Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

Rushwa imeeishaa? Jana nimetoka tu wilayani ofisi za ardhi jamaa anataka 500k ili anikamilishie vipimo. Wakati wa JPM hayo hayakuwepo
 
Sisi waafrika ni wajinga siku zote.

Ndio maana unaona Warusi, Wachina, Iran wameamua kuikomboa Dunia kutoka Kwa WAMAGHARIBI.


Wewe Toka Lini Mzungu akampenda Mtu mweusi kiasi Cha kuanza kumsifia ????


Na mfahm yakua, Kwa hii vita ya Uchumi waloianzisha Na Urusi.


Wazungu muda Si mrefu watarudi Afrika kuanza kupigania Malighafi kama ilivyokua wakati wa Ukoloni.

Na habari njema ni kwamba, Kwa aina ya Hawa viongozi tulonalo, TUTATAWALIWA UPYA.
Ata mrusi naye no mzungu tena wabaguzi haswa....
 
Inasikitisha sana kusikia inasemekana kuna mpaka rushwa za uongozi utokanao na teuzi mbalimbali ndani ya taasisi za Umma.

Matharani uteuzi wa HODs , Mgr’s etc kumbe ni Kwa kujuana na kuahidi kuwa utakuwa unapeleka ngapi kila mwezi iwapo utapewa hiyo nafasi na si mtu mwingine?!

Rushwa ni kitu kibaya sana lakini rushwa ya aina hiyo ni mbaya zaidi.

Inaenda kulazimisha waofisa wachini wawe wanatafuta kupata hela kwa njia ya rushwa ili wapeleke kwa boss wao ili boss wao apeleke Alikoji-committ kupeleka marejesho!

Eventually the whole taasisi and system as whole become corrupted?!

Tunajenga jamii yenye misingi ya aina gani ?

Sasa Kwanini nafasi zisitangazwe kwa uwazi ndani ya taasisi husika kama zamani?
 
View attachment 2297821

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila akihojiwa na Ayo TV amekuwa na haya ya kusema juu ya kupungua kwa rushwa Tanzania kisayansi,Msikilize

Kafulila anasema,Ripoti ya kimataifa ya kupambana na rushwa inaonesha Tanzania tumetoka nafasi ya 94 mpaka 87 sawa na vietnam & Moroco kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti na taasisi ya kitaifa ya Transparency International kwa vigezo 180 na kuziacha nchi za Msumbiji 149, Uganda 142, Kenya 128, malawi110 na Zambia 117

Aidha,Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka wa jana,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza na kutafiti kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020'21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua Sana wakati huu wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameachia uhuru wa kujieleza kwa wananchi wake,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019'20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa mapema mwaka huu Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019'20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Hongera Tanzania, Hongera Mama Samia Suluhu Hassan kwani huu ni ushindi mkubwa kwa Taifa,
Hongera kwa kuwaongezea mishahara watumishi
 
Awamu ya mwendazake yeye mwenyewe alitupiga Trilioni 1.2 yeye na mpwa wake Dotto tena bila huruma!
 
A
View attachment 2297821

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila akihojiwa na Ayo TV amekuwa na haya ya kusema juu ya kupungua kwa rushwa Tanzania kisayansi,Msikilize

Kafulila anasema,Ripoti ya kimataifa ya kupambana na rushwa inaonesha Tanzania tumetoka nafasi ya 94 mpaka 87 sawa na vietnam & Moroco kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti na taasisi ya kitaifa ya Transparency International kwa vigezo 180 na kuziacha nchi za Msumbiji 149, Uganda 142, Kenya 128, malawi110 na Zambia 117

Aidha,Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka wa jana,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza na kutafiti kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020'21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua Sana wakati huu wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameachia uhuru wa kujieleza kwa wananchi wake,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019'20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa mapema mwaka huu Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019'20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Hongera Tanzania, Hongera Mama Samia Suluhu Hassan kwani huu ni ushindi mkubwa kwa Taifa,
Wewe na Kafulila acheni ujinga wa kuruhusu kuelezewa na wageni. Transparent International ni ka-NGO tu ka wazungu. Sasa mtu na akili yako unakubali picha ya nchi yako kutoka kwa wazungu?

Tangu lini mzungu, hususani yule wa kutokea kwenye nchi za kikoloni, akawa na jema la kusema kuhusu nchi isiyo ya wazungu, hususani Afrika?

