Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Ngoja nikujibu vizuri maana kuna mdau analalamika kwamba wewe ni mbishi sana.

Mzungu ni mtu au watu waliosambaza dini ya ukristo sehemu mbalimbali Duniani japo kuna sehemu walikwama kama China, India nk

Islael ndo taifa ambalo Mzungu ametokea kiuasilia kabisa.

Sasa unaweza kuuliza maswali mengine kama unayo!
Usinge mjibu mkuu huyu anafanya maksudi kila kitu analeta ubishi dawa ni kukaushia tu
 
Kupitia mzazi wake ile connection.
Umeme haupenyi kwenye plastic ni lzm asili ya chuma iwepo.
Kama mtu haamini uchawi, halogeki. Ndivyo unavyoamini, hayo masuala ya mzazi yametoka wapi?

Kwa hiyo Kama mzazi haamini uchawi na mwanae anaamini, kwanini wachawi wasimwangalie mzazi ili washindwe kumloga au kinyume chake?

Ni hivi hao wasoamini uchawi ndo wanalogeka kirahisi.
 
Dogo ebu kafanyie hiyo biashara yako uswahilini ama vijijini huko uje na mrejesho.

Yani we unatukana kabisa na kusema wanaoamini uchawi ni wajinga? Dogo unapotea alafu watu kama nyie mkiingia 18 za wachawi hamchomokagi kirahisi.

Na unajua nini? Mchawi huwa anapenda wajinga kama wewe wasioamini uchawi upo, ili anapokupiga usigundue.
Mkuu uko Too emotional mpaka ulichoandika kimegeuka fallacy considering ni opinion na sio fact.

Leta facts na sio opinions hizo story za vijiweni ili kutishana peleka kwa watoto wenye 5yrs duniani.

Now Prove uwepo wa uchawi...?

I can prove hakuna uchawi.
 
Wabongo wanaloga kisiri Siri, wenzetu uchawi unaheshimika.

Ni taaluma Kama taaluma nyingine.

Watu wanasoma mpaka wanahitimu na wanaajiliwa na wengine wanajiajiri.

Wenzetu wanatumia uchawi kufanya maendeleo makubwa Sana nchini mwao.
images-25.jpg
images-27.jpg
images-26.jpg
 
Mkuu uko Too emotional mpaka ulichoandika kimegeuka fallacy considering ni opinion na sio fact.

Leta facts na sio opinions hizo story za vijiweni ili kutishana peleka kwa watoto wenye 5yrs duniani.

Now Prove uwepo wa uchawi...?

I can prove hakuna uchawi.
Sawa, hakuna uchawi.
Unazungumzia story za vijiweni, na hufaham lifestyle yangu.

Zunguka dunia Dogo, we bado mtoto...

Hata habari ya yule Mama aliyejifungua kuku haijakuelimisha, inaonekana.
 
Dogo ebu kafanyie hiyo biashara yako uswahilini ama vijijini huko uje na mrejesho
Why umesema uswailini na vijijini na sio sehemu nyingine?
Na ukiangalia kwa makini hizo sehemu wanaishi jamii masikini.
Ina maana unamaaisha uchawi hauapply kwa matajiri na sehemu zilizoendelea?

Umejicontradict mwenyewe.
Now nijibu hayo maswali au kutokujibu nahitimisha ulichoandika ni fallacy, fantasy na opinions hivyo hujui ulichoandika


Tanzania nzima karibu asilimia 70 ni masikini ambao wanaishi vijijini na mijini ambako ndio uswahilini sasa sijui unazungumzia kufanya hiyo biashara wapi labda marekani.
Sio vizuri kuweka mambo private hapa ila familia yangu imekuwa ikifanya biashara Tanzania kwa almost 40 years na hakuna siku wamekwenda kwa mganga wala hakuna anayezungumzia uchawi.
And believe me biashara zinazidi kusimama sababu tuna elimu ya biashara.
Hivyo najua na kuelewa ninachokiandika sijakurupuka.

