Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

sasa nyie viumbe mnaelewa hata mnaloongea kweli?? hao transgender wanazaliwa wako hivyo wana tabia za kike, wengie mpaka wanaota matiti na hips.... mnapowalaumu siwatofautishi na wazungu wanapoichukia ngozi nyeusi!!! hao sio mashoga ni transgender na transgender sio lazima awe shoga!!! mashoga na mabasha mnaishi nao huko majumbani na hamtawajua ng'oooo!! mtabaki kung'ang'ana na transgenders ambao kimsingi hawakupenda wawe vile.
Hapo kidogo naunga mkono ya kuwa kuna wale wanazaliwa na tabia za kike or kiume like tom boys, mostly hawawi mashoga au wasagaji, hii ya ushoga unakuta ni dume rijali kabisa ila sababu cjui ya pessa ama nini basi anakuwa chakula.. Loo [emoji87]
 
Kwa wote ni dhambi kubwa na laana kwani lile tundu ni maalum kwa kutolea mbolea na sio vinginevyo na ndio maana hata mbegu za mwanaume zikiingia pale hazitengenezi mtoto.
Ni kweli mkuu hilo tundu kazi yake ni kutoa na sio kupokea, watu wana miss use vitu bhana...sawa na wakazi wa kisarawe vijijini walijengewa vyoo vya kisasa na world vission badala ya kufunika kujisaidia wao wakaziba tundu wakahamia chooni kuishi
 
hata nikikwambia mimi ni shoga, hilo litasaidia nini?
au utanifanya nini?
naweza nikawa shoga, na naweza nikawa straight.
yote yanawezekana.
so whats the big deal over there?
or how much are going to earn from that?
siku ukizaa mtoto ndembe ndembe utayakumbuka maneno yangu, utayasaka kwa udi na uvumba ujiliwaze nafsi.
tema mate chini na umuombe mungu.
Plz hayo maombi yako yasifike kwangu yaekekeze huko huko kwa Mshana aliyewachokoza mimi simo.
 
Samahani mkuu,
Naomba maana ya TRANSGENDER.

Mkuu transgender ni Watu ambao hawapo comfortable na their original gender( jinsia) au sex. Hivyo ukakuta mtu kazaliwa mwanaume ila akajihisi mwanamke na akawa anavaa nguo za kike na hata kujipodoa.. Vile vile mtu akazaliwa mwanamke ila akawa anataka kuwa mwanaume. Wengine hufikia hadi hatua ya kubadili their miili ili wawe gender au sex nyingine( implants, corrective surgeries, sexual transplants etc) ikifikia hatua hio huitwa transsexual
 
Eeh Yesu linda uzao wa tumbo langu na kizazi changu chote. Amen
Kwanini usiseme uzao wa tumbo la wanawake wote yaani na wenzio?

Kwanini usiseme vizazi vyetu sote? Huyo Yesu si alileta amri yake ya Upendo? Mbona we mbinafsi?
 
you always put your blames on white men, why?
kuna mzungu aliyewalazimisha mfanye/wafanye hivyo?
kila binadamu ana utashi.
so if you choose to imitate something usimlaumu mwingine.
Donard Cameroon, alisema nchi ambayo hawatapitisha shria ya kupumuliana watanyimwa misaada, kama sijakosea Ghana walinyimwa msaada
 
Ma vyuon wamejaa sana sasa iv,wengn mpk wanawalipa wanaume ili wawafumue,watu wazima wanaume wamekimbilia kwenye huu mchezo!
Hivi hayo mavi huwa wanafanyaje yasiharibu chumba. Mimi takuja kuua hivihivi mchana kweupe cc Magufuri na ubabe wako mtaninyoga soon.
 
Mkuu transgender ni Watu ambao hawapo comfortable na their original gender( jinsia) au sex. Hivyo ukakuta mtu kazaliwa mwanaume ila akajihisi mwanamke na akawa anavaa nguo za kike na hata kujipodoa.. Vile vile mtu akazaliwa mwanamke ila akawa anataka kuwa mwanaume. Wengine hufikia hadi hatua ya kubadili their miili ili wawe gender au sex nyingine( implants, corrective surgeries, sexual transplants etc) ikifikia hatua hio huitwa transsexual

Thank u kwa kunifafanulia,
Nimeshangaa yule aliyesema eti wamezaliwa hivyo, hawakuomba kua hivyo,

Kumbe wameamua kujibadilisha wenyewe kwa matamanio yao.
 
nadhani mngerudi darasani mpewe somo kuhusu sexuallity.
kuna tops, versatiles, na bottoms.
sasa sijajui mtawaua akina nani miongoni mwa hao.
Mkuu hebu nieleweshe hayo majina yanawakilisha nini: Top, bottom na versatiles?
 
Wewe isijekuwa unatangaza biashara yako huku ukijifanya una huruma.
 
ni kweli hata tamthiliya zinazopendwa mara nyingi wanaweka part za ushoga kuonyesha ni jambo la kawaida
 
Ungejua hizi sio picha za udhalilishaji usingeandika haya kuna picha hazifai hata kuangalia mara mbili na wamejipiga wenyewe na kuzisambaza wenyewe. ..Omba ruhusa ya mods niziweke hapa uone
Weka tu mshana wakikupiga ban tutakuombea msamaha mimi hawa watu huwa siwamalizi na akili zao
 
should flushed out of our society wewe ni nani?
ulikuja na society hapa duniani?
au kuna mtu ulizaliwa nae?
eti our society?
una hati miliki ya society wewe?
au wewe ni chief fulani unaye-control maisha ya watu.
akili kama hizi ndio mana mmeshindwa kuwatoa mafisadi maCCM madarakani.
Mkuu kila rakheri na viungo vyako.
 
Back
Top Bottom