Na wanawake wapigwe ban kufanya kazi ya kuuza K**..Iwe haki kwa wote wauza K** na 0717..Hahahaa...kaazi kweli kweli.
I mean, watu wanafanya ushoga kwa hiari yao halafu wa kulaumiwa wanakuwa wazungu.
Halafu, mtu kama kaamua kwa hiari yake kuwa shoga....kwa nini wengine wahemuke?
Wanawaonea wivu hao mashoga au? Wanatamani wao ndo wangekuwa wanaliwa tigo?
Sioni kwa nini nijishughulishe na mapenzi ya mwingine kuliwa tigo.
Tigo ni yake, maisha ni yake, uamuzi ni wake.
Tatizo liko wapi?
Sawa ni haki ya mtu kupenda, sasa je mtu akipenda akupumulie wewe? Utakubali maana ukikataa tayari utakuwa umemnyima haki mwenzako
Haya kama umemaliza Chapa lapa manake umekuja na spidi 180 mahali pasipohitaji hata spidi 20
Hizi kejeli ni mambo ya kawaida sana kwenye nyuzi kama hizi...ni sawa na kumwambia mtu akalie chuma cha moto bila taarifa always reaction huwa kama yako! Atakuita majina yote mabaya na kukukejeli kadiri awezavyo ila kwakuwa unakuwa tayari ushajua ni kwanini inabaki tu kuenjoy the trending
Nimekuelewa mkuu.Hii ni mantiki nyepesi sana.
Suala la kupendana ni la hiari na si shurti.
Kwa hiyo ishu hapo linahusisha pande mbili zilizoridhiana.
Kama watu wawili wameridhia wawe wapenzi, wewe yanakuhusu nini?
Huna wako?
Hahhahahaaaa caught in action! Why so much reaction!hoja inajibiwa kwa hoja sio vijembe na kejeli haya tuwaachie kina asha ndalandefuHuna hoja.
Umechemka.
Rudi tu kwenye mambo yako ya kichawi chawi.
Au na huko huwa unawalaumu wazungu?
Junya kweli wewe.
Sawa ni haki ya mtu kupenda, sasa je mtu akipenda akupumulie wewe? Utakubali maana ukikataa tayari utakuwa umemnyima haki mwenzako
Ok I got itAm straight na najiamini.
Afu wew utakuwa Mdau wa Mombasa si bure-Wacha ki swanglishshould flushed out of our society wewe ni nani?
ulikuja na society hapa duniani?
au kuna mtu ulizaliwa nae?
eti our society?
una hati miliki ya society wewe?
au wewe ni chief fulani unaye-control maisha ya watu.
akili kama hizi ndio mana mmeshindwa kuwatoa mafisadi maCCM madarakani.
Hahhahahaaaa caught in action! Why so much reaction!hoja inajibiwa kwa hoja sio vijembe na kejeli haya tuwaachie kina asha ndalandefu
At least sasa umeacha yale maneno ya kipuuzi...hii ni social media hakuna haja ya vijembe na kejeli na kuleta u much know! Tunatofautiana mitazamo na si lazima mtazamo wangu wewe uukubali au niukubali wa kwako! Tubishane kwa hoja na ukiona ni upuuzi unapotezea kwakuwa forum sio moja tuThere you go!
You are really in your element when it comes to imagining things.
At least sasa umeacha yale maneno ya kipuuzi...hii ni social media hakuna haja ya vijembe na kejeli na kuleta u much know! Tunatofautiana mitazamo na si lazima mtazamo wangu wewe uukubali au niukubali wa kwako! Tubishane kwa hoja na ukiona ni upuuzi unapotezea kwakuwa forum sio moja tu
Hebu tufungue macho, type uzoefu wako katika hili mkuu, unaonyesha una kitu cha kusema juu ya hii tabia ya homosexualteh teh inabidi nicheke tu.
hamuelewi mnaloliongea.
Mungu wangu.
Laana kubwa hii!!!
Pole mkuu, inawezekana unalazimisha samaki atembee nchi kavuAt least sasa umeacha yale maneno ya kipuuzi...hii ni social media hakuna haja ya vijembe na kejeli na kuleta u much know! Tunatofautiana mitazamo na si lazima mtazamo wangu wewe uukubali au niukubali wa kwako! Tubishane kwa hoja na ukiona ni upuuzi unapotezea kwakuwa forum sio moja tu