Tuna vyombo vyetu vya takwimu, serikali inapaswa iviagize kufanya utafiti kuhusu rushwa nchini mwetu.
 
A

Wewe na Kafulila acheni ujinga wa kuruhusu kuelezewa na wageni. Transparent International ni ka-NGO tu ka wazungu. Sasa mtu na akili yako unakubali picha ya nchi yako kutoka kwa wazungu?

Tangu lini mzungu, hususani yule wa kutokea kwenye nchi za kikoloni, akawa na jema la kusema kuhusu nchi isiyo ya wazungu, hususani Afrika?

Tuna vyombo vyetu vya takwimu, serikali inapaswa iviagize kufanya utafiti kuhusu rushwa nchini mwetu.
Kwani tangu zamani Tanzania ilitumia nini kuamini kiwango cha Rushwa,
 
Acheni UKENGE wenu hapa.
Tuna mifano hai hapa.
Juzi hapa ndugu yangu mmoja amekwenda kuomba cheti cha kuzaliwa cha Mwanae, Wilayani.
Alipofika wakamwambia atoe sh.200,000/= kwanza.

Kwa kuwa hakuwa na hiyo laki mbili, akaenda kukopa kwa rafiki yake.
Alipokuwa akieleza lengo la kukopa hizo fedha, yule rafiki yake akapiga simu TAKUKURU. Kwa bahati mbaya sana, kumbe TAKUKURU walikuwa kitu kimoja na wale wahalifu. Ikabidi TAKUKURU wawataarifu wale waliotaka kupokea rushwa, kuwa issue ile imefika kwao( TAKUKURU)
Alipokwenda tena kufuatilia cheti, akaambiwa, "Cheti utakipata TAKUKURU"
Baada ya hapo, yule rafiki yake akachukua hatua kali zaidi. Akitoa taarifa hizo kwa Waziri wa Wizara fulani.
Kwa bahati nzuri, yule Waziri alifanikiwa kuwatimua kazi wote, TAKUKURU na wale wahalifu wanaohusika na utoaji vyeti vya kuzaliwa pale Wilayani.

Kwa hiyo, ukweli ni kwamba, hali sasa ni mbaya mno mno mno.
Hizo ni akili zilizofeli kabisa.
Mzungu yupo Ulaya, anajuaje habari za rushwa Tanzania?
Sisi Watanzania ndo tunaojua zaidi hali ilivyo mbaya sasa.

RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
Pole
 
Wakati wa Magu watu tulipigwa balaa, asante Sana Mama Samia
Acheni upumbavu, wajinga wakubwa nyie... Unadhani ukitetea maslahi ya mshenzi ataacha kukusifia kwa kisichokuwepo? Yaani maTanzania sijui akili zenu ziko nyuma ya makalio?!!
 
Acheni upumbavu, wajinga wakubwa nyie... Unadhani ukitetea maslahi ya mshenzi ataacha kukusifia kwa kisichokuwepo? Yaani maTanzania sijui akili zenu ziko nyuma ya makalio?!!
Sifa zote ulizomwaga hapa hakika ni zako
 
Kuondoka kwa Rushwa hakujawahi kuwa kwa siku moja.

Sipingani na tafiti ila nachowezaa kusema ni kwamba.. Miundo mbinu na namna JPM alivyoendesha nchi matotokeo yake yanaweza kuwa ndio haya yanayosemwa leo.

Utawala wa Samia unaweza kuupima baada ya miaka miwili na kuendelea, kwa sasa watu bado wanamuwaza JPM watu waliotengenezwa na JPM bado wako kwenye mfumo.

Wacha tuone toleo la akina Nape na January itakuwaje baada ya miaka miwili.
Rushwa haiwezi kuondoka kama kwa siku moja kama unavyo dai, lakini inaweza kupungua kwa siku moja.

Je, unafahamu kesi za uhujumu na utakatishaji pesa, + kusababishia serikali hasara zimekua uchochoro wa kudhurum watu?

Nje ya hapo ,ilitumika kama nyenzo ya kutishia nawatu kujichukulia rushwa.

Kuna vikosi kazi vlitapakaa, Mikumi, Migori, Iringa Ipogoro , makuyuni Arusha. Nakwingineko Singida walikua Misigiri.

Hao kazi Yao ilikua kutishia na mwisho wa vitisho nikuchukua rushwa.
 
Back
Top Bottom