Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Hivi mnajua Tanzania tumeshakubali ushoga??serikali imeridhia ushoga!!wikimbili zilizo pita global fund walikuwa nakongamano hapo Dar jina la hotel nimesahau ila very soon nta kuja npost ya yaliyo jiri katika kongamano hilo lililo husisha vijana wetu kuanzia miaka 18 nawadau mbalimbali wa maswala ya ukimwi na issue kuu ilikuwa kujadiri ushoga na maswala ya HIV pia kuna testimony zilitolewa na kijana wetu shoga!!pia jhpiego nawana mradi wa kuwahudumia mashoga na kufanya study ya hali ya ushoga hapa kwetu imeteuwa mikoa ya njombe,dar,shinyanga,Kilimanjaro very soon ntaleta hiyo post!!pia ngos za ukimwi hapa home pia zimepewa conditions na hawa donor kuongeza gays relationship jutambulika katika makundi maalum ya wanao hitaji Huduma ikiwa pamoja na watoto na kinamama!!
 
Mshana Jr.

Pole sana kwa mashambulizi. Ni lazima kwa kiasi kikubwa wazungu walaumiwe. Kwa sababu wana advocacy gay. Wao wanasema kuna watu wamezaliwa hivyo. This is a total lie. Hakuna mtu anazaliwa msenge, wala Malaya wala jambazi. Haya mambo huwa yanakuwa introduced na mazingira aliyoishi mtu.

Wazungu wameshalegalise same sex marriage. Hakuna nchi afrika wameshalegalise.

Sinema zao kwa mfano series ya EMPIRE kwenye almost 70 per cent wanaonyesha same sex sexual scenes.

Hawa wanaotetea ushoga nyuma ya key board. Inawezekana ni mashoga lakini wana act kwamba sio. Kama ni kitu kizuri kwanini wajikatae.

Ukitetea ushoga maana yake ni kwamba ukiwa na mwanao wa kiume akikuletea basha nyumbani utampongeza kwa kutumia neno sexual orientation.

Siungi mkono ushoga wala mwanaume kumla tigo mwanamke. Na sasa kuna NGO ya kimarekani hapa bongo inatoa KY jelly kwa mashoga free of charge ili wakafanye vizuri. So wicked.

Kama wewe ni mwanaume na unataka mwanaume mwenzako akuingie. Acha basi kupiga kelele ili tujue unafanywa. Jifungie chumbani kwako na basha lako. We don't need to know.
 
Conflicting statements, hupendi wanaume wanaojipamba kama wanawake the same time huna tatizo na mashoga, wewe ni shoga full stop. Mtunze tu mumeo.
Sawa na kusema hapendi harufu ya kinyesi lakini supu ya utumbo anakula
 
Hahahaa...kaazi kweli kweli.

I mean, watu wanafanya ushoga kwa hiari yao halafu wa kulaumiwa wanakuwa wazungu.

Halafu, mtu kama kaamua kwa hiari yake kuwa shoga....kwa nini wengine wahemuke?

Wanawaonea wivu hao mashoga au? Wanatamani wao ndo wangekuwa wanaliwa tigo?

Sioni kwa nini nijishughulishe na mapenzi ya mwingine kuliwa tigo.

Tigo ni yake, maisha ni yake, uamuzi ni wake.

Tatizo liko wapi?
Ikatokea mtoto wako wakiume kawa shoga kwa hiari yake tu utachukuliaje? Ndio tigo ni yake sawa
 
Inasikitisha sana hasa tulip na watoto wadogo. Natafakari sijui niiharibu TV ili wasiwe wanaona baadhi ya move za ajabu au niwapeleke wakakae parokiani kwa mapadri na masister. Mapadri nao baadhi si waadirifu. Duhh mungu wewe ndo mwamuzi.
Me namawazo mpaka basi sijui kuna king'amuzi cha watoto tu na mi mzazi niwe naangalia nao huku nikimfundisha kwa upole kuliko dunia kumchanganya .. Mungu atusaidie kwa kweli
 
Duh! Ila kuna njemba zinamoyo, yan unambinua man mwenzio na unaziona kengele zikining'inia still unapiga show aisee!
 
