above metal04
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 272
- 224
Siku zote ukweli huuma, ufiraji Na ufirwaji si matendo mema nakusihii kwa Upendo acha.
Na wewe naye ndio wale wale wa kuita Watu mashoga kisa tu hatukubaliani na hoja ya mleta mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote ukweli huuma, ufiraji Na ufirwaji si matendo mema nakusihii kwa Upendo acha.
Kama sio shoga unanufaika na nini kutetea matendo ya kishoga?Here we go again!!!
Dada Mimi sio shoga na sijawaza kuwa shoga.
Ila nashangazwa na watu ambao wana lalamika na kitu ambacho wanafanya wengine tena kwa hiari yao.
Sasa hayo matumbo unayoskia wewe yakilia sijui haTa niseme nini. Labda ushauri : nenda hospitali kapime akili kama unaskia matumbo yanalia.
Na yeye ni chakula tu huyo, huoni anatetea?Ni kwa vile hauhusiani na jinsia mbili zinazofanana BTW ni vema ukaweka maslahi yako kwenye hili tuweze kufahamiana vema
Sioni logic Kwenye swali lakoKama sio shoga unanufaika na nini kutetea matendo ya kishoga?
Wewe unatetea mapenzi ya jinsia tofauti, je una nufaika wanapofanya tendo la ndoa?Kama sio shoga unanufaika na nini kutetea matendo ya kishoga?
Usiliite tendo la ndoa hilo ni tendo la kishenzi anyway uamuzi ni wako lakini sio vizuri kabisa mwanaume Na uanaume wako kuolewa.Sioni logic Kwenye swali lako
Wewe unanufaika nini mtu na mke wake , mtu na dem wake wanapo fanya tendo la ndoa. Watu wameridhaiana shauri zao
Offcouse nanufaika kwa sababu ndo mpango Wa Mungu Mme aoe mke? Na hatimaye mtoto azaliwe unafikiri Baba yako angeolewa ungepatikana?Wewe unatetea mapenzi ya jinsia tofauti, je una nufaika wanapofanya tendo la ndoa?
Ndio maana nauliza hizi akili au matope??Usiliite tendo la ndoa hilo ni tendo la kishenzi anyway uamuzi ni wako lakini sio vizuri kabisa mwanaume Na uanaume wako kuolewa.
Offcouse nanufaika kwa sababu ndo mpango Wa Mungu Mme aoe mke? Na hatimaye mtoto azaliwe unafikiri Baba yako angeolewa ungepatikana?
Kuna mashoga wenye familia kabisa ila hawajionyeshi wana mali wana nyadhifa serikalini wana heshima kwenye jamii...huyo ni mmojawapoKuna jamaa hapa mjini ni maarufu sana nanitajir tu...cku moja alikuwa amekaa dukan kwake Mimi nilikuwa na rafiki yangu wa kiume..tukaingia pale kufanya shopng, Huyo boss akatoka nje akamuita huyo rafki yangu akamuomba no yake ya simu akampa, tulivyo maliza manunuz tukaondoka, jamaa kafika om boss kampigia simu kamuomba wakutane WK end anamazungumzo nayy, basi imefika wkend wakakutana ,boss katoa million 2 kamkabiz rafki yangu kamwambia we nikijana unaeweza kufanya kaz yangu naomba unibandue tigo me nitakutunza hapa mjin na usimwambie mtu yeyote..rafk yangu akakataa ndiyo akajakunisimulia ...sa swali langu n hili uyu boss na yy n shoga? Na ndo maana nimeuliza shoga n nan?
Nimekuelewa kaka yangu haya mambo n hatarMmh Ulishawahi wanaume rijali wamelala hivyo? Hiyo picha nimeichomoa toka mtandao wa mashoga
Ndio,wanawalazimisha waafrika kushiriki mapenzi ya jinsia moja kwa masharti ya kuendelea kupewa misaada.you always put your blames on white men, why?
kuna mzungu aliyewalazimisha mfanye/wafanye hivyo?
kila binadamu ana utashi.
so if you choose to imitate something usimlaumu mwingine.
Wewe umelazimishwa?? Au kuna mtanzania unamfahamu amelazimishwa?? Au ni sheria wanaomba zipitishwe zinazo halalalisha ndoa za jinsia mojaNdio,wanawalazimisha waafrika kushiriki mapenzi ya jinsia moja kwa masharti ya kuendelea kupewa misaada.
Ushoga na usagaji hauna nafasi katika jamii za Kiafrika. Acha kutetea upuuzi kalume kenge wewehalafu mtu anaposema tunalazimishwa tuwe mashoga anamaanisha nini?
tunalazimishwa tuwe mashoga??
teh teh teh hizi ngozi nyeusi hizi!! eti unafrican culture??
kwi kwi kwi kwi
mashoga walikuwepo, wapo, na wataendelea kuwepo bila hata hao wazungu!
hivi mnadhani hao mashoga wanapenda kuchukiwa, kutukanwa, kuchekwa, na kudharauliwa kwasababu ya ushoga wao?
mnadhani wanalifurahia hilo?
mnawaonea sana hawa ndugu zetu, hamjui ni machungu kiasi gani mnaowasababishia!!
ni ngumu sana kunielewa hili, unless uwe na uwezo wa kupambanua mambo, au uwe shoga!!
vinginevyo ligi zenu na mashoga hazitaisha mpaka yesu anarudi.