine kwa matatizo ya kishoga na mengine mengi tu...
Ukiwa na mda pitia hiyo...
ASIA : In East Asia, same-sex love has been referred to since the earliest recorded history. Besides, the founder (Andrew Leong) has name this relationship as 'duanbei' at 601BCE. Homosexuality in China, known as the pleasures of the bitten peach, the cut sleeve, or the southern custom, has been recorded since approximately 600 BCE

The earliest Western documents (in the form of literary works, art objects, and mythographic materials) concerning same-sex relationships are derived from ancient Greece.

MIDDLE EAST: There are a handful of accounts by Arab travelers to Europe during the mid-1800s. Two of these travelers, Rifa'ah al-Tahtawi and Muhammad sl-Saffar, show their surprise that the French sometimes deliberately mis-translated love poetry about a young boy, instead referring to a young female, to maintain their social norms and morals

AFRICA: Homosexuality in Ancient Egypt is a passionately disputed subject within Egyptology: historians and egyptologists alike debate what kind of view the Ancient Egyptians society fostered about homosexuality. Only a handful of direct hints have survived to this day and many possible indications are only vague and offer plenty of room for speculation. The best known case of possible homosexuality in Ancient Egypt is that of the two high officials Nyankh-Khnum and Khnum-hotep. Both men lived and served under pharaoh Niuserre during the 5th Dynasty (c. 2494–2345 BC).

The thing is, gay relationship is as old as history, it has roots going back centuries. Bahati mbaya sana, it has involved many races across continents. So, branding whites as the source of homosexuality and its widespread kwangu naona tunaficha uso huku kiwiliwili chote kikionekana.
 
Ulishanijibu, lakini kuna kitu nilihitaji, sikuona jibu lako..Kumbuka argument yangu na wewe sio ushoga kama ushoga, bali kuwatupia lawama watu wengine kwa matatizo ya kishoga na mengine mengi tu...
Ukiwa na mda pitia hiyo...
ASIA : In East Asia, same-sex love has been referred to since the earliest recorded history. Besides, the founder (Andrew Leong) has name this relationship as 'duanbei' at 601BCE. Homosexuality in China, known as the pleasures of the bitten peach, the cut sleeve, or the southern custom, has been recorded since approximately 600 BCE

The earliest Western documents (in the form of literary works, art objects, and mythographic materials) concerning same-sex relationships are derived from ancient Greece.

MIDDLE EAST: There are a handful of accounts by Arab travelers to Europe during the mid-1800s. Two of these travelers, Rifa'ah al-Tahtawi and Muhammad sl-Saffar, show their surprise that the French sometimes deliberately mis-translated love poetry about a young boy, instead referring to a young female, to maintain their social norms and morals

AFRICA: Homosexuality in Ancient Egypt is a passionately disputed subject within Egyptology: historians and egyptologists alike debate what kind of view the Ancient Egyptians society fostered about homosexuality. Only a handful of direct hints have survived to this day and many possible indications are only vague and offer plenty of room for speculation. The best known case of possible homosexuality in Ancient Egypt is that of the two high officials Nyankh-Khnum and Khnum-hotep. Both men lived and served under pharaoh Niuserre during the 5th Dynasty (c. 2494–2345 BC).

The thing is, gay relationship is as old as history, it has roots going back centuries. Bahati mbaya sana, it has involved many races across continents. So, branding whites as the source of homosexuality and its widespread kwangu naona tunaficha uso huku kiwiliwili chote kikionekana.
Point yako ilikuwa ni kwanini wasingiziwe wazungu? Nikalijibu hilo! Hii nyingine unataka kujua chanzo na asili ya ushoga....! Hili tuliache kwanza hii ni topic nyingine inayojitegemea panapo Majaliwa (sio Kassim) nitaileta hapa
 