Wewe umempenda unaempenda bila kuchaguliwa na kuonewA , kwa nini wewe unataka umchagulie mwenzako wa kumpenda. Acha hizo jomba. Ishi maisha yako acha kuingilia wenzako
Acha kulalama na uache huo ujinga. Kwani nani kakuambia anataka kukuchagulia mke/mume? Kinachohitajika ni chaguo sahihi and that is opposite sex and not some madness you are trying to justify. Do this and nobody will ever bother you.
 
should flushed out of our society wewe ni nani?
ulikuja na society hapa duniani?
au kuna mtu ulizaliwa nae?
eti our society?
una hati miliki ya society wewe?
au wewe ni chief fulani unaye-control maisha ya watu.
akili kama hizi ndio mana mmeshindwa kuwatoa mafisadi maCCM madarakani.

Hata mimi kuna wakati niliwachukia sana transgenders kwa kufikiri ni gays na hao gays ndio sikutaka hata kuwasikia. Ila badae nikakumbuka wakati tunasoma primary kuna mwenzetu kwa kweli alikuwa trapped in a wrong body. He was a boy on the outside but a whole different gender inside na alikuwa akicheza na watoto wa kike

Na mama yangu pia aliwahi nisimulia kuwa wakati wanasoma, tena girls school kuna mwenzao ilibidi apewe chumba peke yake maana she had a penis. Hapo nikaanza kufikiri upya kuwa mambo mengine ni hormonal na wanaopatwa na kadhia hizo hawana control nazo.

Hakuna haja ya kuwatenga ni kujifunza tu namna ya kuishi nao
 
Acha kulalama na uache huo ujinga. Kwani nani kakuambia anataka kukuchagulia mke/mume? Kinachohitajika ni chaguo sahihi and that is opposite sex and not some madness you are trying to justify. Do this and nobody will ever bother you.

What do you mean chaguo sahihi??

Unaweza kuchagua huyo opposite sex na ukawa ume boogy step

Who are you kumchagulia mtu kwamba lazima apendane na opposite sex??

Kwani tigo ni yako ? Watu wamekubaliana wenyewe let them be.
 
Hii "blame game" alianza nayo Adam kule bustanini. Naona tunaiendeleza bila sababu...
...tuliletewa dini za kimagharibi na mashariki ya kati, tulipinga lakini mwisho tukakubali kuwa WAKRISTO NA WAISLAMU SAFI!! Je, tuna uhakika gani kama hizi dini ni genuine?

Baada ya "kufumbuliwa macho" kwa dini hizi, bado tunazidi kupokea mambo mengi tu ya kimagharibi na wala hatujiulizi. Mfano mzuri, tunatumia teknolojia nzuri za mashoga na wafiraji kila siku, lakini sioni mtu anayehoji kwa nini. Leo hii umeshika simu ya IPhone ya kisasa kabisa, HTC, Windows phone etc, ambazo zote hizi zimetengenezwa na watu wasijali kuhusu haya yanayotupa wasiwasi, mbona hatukatai kutumia teknolojia za magari, simu, ndege ambazo kwa uhakika zinatokana na watu wenye mrengo wa kishoga?
Tusiwe ndumilakuwili na wala hatuna sababu ya "kuwachukia" mashoga na wenye tabia za kishoga coz tunafurahia kutumia vitu vilivyotengenezwa na mashoga...
Mbona basi hatujiulizi huu utamaduni wa kuwala wanawake kinyume, kwani huo sio ushoga? Au wao wanastahili kuharibiwa mazingira yao na maumbile yao? Double standard sio kitu kizuri. Tulikubali kuwa watu wa kupokea bila kutafakari, it's too late now.
 
Back
Top Bottom