Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

Sisi waafrika ni wajinga siku zote.

Ndio maana unaona Warusi, Wachina, Iran wameamua kuikomboa Dunia kutoka Kwa WAMAGHARIBI.

Wewe Toka Lini Mzungu akampenda Mtu mweusi kiasi Cha kuanza kumsifia?

Na mfahm yakua, kwa hii vita ya Uchumi waloianzisha Na Urusi.

Wazungu muda Si mrefu watarudi Afrika kuanza kupigania Malighafi kama ilivyokua wakati wa Ukoloni.

Na habari njema ni kwamba, Kwa aina ya Hawa viongozi tulonalo, TUTATAWALIWA UPYA.
 
Inawezekana. Chanzo kikubwa cha rushwa huwa ni wingi wa regulations na urasimu.
 
Your argument is simply The Sunk Cost Fallacy
 
Ni sawa na kusema dr. Living stone ndo aliyegundua lake tanganyika ,uthadhani hakukuwa na waha na jamii ile wikiishi kule kigoma.
 
Tuna mifano hai hapa. Juzi hapa ndugu yangu mmoja amekwenda kuomba cheti cha kuzaliwa cha Mwanae, Wilayani. Alipofika wakamwambia atoe sh.200,000/= kwanza.

Kwa kuwa hakuwa na hiyo laki mbili, akaenda kukopa kwa rafiki yake. Alipokuwa akieleza lengo la kukopa hizo fedha, yule rafiki yake akapiga simu TAKUKURU. Kwa bahati mbaya sana, kumbe TAKUKURU walikuwa kitu kimoja na wale wahalifu. Ikabidi TAKUKURU wawataarifu wale waliotaka kupokea rushwa, kuwa issue ile imefika kwao( TAKUKURU)

Alipokwenda tena kufuatilia cheti, akaambiwa, "Cheti utakipata TAKUKURU".Baada ya hapo, yule rafiki yake akachukua hatua kali zaidi. Akitoa taarifa hizo kwa Waziri wa Wizara fulani. Kwa bahati nzuri, yule Waziri alifanikiwa kuwatimua kazi wote, TAKUKURU na wale wahalifu wanaohusika na utoaji vyeti vya kuzaliwa pale Wilayani.

Kwa hiyo, ukweli ni kwamba, hali sasa ni mbaya mno mno mno.
Hizo ni akili zilizofeli kabisa.
Mzungu yupo Ulaya, anajuaje habari za rushwa Tanzania?
Sisi Watanzania ndo tunaojua zaidi hali ilivyo mbaya sasa.

RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
 
Hiyo inafahamika kabisa kwamba wazungu ukienda nao sawa watakupa sifa ambazo hustahili kabisa.

Wapo hivyo , labda mleta mada sio mzoefu nao.
 
ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU, ACHENI UJINGA WENU.

Hali ni mbaya sana kuwahi kutokea.
 
Jiwe ndiye alikiwa chanzo cha rushwa na wizi, kumbuka alivyowagawia mahawara zake nyumba za Serikali
 
Sukuma gang mnaangaika sana, poleni kwa kufiwa na mungu wenu
 
Nakupongeza Sana Rais Samia Suluhu Hassan,

Nampongeza Kafulila kwa Utetezi wake
Mama Samia anatisha huyu Mama, Rushwa haipiganwi kwa kuwaziba midomo raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…