Kuna tatizo kubwa sana hapa!!
-Hii post unayotaka nitulize kichwa ili niisome imetokana na mimi kuweka post hii ni reply....sasa sijui ningeisomaje kabla?
-Always naweka post kupata mawazo mbadala!ni ujinga wa kiwango cha juu niweke post halafu nisitegeme kupata changamoto za upinzani, narudia kusema ni ujinga kwakuwa hatufanani mitazamo
-unajaribu kuonyesha udhaifu wa hii post na kuwashutumu wansowasakama mashoga kuwa wana tatizo lakini na wewe unashindwa kuwa na uvumilivu mpaka kufikia hatua ya kutoa matusi makubwa, umewaita faggots watu wenye mtazamo tofauti na wewe ...kuna shida kubwa hapa
Kwa kawaida ukiona mtu anafikia hatua ya kuleta matusi na kashfa kwenye mtazamo wa mwingine ujue huyo kapaniki mpaka kashindwa kuvumilia jua hicho kitu kimemuuma kupitiliza....! Unabaki na mshangao na kujiuliza ni hili tu kweli la kutetea au kuna lingine kubwa zaidi? ??
Kwa jinsi nilvokua nikiisoma nilijua mwishoni unaweza kumkurupushia tus! BT umekua mstaarab had mwisho
 
Sorry kwa kutumia neno zito. Na ujuwe hoja yangu wala haigusi ushoga coz najua ni choice yao, siwezi kuwazuia na maisha yao. Kwangu ni sawa na mtu anayejiuza, anayenunua makahaba, anayebadilisha wapenzi kila mara anayekula au kuliwa kinyume na maumbile kwa wanawake, mwizi, anayedhulumu wenzake...etc.
Ndugu mshana jr wewe ni msomaji, as per your topics, huwa unaleta controversial issues ambazo wengi wetu hata hatuzijui, mambo ya uchawi, ushirikina, kuzimu, vifo, vitu vya kuogofya nk. Huwa mada hizo kwangu sina arguments na wala siwezi kuzibishia chochote coz hayo mambo siyajui japo naamini ushirikina upo, uchawi upo lakini siwezi kuyafuata (kutokana na malezi ba imani yangu).
Tafadhali naomba unionyeshe toka kwenye source inayoeleweka;
-Chanzo cha ushoga.
-Wapi ulianzia.
Nipe maelezo, kwa nini leo tumlaumu mtu mmoja tu kwa tatizo hili wakati limeanza long time sana, likihusisha races tofauti?
FYI, I'm not gay, I don't advocate it but I don't give a damn about gays and their actions.
Mi simlaum mleta maada coz ni moja ya ishu ya kujadili!! Lakini nlikua nadhani kwenye hoja nitakutana na post za kisomi kidogo za watu wene uelewa wanaoweza kuchambua mambo vizuri labda kama kunasabab ya kibaologia,kijamii au kigenetikia ,prevalence na mengineyo!! Lakin wengi wanarushiana maneno tu
 
Kwa jinsi nilvokua nikiisoma nilijua mwishoni unaweza kumkurupushia tus! BT umekua mstaarab had mwisho
Hapana tukianza ligi ya matusi tutapoteza mwelekeo wa mada pia si vema kutoa lugha za matusi ni dalili ya kuishiwa hoja hekima na busara japo kuna kupitiwa
 
Haina haja ya kupanic, Ila mkae mkijua matumbo yaliyowabeba miezi tisa yanawalilia, Mama zenu walipitia kipindi kigumu mno Na hata wakavushwa na Ile roho ya waaguzi wenye roho mbaya ikawaepuka hatimaye ukazaliwa kijana Wa kiume familia ikafurahi Leo hiii uanaume wako uko wapi? Kweli umekua wakupapasa Na kupapaswa kalio Na mwanaume mwenzio? Oooh hebu kua Na hofu.
Dada usipoteze muda na huyo mtu unaweza kuta wakati unamalizia hii post yako nae ndo kwanza katoka bafuni kuoga baada ya kubandul..wa. Mie namwachia mungu.
 
Back
Top Bottom