Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Hii thread ya ajabu sana. Mtoa mada kaweka topic mezani ili Watu tujadili. Na Kwenye mjadala kuna kuwa na opposing na proposing side.

Ila ukichangia opposite na mtoa mada unaitwa wewe ni shoga, unapapaswa makalio na matusi mengine kibao.
Wwe msenge acha blah blah
 
Ndo maana tumeshajua msimamo wako uko wapi,huwezi kua sehemu ambayo hauna furaha nayo,sehemu inayokuudhi,maadamu umeamua kuchagua upande huo kila la kheri.

What are you saying lady??
Be serious. Unamfahamu HUGH HEFNER?? He is a big Advocate of gay rights, is he gay ??
 
Barrack Obama is an advocate of same sex marriage is he gay??
Usikute wanao muunga mkono mtoa mada ndio mashoga wanajificha kujidai kumuunga mkono mshana jr
 
ac412600c0593a1fbaa930735731ae9e.jpg
naweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie
Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie
Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile
bc8edd11b145bc63a9c83b21c2465055.jpg

Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan
Vijana wa kiume kubusiana hadharani
Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo
Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike
Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike
Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk
Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja
6abb0b33340a8ad552147e17d6cc3878.jpg

Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana
Usiseme wazungu sema vijana wameharibika kwa kuwafata wazungu
Hata hivyo wazungu hawana Makosa ni sawa na mzungu kutengeneza hela halafu laana zote zitokanazo na matatizo ya hela ukamtupia yeye!!Tatizo ni nchi zetu wenyewe kwa kuruhusu kila kitu ambacho kinafanywa ulaya kifanyike uku!!!Haya mambo hayajaanzia hapa toka B.C yalikuwepo biblia inaonesha Sodoma na Ghomora yalikuepo!!Unaweza ukazitafuta na kuone zipo bara lipi!!Wazungu kwa sababu wanalinda haki za binadam na kutetea haki zingine zilizokinyume na tamaduni zetu ndo maana wao wamefikia hali hiyo waliokua Nayo!! Dunia nzima hawa watu wenye disoders wapo useme wanafichwa na sheria Kali na misimamo mikali!!Nchi inayowasapot wanajitokeza kwa wingi wanatoka wapi ndo ujue walikuepo wamejfcha!! Kuzuia hili serikali ni kuweka msimamo Mkali dhidi ya uvunjifu wa maadili!!
 
waafrika wakisikia neno shoga, vichwani mwao picha inakuja ya mwanaume aliyepaka lipstick! tehh tehh i am not sure if homosexuallity is all about lipsticks, skirts, and make ups! mashoga mnaishi nao kila siku wengine ni wadogo zenu na hamuwajui... by the way hao mnaowazungumzia hapa ni transgender sio homosexuals!! kuna tofauti kubwa sana kati ya transgender na homosexual.... transgender is an individual who feels being trapped in a wrong body, not necessarily being a homosexual!!!.
Ndo maana utasikia kunamtu anabanduliwa na wala hajawahi vaa vitu vya kikee!!
 
Usiseme wazungu sema vijana wameharibika kwa kuwafata wazungu
Hata hivyo wazungu hawana Makosa ni sawa na mzungu kutengeneza hela halafu laana zote zitokanazo na matatizo ya hela ukamtupia yeye!!Tatizo ni nchi zetu wenyewe kwa kuruhusu kila kitu ambacho kinafanywa ulaya kifanyike uku!!!Haya mambo hayajaanzia hapa toka B.C yalikuwepo biblia inaonesha Sodoma na Ghomora yalikuepo!!Unaweza ukazitafuta na kuone zipo bara lipi!!Wazungu kwa sababu wanalinda haki za binadam na kutetea haki zingine zilizokinyume na tamaduni zetu ndo maana wao wamefikia hali hiyo waliokua Nayo!! Dunia nzima hawa watu wenye disoders wapo useme wanafichwa na sheria Kali na misimamo mikali!!Nchi inayowasapot wanajitokeza kwa wingi wanatoka wapi ndo ujue walikuepo wamejfcha!! Kuzuia hili serikali ni kuweka msimamo Mkali dhidi ya uvunjifu wa maadili!!

Mkuu nakubaliana na wewe kwa upande mmoja kwamba hawa Watu wapo na walikuwepo. Sio kweli kwamba tabia hii imeletwa na wazungu wao ni kwamba wapo mstari wa mbele kutetea haki za hawa jamaa.

Pili ni kweli kwamba tendo hilo lipo kinyume na utamaduni wa kiafrika. Ila tusisahau kuwa tamaduni zetu hazipo perfect 100%. Kuna mambo mengi tamaduni zetu zinatetea ila sio kwamba ni sawa na ni haki. Kwa hio tukubaliane kuwa kuna sehemu pia tamaduni zetu zimechemka.

Tatu kupitisha sheria za nchii sio suluhishi. Kuna sheria za nchii ambazo zinapitishwa ila ni sheria za ukandamizaji, unyanuasaji na uonevu.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwa upande mmoja kwamba hawa Watu wapo na walikuwepo. Sio kweli kwamba tabia hii imeletwa na wazungu wao ni kwamba wapo mstari wa mbele kutetea haki za hawa jamaa.

Pili ni kweli kwamba tendo hilo lipo kinyume na utamaduni wa kiafrika. Ila tusisahau kuwa tamaduni zetu hazipo perfect 100%. Kuna mambo mengi tamaduni zetu zinatetea ila sio kwamba ni sawa na ni haki. Kwa hio tukubaliane kuwa kuna sehemu pia tamaduni zetu zimechemka.

Tatu kupitisha sheria za nchii sio suluhishi. Kuna sheria za nchii ambazo zinapitishwa ila ni sheria za ukandamizaji, unyanuasaji na uonevu.
Nashukuru kwakua unachambua kwa marefu na mapana
 
nimesikia mmoja anamawazo ya kuua mashoga ili waishe.
teh teh teh
sijui ni nini hiki?
ni sawa na fisadi lowasa anapogeuzwa malaika na silaha yaa kuwang'oa mafisadi makuu ya ccm.
only in the dark continent.
i'm freaking convinced to pressupose that Africa is still under evolution.[/QUOTE
It is your flushed brain that need to evolve to see the light not the enlightened.
 
Sure bro siki hizi binti wa kike akikuletea boyfriend shukuru Mungu pia maaana utashangaa wa kiume anaeza kukuletea boyfriend what will ya do ??

God forbid
 
Mleta mada haungi mkono tabia hizo!kila ukiona humu jf mtu anakuja na kuwatetea basi ujue ndy wale wale!na kupitia Uzi huu mashoga wengine ambao wako jf tutawajua tu
Usikariri Mkuu kunawengine wanapinga vikali kumbe ndo wenyewe na wengine wanawatetea lakini siyo!!Mara nyingi Ndiyo siyo na Siyo ndiyo
 
Back
Top Bottom