Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Habari zenu wakuu.

Moja kwa moja naomba niende moja moja kwenye mada.

Naomba kuuliza hivi wazungu nao urogani katika small scale yani man to man? Diasporas naomba mtusaidie hili.

Habari zao za Ushirikiana tunazozile kubwa kubwa kama Freemason, Blue Order nk.

Maana kinachoonekana nikuwa wazungu wanatu-feed habari njema tu kuhusu wao:

Mara.....

[emoji831] Wamekuja na technologia mpya
[emoji831] Mara ooh watugawia misaada mbali mbali
[emoji831] And blah blah blah
Ni large scale mkuu, small scale ni huku Africa.
 
Inawezekana walipoleta dini kuna "chenji kota" tulipigwa

Aliyeitwa shetani ndiye Mungu na Mungu wakamwita shetani

Haimithiliki shetani awe msaada kuliko Mungu
Mungu hutupa sisi wanadamu wenye subira bureeee kabisa lakini shetani hana cha mambo ya bure kabisa yeye atakupa kwa haraka sana lakini utalipia kwa njia anayoijua yeye
 
Wanachokifanya hawa watu ni kujiaminisha kuwa hakuna uchawi,hilo tukio naona kila ukimuuliza analikwepa kulijadili. Hata mie nashangaa maana watu tumeshuhudia matukio mengi ya kichawi na wengine tulikuwa tunapoteza ndugu zetu yani kila mwaka anaangushwa mtu hadi tipokuja kushtukia halafu anakuja mtu anakwambia hakuna uchawi hadi unajiuliza huyu mtu anaishi sayari gani?

Nina rafiki yangu alikuwa kafungwa asifanye jambo lolote la mafanikio kwake,yani akipata kazi anapandisha majini kazini full fujo akirudishwa home anakuwa sawa ikitokea safari ya kwenda nje majini yanaanza hapo yani hatari.ila sasa kapona fresh.
Wanaosema hakuna uchawi either ndio wachawi wenyewe ama kalogwa hata hajitambui maana akijitambua atafunguka. Uchawi upo hata biblia imeandika.
 
Dogo ebu kafanyie hiyo biashara yako uswahilini ama vijijini huko uje na mrejesho.

Yani we unatukana kabisa na kusema wanaoamini uchawi ni wajinga? Dogo unapotea alafu watu kama nyie mkiingia 18 za wachawi hamchomokagi kirahisi.

Na unajua nini? Mchawi huwa anapenda wajinga kama wewe wasioamini uchawi upo, ili anapokupiga usigundue.
Mchawi ni nani?

Jibu kinagaubaga...usilete story za Alfu lela Ulela

Karibu,
 
Tuna safari ndefu sana

Karne hii ya 21 bado kuna watu wanamitazamo kama hii?
usitudanganye. Mwongo weye!
Uchawi upo mfano mzuri ni mimi hapa Tena nilikuwa mchawi kufuru. Hapa Kuna mambo 3. Km hivi...

1. Km unasema hivo
Wewe huna mvuto ktk ulimwengu wa wachawi Utaamini haupo. so uko sahihi.

2.km unaamini haupo basi na Mungu hayupo! Biblia inajua na imetaja uchawi. ... Pia

3.Wachawi ni wanafiki sana kwa asili km unavojifanya. Inawezekana pia unakula nyama za watu.tangu utotoni
Sifa kubwa za sisi wachawi ni unafiki tu baasi.sasa unawapotezea watu humu jf. Tuliyoyafanya enzi za uchawi mpaka leo yanaonekana.
 
usitudanganye. Mwongo weye!
Uchawi upo mfano mzuri ni mimi hapa Tena nilikuwa mchawi kufuru. Hapa Kuna mambo 3. Km hivi...

1. Km unasema hivo
Wewe huna mvuto ktk ulimwengu wa wachawi Utaamini haupo. so uko sahihi.

2.km unaamini haupo basi na Mungu hayupo! Biblia inajua na imetaja uchawi. ... Pia

3.Wachawi ni wanafiki sana kwa asili km unavojifanya. Inawezekana pia unakula nyama za watu.tangu utotoni
Sifa kubwa za sisi wachawi ni unafiki tu baasi.sasa unawapotezea watu humu jf. Tuliyoyafanya enzi za uchawi mpaka leo yanaonekana.
Thibitisha uchawi upo
 
usitudanganye. Mwongo weye!
Uchawi upo mfano mzuri ni mimi hapa Tena nilikuwa mchawi kufuru. Hapa Kuna mambo 3. Km hivi...

1. Km unasema hivo
Wewe huna mvuto ktk ulimwengu wa wachawi Utaamini haupo. so uko sahihi.

2.km unaamini haupo basi na Mungu hayupo! Biblia inajua na imetaja uchawi. ... Pia

3.Wachawi ni wanafiki sana kwa asili km unavojifanya. Inawezekana pia unakula nyama za watu.tangu utotoni
Sifa kubwa za sisi wachawi ni unafiki tu baasi.sasa unawapotezea watu humu jf. Tuliyoyafanya enzi za uchawi mpaka leo yanaonekana.
Mkuu umesema kweli, ndio sababu niliishia kumwambia Teenager kwamba huenda yeye ni mchawi ndo sababu anapinga Kama uchawi upo.
 
Utakuta haka kanakoandika hapa Ni ka graduate kametenga matako kwenye Kochi la familia halafu kanajikuta kanaijua dunia kiask Cha ku-conclude HAKUNA UCHAWI.

AJIONAE ANAJUA KUMBE HAJUI LOLOTE
Baelezee Baba mkuru vijinga sana hivi. Vitoto vimegraduate kwa. gia za kupepea sana halafu vinabisha eti prove! Prove? Km kuna uchawi!
 
Unauelewaje uchawi kwanza? maana isije ukawa unataka uthibitishiwe kitu ambacho hata haukielewi
mtu anayedai uthibitisho dhidi ya jambo fulani nia yake apate kueleweshwa kutoka kwa mtu anayedai kitu hicho kipo

kulingana na namna ambavyo utathibitisha ndivyo nitakapopata concept ya kuuelewa
 
Back
Top Bottom