So ulichoandika ni hundred percent nonsense na ni uwongo pia ni fallacy na opinions hivyo in infinity years haziwezi kuwa facts.
Yani we unatukana kabisa na kusema wanaoamini uchawi ni wajinga? Dogo unapotea alafu watu kama nyie mkiingia 18 za wachawi hamchomokagi kirahisi.
Mkuu ukweli siku zote unauma.

Na nilichoandika ni ukweli na ndo maana mwishoni nimemalizia na neno Fact.

Mimi sijamtukana mtu au onyesha wapi nimekutukana wewe.

Au utazidi kuprove kwamba ulichoandika ni nonsense.
Na unajua nini? Mchawi huwa anapenda wajinga kama wewe wasioamini uchawi upo, ili anapokupiga usigundue.
Uko sahihi mwaka wa 16 huu duniani bado sijagundua chochote.

Kama wanakuroga then hugundui kama wamekuroga sasa kwanini au kuna faida gani ya kukuroga?

Hapo tayari umejicontradict.

Na hiyo ni proof tosha hakuna uchawi na ulichoandika ni full of nonsense.

Now jibu hayo maswali.
 
Why umesema uswailini na vijijini na sio sehemu nyingine?
Na ukiangalia kwa makini hizo sehemu wanaishi jamii masikini.
Ina maana unamaaisha uchawi hauapply kwa matajiri na sehemu zilizoendelea?

Umejicontradict mwenyewe.
Now nijibu hayo maswali au kutokujibu nahitimisha ulichoandika ni fallacy, fantasy na opinions hivyo hujui ulichoandika


Tanzania nzima karibu asilimia 70 ni masikini ambao wanaishi vijijini na mijini ambako ndio uswahilini sasa sijui unazungumzia kufanya hiyo biashara wapi labda marekani.
Sio vizuri kuweka mambo private hapa ila familia yangu imekuwa ikifanya biashara Tanzania kwa almost 40 years na hakuna siku wamekwenda kwa mganga wala hakuna anayezungumzia uchawi.
And believe me biashara zinazidi kusimama sababu tuna elimu ya biashara.
Hivyo najua na kuelewa ninachokiandika sijakurupuka.

So ulichoandika ni hundred percent nonsense na ni uwongo pia ni fallacy na opinions hivyo in infinity years haziwezi kuwa facts.

Mkuu ukweli siku zote unauma.

Na nilichoandika ni ukweli na ndo maana mwishoni nimemalizia na neno Fact.

Mimi sijamtukana mtu au onyesha wapi nimekutukana wewe.

Au utazidi kuprove kwamba ulichoandika ni nonsense.

Uko sahihi mwaka wa 16 huu duniani bado sijagundua chochote.

Kama wanakuroga then hugundui kama wamekuroga sasa kwanini au kuna faida gani ya kukuroga?

Hapo tayari umejicontradict.

Na hiyo ni proof tosha hakuna uchawi na ulichoandika ni full of nonsense.

Now jibu hayo maswali.
Dogo Nina kazi nyingi sio kubishana humu.

Unaweza kueleza kwa hiyo unayodai elimu yako Binadamu-Mwanamke anawezaje kuzaa kuku?
Wakati mwingine jifunze kukaa kimya Kama huna uhakika!

Unadai biashara za familia, we unajua misingi ya hizo biashara?

Ukipata muda nenda tu hata Mgodi wa Mirerani kakae hata mwezi mmoja ujue dunia.
 
Sawa, hakuna uchawi.
Unazungumzia story za vijiweni, na hufaham lifestyle yangu.

Zunguka dunia Dogo, we bado mtoto...

Hata habari ya yule Mama aliyejifungua kuku haijakuelimisha, inaonekana.
Usilete story na emotions kwenye mada.

Nijibu
Unaweza kuprove uwepo wa uchawi?

