Dogo ebu kafanyie hiyo biashara yako uswahilini ama vijijini huko uje na mrejesho
Why umesema uswailini na vijijini na sio sehemu nyingine?
Na ukiangalia kwa makini hizo sehemu wanaishi jamii masikini.
Ina maana unamaaisha uchawi hauapply kwa matajiri na sehemu zilizoendelea?
Umejicontradict mwenyewe.
Now nijibu hayo maswali au kutokujibu nahitimisha ulichoandika ni fallacy, fantasy na opinions hivyo hujui ulichoandika
Tanzania nzima karibu asilimia 70 ni masikini ambao wanaishi vijijini na mijini ambako ndio uswahilini sasa sijui unazungumzia kufanya hiyo biashara wapi labda marekani.
Sio vizuri kuweka mambo private hapa ila familia yangu imekuwa ikifanya biashara Tanzania kwa almost 40 years na hakuna siku wamekwenda kwa mganga wala hakuna anayezungumzia uchawi.
And believe me biashara zinazidi kusimama sababu tuna elimu ya biashara.
Hivyo najua na kuelewa ninachokiandika sijakurupuka.
So ulichoandika ni hundred percent nonsense na ni uwongo pia ni fallacy na opinions hivyo in infinity years haziwezi kuwa facts.
Yani we unatukana kabisa na kusema wanaoamini uchawi ni wajinga? Dogo unapotea alafu watu kama nyie mkiingia 18 za wachawi hamchomokagi kirahisi.
Mkuu ukweli siku zote unauma.
Na nilichoandika ni ukweli na ndo maana mwishoni nimemalizia na neno Fact.
Mimi sijamtukana mtu au onyesha wapi nimekutukana wewe.
Au utazidi kuprove kwamba ulichoandika ni nonsense.
Na unajua nini? Mchawi huwa anapenda wajinga kama wewe wasioamini uchawi upo, ili anapokupiga usigundue.
Uko sahihi mwaka wa 16 huu duniani bado sijagundua chochote.
Kama wanakuroga then hugundui kama wamekuroga sasa kwanini au kuna faida gani ya kukuroga?
Hapo tayari umejicontradict.
Na hiyo ni proof tosha hakuna uchawi na ulichoandika ni full of nonsense.
Now jibu hayo maswali.