Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Am glad u got me[emoji5] , actually am trying to learn kimalkia, it's not my mother tang, am practicing, thanks at least ua understanding me, this means am progressing [emoji12], but wacha kutetea hao mapunga, unless ua one of them.

Kwa hio wanaotetea haki za wanyama ni wanyama pia au wanaotetea haki za watoto ni watoto
 
Kuna watu nimewashangaa sana hapa wamenishutumu kuwa nimeweka picha za kudhalilisha wahusika, OMG! Ama kweli ukipenda chongo utaona kengeza, hizo picha wahusika wamejipiga na kuzisambaza mitandaoni wenyewe mimi kuziweka hapa nikaonekana nawadhalilisha
Inawezekana neno kudhalilisha lina tafsiri nyingi
Ukiona hivo ujue hao ndo mashoga au watumiaji wa mashoga mana hata anayetetea haki za wanyama lazima atakuwa anafuga wanyama
 
Wanaotetea ushoga lzma nao ni mashoga uwezi kua mwanaume wa kweli afu unatetea ushoga kwangu big no

Mkuu Nina uhakika unakubaliana na haki za watoto. Wanahitaji malezi mema, elimu, upendo nk. Jee hii inamaanisha wewe ni mtoto. Au unapotetea miti isikatwe kiholela hii haikuganyi kuwa mti. Hata unapotetea haki za wanyama hii haikufanyi kuwa mnyama. Pia mtu anapotetea haki za mapenzi ya jinsia moja haimaanishi kwamba ni shoga Bali anatambua kuwa kila mtu ana haki ya kumpenda mtu anayetaka yeye. Hii ni haki kwa kila binaadamu. Wewe umempenda uliye mchagua na yeye kwa nini asimpende aliyemchagu??
 
Kwa hio wanaotetea haki za wanyama ni wanyama pia au wanaotetea haki za watoto ni watoto
Jaribu kutofautisha logic hizi mbili haki za watoto na haki za mashoga
Mashoga wote once walikuwa watoto lakini si watoto wote once walikuwa mashoga
 
Jaribu kutofautisha logic hizi mbili haki za watoto na haki za mashoga
Mashoga wote once walikuwa watoto lakini si watoto wote once walikuwa mashoga
Sasa mshana jr kwahiyo baadhi ya wazungu waliopinga slavery wakati wa ukoloni pia walikuwa waafrika au slaves pia? Nafikiri wanaotetea mashoga ni jukumu lao as along ushoga is not a criminal act. Wangetetea wanaolala na watoto wadogo au wanaobaka tungekuwa na haki ya kuwashtumu.
 
Sasa mshana jr kwahiyo baadhi ya wazungu waliopinga slavery wakati wa ukoloni pia walikuwa waafrika au slaves pia? Nafikiri wanaotetea mashoga ni jukumu lao as along ushoga is not a criminal act. Wangetetea wanaolala na watoto wadogo au wanaobaka tungekuwa na haki ya kuwashtumu.
Naomba kwanza unipe maoni mtazamo na msimamo wako kuhusu mashoga na kama ni jambo jema katika jamii
 
Mkuu Nina uhakika unakubaliana na haki za watoto. Wanahitaji malezi mema, elimu, upendo nk. Jee hii inamaanisha wewe ni mtoto. Au unapotetea miti isikatwe kiholela hii haikuganyi kuwa mti. Hata unapotetea haki za wanyama hii haikufanyi kuwa mnyama. Pia mtu anapotetea haki za mapenzi ya jinsia moja haimaanishi kwamba ni shoga Bali anatambua kuwa kila mtu ana haki ya kumpenda mtu anayetaka yeye. Hii ni haki kwa kila binaadamu. Wewe umempenda uliye mchagua na yeye kwa nini asimpende aliyemchagu??
Mifano yako ya kitoto sana haina maana ya kueleweka kabisa wwe choko
 
Sioni sababu ya kutoa msimamo wangu as long its not a criminal act kwa sheria za nchi sina sababu ya kijishughulisha na hoja ya kulaani au kusapport.
 
Jaribu kutofautisha logic hizi mbili haki za watoto na haki za mashoga
Mashoga wote once walikuwa watoto lakini si watoto wote once walikuwa mashoga

UmeelewA nilichokiandika lakini mkuu??
Sio kila anayetetea mapenzi ya jinsia moja ni shoga.
Kwa hio wakili anaemtetea muuaji ili na yeye apate haki zake Ina maana na huyo wakili ni muuaji??
Acha chuki na wivu Mkuu.
Tigo sio yako sasa inakuhusu nini? wao wamekubaliana wenyewe.
Acha ubaguzi pia.
 
wakiambiwa mashoga, wanakimbilia kuleta vipicha vya wanaume waliovaa sketi.
teh teh teh
mashoga mnaishi nao humo mavyumbani na hamtawajua ng'oo!
mtabaki kupambana na transgenders tu!
na halafu nani kawaambia kuwa transgender ni lazima uote matiti?
aisee huu upumbafu wa watu wenye ngozi nyeusi mbona ni mzigo!!!
yani kweli mwanaume mzima na mapumb*u yako umesimama dede kushupalia mambo yasiyokuhusu!!!
hivi mashoga wanawanyima nini?
chakula?
au oxygen?
mngekuwa mnapambana hivi na mafisadi ya ccm,
aisee tungefika mbali.
Relax uongee kwa kituo huna haja ya kulipuka na kuhemka kiasi hiki picha zilizopo ni kiwakilishi cha zana nzima ya ushoga na mashoga
Unapojaribu kujikinga kwa matusi na kejeli ni kiashiria kibaya kuwa kuna shida mahali, huwezi ukawa unajua kuliko wengine kwahiyo relax na changia kwa hoja
 
UmeelewA nilichokiandika lakini mkuu??
Sio kila anayetetea mapenzi ya jinsia moja ni shoga.
Kwa hio wakili anaemtetea muuaji ili na yeye apate haki zake Ina maana na huyo wakili ni muuaji??
Acha chuki na wivu Mkuu.
Tigo sio yako sasa inakuhusu nini? wao wamekubaliana wenyewe.
Acha ubaguzi pia.
Unajaribu kuwa na hoja inayojadilika shida inakuja pale unapochombeza kwa vijineno vya kipuuzi...hebu tujadili hoja kwa hekima na heshima bila mipasho kejeli na vijembe sote ni wanaume
 
Sioni sababu ya kutoa msimamo wangu as long its not a criminal act kwa sheria za nchi sina sababu ya kijishughulisha na hoja ya kulaani au kusapport.
Basi hata post zako zinakuwa non n void
 
Hao ni virusi katika jamii,ni vyema waondolewe na kuwapa adhabu kali ili watu wakome kuwaiga
 
Back
Top Bottom