Ukitaka kujua mtu aliyekurupuka au asiyejua anachokiongelea ni kumuuliza maswali then ashindwe kujibu.
Kushindwa kujibu maswali yangu ni proof tosha hujui ulichoandika au huwezi kujibu opinions as facts sababu zimeegemea perspective.

Hivyo unaleta emotions na self defense ili kufifisha mada.

Jibu hayo maswali.

Pia mimi jf hatuitani dogo sababu hatujuani.
 
Biashara zao ni ubora wa bidhaa na huduma. Tz biashara haziendi kwa kuwa umasikini umezidi, watu hawana pesa za kutumia. Nchi zilizoendelea kuna ajira na kupelekea watu wengi kuwa na uwezo wa kufanya manunuzi, hivyo biashara zinashamiri.
HAYO MAUZA UZA PELEKA KIJIWENI MKADANGANYANE UCHAWI UPO DUNIA NZIMA TOKA ENZI YA NABII MUSA NA MUHAMMAD NYIE MMETOKA WAPI NA MBWEMBWE ZENU REJEA MATUKIO YA AJALI NK UTAJUA KUNA KITU AU HAKUNA
 
Usilete story na emotions kwenye mada.

Nijibu
Unaweza kuprove uwepo wa uchawi?

Ukitaka kujua mtu aliyekurupuka au asiyejua anachokiongelea ni kumuuliza maswali then ashindwe kujibu.
Kushindwa kujibu maswali yangu ni proof tosha hujui ulichoandika au huwezi kujibu opinions as facts sababu zimeegemea perspective.

Hivyo unaleta emotions na self defense ili kufifisha mada.

Jibu hayo maswali.

Pia mimi jf hatuitani dogo sababu hatujuani.
CONCRETE EVINCE YA UJINGA WAKO KAMUULIZE YULE MAMA ALIYEZAA KUKU JE ALILALWA NA KUKU AU ILIKUWAJE AZAE KUKU? POINT ZINGINE NI ZA KIPUMBAVU MSIWE MLETA HUKU KAMA HUNA LA KUSEMA KAA KIMYA .
 
Usilete story na emotions kwenye mada.

Nijibu
Unaweza kuprove uwepo wa uchawi?

Ukitaka kujua mtu aliyekurupuka au asiyejua anachokiongelea ni kumuuliza maswali then ashindwe kujibu.
Kushindwa kujibu maswali yangu ni proof tosha hujui ulichoandika au huwezi kujibu opinions as facts sababu zimeegemea perspective.

Hivyo unaleta emotions na self defense ili kufifisha mada.

Jibu hayo maswali.

Pia mimi jf hatuitani dogo sababu hatujuani.
Dogo mpaka sasa 80% nahisi we ni MCHAWI, maana mtu huumia pale anapoambiwa ukweli.
 
Dogo Nina kazi nyingi sio kubishana humu.
Who cares bytheway?

Wewe ndiye uliyeanza kuniquote.
Kama kweli ungekuwa unajali muda wako then usingeniquote.

Au ulidhani ni dustbin brain inayochukua na kuamini au kukubali kila inachoambiwa.
Dogo Nina kazi nyingi sio kubishana humu.

Unaweza kueleza kwa hiyo unayodai elimu yako Binadamu-Mwanamke anawezaje kuzaa kuku?
Wakati mwingine jifunze kukaa kimya Kama huna uhakika!

Unadai biashara za familia, we unajua misingi ya hizo biashara?

Ukipata muda nenda tu hata Mgodi wa Mirerani kakae hata mwezi mmoja ujue dunia.
Still unaleta emotions na excuses za kitoto.

Kama ulikuwa huwezi kutetea hoja zako then usingeniquote.

Nimekutana na watu wa aina yako wengi sana.
Mtu ukipinga opinions zake ubongo wake una take as personally attack hivyo unajaribu kuweka self defense ili mtu huyo asijihisi inferior ila ukweli utabaki palepale.
Na ndio sababu kuweka personally excuse kama ""Dogo Nina kazi nyingi sio kubishana humu""

na hiyo ni kwa watu ambao akili zao ni changa.

