Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

Huenda ikawa sawa au sio sawa,
 
Eti wazungu ndio wanajua rushwa imepungua tz,waulize wazungu kwa Nini walimuua Lumumba,kabral na mondlane,sisi tuliopo nangunde huku tusione huo unafuu.
 
Eti wazungu ndio wanajua rushwa imepungua tz,waulize wazungu kwa Nini walimuua Lumumba,kabral na mondlane,sisi tuliopo nangunde huku tusione huo unafuu.
Rushwa imepungua na ni kwa takwimu
 
Kiongozi yeyote yule asiyejiamni mpka apewe maoni na mtu wa taifa la mbali huyo ni chizi.

Ilitakiwa hayo maoni ya kupungua/kuongezeka kwa rushwa tusemee sisi wananchi wa hii nchi maana ndio tunaona uhalisia wa mambo nchini, hao Wazungu ni wajinga tu wanaokaa vikao huko Uzunguni na kutoa data za kuwafurahisha vibaraka wao huku.

Atleast hizo data wangetoa jirani zetu kenya,uganda or nchi yeyote East Africa maana hawa ndio wanajua nn kinaendelea.

Hata hivyo bado hatujafanikiwa kupata viongozi wanaojiamini kuweza kuendesha nchi bila kutegemea sifa za wageni wa mbali.
 
Waulilze wanaposema RUSHWA wana maana gani? Pengine kwao maana ya rushwa ni ugumu wa kujikwapulia rasilimali zetu.

Which means, kupungua kwa rushwa--hakuna ugumu tena wa kuchota mali za wananchi, ubadhirifu, ufisadi, na madili.
Kasome uzi wangu unaitwa "mfano"

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Mara Dar Jiji la 6 Kwa usafi kwani wazungu ndio wanaishi Tanzania hadi waweze kitueleza kitu tunschoishi nacho
Sasa wewe ulitarajia huyo RC akwambie kuwa rushwa imeongezeka, na JPM angekuwa hai wala asingelinganisha hiyo kitu.
 
Wazungu Toka enzi za utumwa na kututawala mpaka Leo wanatuonaga hatuna akili
Hilo ni kweli kabsa, kama mtu anaweza kukulazimisha uvae nguo zake alizotumia kuanzia chupi na ukisema hapana anakwambia ukija kukopa sikupi mkopo.
 
Hilo ni kweli kabsa, kama mtu anaweza kukulazimisha uvae nguo zake alizotumia kuanzia chupi na ukisema hapana anakwambia ukija kukopa sikupi mkopo.
Mitumba sio! [emoji848]
 
Watu liogopa hata kutoa taarifa za wezI au walarushwa kwa kuogopa kupewa kesi ya kuichafua serikali ya awamu ya tano
 
Watu liogopa hata kutoa taarifa za wezI au walarushwa kwa kuogopa kupewa kesi ya kuichafua serikali ya awamu ya tano
 
Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Sasa 2020/2021 kama rushuwa imepungua huo msingi si ulijengwa na Magu

Warudi kufanya tafiti 2023/2024 alafu watoe majibu maana mda huo naamini wale waliombiwa wale kwa urefu wa kamba zao watakuwa wameshazika ili wasogee mbele zaidi
 
Mabeberu ni wataalam wa kula na kipofu!! Ukiona anakusifu ujue keshakufanya shamba la bibi! Ndiyo maana mabeberu hawawezi kabisa kuisifu China, India, Brazil, Urusi, Iran, Korea ya kaskazini nk. Huko mashamba ya bibi yalishataifishwa kitambo!! Yanahudumia raia wao!!

Hapa Tz kuna dalili za mabeberu kupashambulia na kupagombania kama mpira wa kona! Kwa mabeberu urahisi wa uporaji huuita "mazingira bora na rafiki ya uwekezaji"
 
Ok unafikiri ni hatua gani zilizochukuliwa hadi kuweza kupata matokeo ya kupungua huku kwa rushwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…