Hicho ndicho ninachokiona kwako.


Mkuu jibu yale maswali au admit huwezi kuyajibu.
 
Dogo mpaka sasa 80% nahisi we ni MCHAWI, maana mtu huumia pale anapoambiwa ukweli.
Hahah nilijua lazima ufike huku si unaona wewe mwenyewe ulichoandika?

Ndio maana nikasema
Nimekutana na watu wa aina yako wengi sana.
Mtu ukipinga opinions zake ubongo wake una take as personally attack hivyo unajaribu kuweka self defense ili mtu huyo asijihisi inferior badala ya kutumia hoja na facts kumjibu mtu huyo.
ila ukweli utabaki palepale kuwa yeye ni inferior.

Na ndio sababu ya kuweka personally excuse kama""Dogo Nina kazi nyingi sio kubishana humu""

Au brain kuanza kuweka self defense ambapo ni pamoja na kumuattack mtu huyo personally like this
Dogo mpaka sasa 80% nahisi we ni MCHAWI, maana mtu huumia pale anapoambiwa ukweli
And I think utaendelea kuniattack personally instead ya kutumia hoja na facts.

na hiyo ni kwa watu ambao akili zao ni changa.

Mkuu nijibu maswali yangu or just admit it huwezi kujibu maswali yangu juu ya ulichokiandika mwenyewe na hiyo ni proof hujui ulichokiandika.

Hivyo ulichoandika ni fallacy, fantasy na opinions hivyo hujui ulichoandika and you're hundred percent wrong.
 
Yaani wazungu wachawi balaa nakumbuka Kaka yangu mpendwa alikuwa narafiki yake mkongo miaka ya 1998 huko wanauza vinyago vilivyotumika katika uchawi naushirikina bei ilikuwa nzuri na moja katika biashara iliyompelekea Kaka kuanza kutajirika ni hii.

Wananunua vinyamkera vinyago kwa waganga, wazee wa jadi na kwengineko na kuwauzia wazungu kutoka Ufaransa na hao wazungu walivyokuwa nyoko ukienda kuchonga kinyago kipya au kinunua hakija tumika katika mambo ya ushirikina au mambo ya jadi hawanunui.

Wazungu wachawi kwenye kila sekta usikute wanatupita hata sisi wa Afrika.
Hiyo sasa kali
 
Hyo teenager umempendelea, huyu bado ako stage ya infant, hakuna anachojua duniani , anaropoka upuuzi tu.
Mwengine ni wewe mkuu.

Ndio maana nikasema
Nimekutana na watu wa aina yako wengi sana.
Mtu ukipinga opinions zake ubongo wake una take as personally attack hivyo unajaribu kuweka self defense ili mtu huyo asijihisi inferior badala ya kutumia hoja na facts kumjibu mtu huyo.
ila ukweli utabaki palepale kuwa yeye ni inferior na ni small minded.

Na hivyo brain kuanza kuweka self defense ambapo moja wapo ni kumuattack mtu huyo personally.

Kama ulivyofanya hapa
Hyo teenager umempendelea, huyu bado ako stage ya infant, hakuna anachojua duniani , anaropoka upuuzi tu
And i think utaendelea kuniattack personally instead ya kutumia hoja na facts ili kunipinga.

Na hiyo ni kwa watu wenye akili changa haijarishi una umri gani.

Hiyo ni proof tosha niko sahihi 100%.
Sababu wote mmeshindwa kupinga instead mnatukana tu.
 
CONCRETE EVINCE YA UJINGA WAKO KAMUULIZE YULE MAMA ALIYEZAA KUKU JE ALILALWA NA KUKU AU ILIKUWAJE AZAE KUKU? POINT ZINGINE NI ZA KIPUMBAVU MSIWE MLETA HUKU KAMA HUNA LA KUSEMA KAA KIMYA .
To be honest you're too emotional.

Second sijaelewa ulichokiandika.

But it seems like wewe ndio walewale.
 
Back
Top Bottom