Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

View attachment 2297821

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila akihojiwa na Ayo TV amekuwa na haya ya kusema juu ya kupungua kwa rushwa Tanzania kisayansi,Msikilize

Kafulila anasema,Ripoti ya kimataifa ya kupambana na rushwa inaonesha Tanzania tumetoka nafasi ya 94 mpaka 87 sawa na vietnam & Moroco kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti na taasisi ya kitaifa ya Transparency International kwa vigezo 180 na kuziacha nchi za Msumbiji 149, Uganda 142, Kenya 128, malawi110 na Zambia 117

Aidha,Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka wa jana,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza na kutafiti kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020'21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua Sana wakati huu wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameachia uhuru wa kujieleza kwa wananchi wake,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019'20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa mapema mwaka huu Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019'20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Hongera Tanzania, Hongera Mama Samia Suluhu Hassan kwani huu ni ushindi mkubwa kwa Taifa,
Kati ya wazungu na Watanzania Nani anajua vizuri Tanzania?
 
Nao usikute wanaungaunga tu. hahah
Tatizo wabongo wakisikia mzungu vyupi zinawashuka. Sisi ndo wahusika mnasubiri muambiwe na wazungu. You might not be aware ila hawa jamaa ukiwawekea mazingira makampuni yao yakawa yanaingia kufanya yatakavyo bila bughdha utapambwa in different colours na utaitwa hata kuhutumia top universities zao na tuzo za kutosha. Kumbuka wakati wa mwamba hata tramp alikuwa analalamika kampuni zake kukosa raha kwa kubanwa .hiyo ndo siasa ya Dunia .Mama anafungua milango na kazi iendelee
 
Tatizo wabongo wakisikia mzungu vyupi zinawashuka. Sisi ndo wahusika mnasubiri muambiwe na wazungu. You might not be aware ila hawa jamaa ukiwawekea mazingira makampuni yao yakawa yanaingia kufanya yatakavyo bila bughdha utapambwa in different colours na utaitwa hata kuhutumia top universities zao na tuzo za kutosha. Kumbuka wakati wa mwamba hata tramp alikuwa analalamika kampuni zake kukosa raha kwa kubanwa .hiyo ndo siasa ya Dunia .Mama anafungua milango na kazi iendelee
Kazi iendelee Tanzania.
 
Tatizo wabongo wakisikia mzungu vyupi zinawashuka. Sisi ndo wahusika mnasubiri muambiwe na wazungu. You might not be aware ila hawa jamaa ukiwawekea mazingira makampuni yao yakawa yanaingia kufanya yatakavyo bila bughdha utapambwa in different colours na utaitwa hata kuhutumia top universities zao na tuzo za kutosha. Kumbuka wakati wa mwamba hata tramp alikuwa analalamika kampuni zake kukosa raha kwa kubanwa .hiyo ndo siasa ya Dunia .Mama anafungua milango na kazi iendelee
Daah
 
View attachment 2297821

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila akihojiwa na Ayo TV amekuwa na haya ya kusema juu ya kupungua kwa rushwa Tanzania kisayansi,Msikilize

Kafulila anasema,Ripoti ya kimataifa ya kupambana na rushwa inaonesha Tanzania tumetoka nafasi ya 94 mpaka 87 sawa na vietnam & Moroco kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti na taasisi ya kitaifa ya Transparency International kwa vigezo 180 na kuziacha nchi za Msumbiji 149, Uganda 142, Kenya 128, malawi110 na Zambia 117

Aidha,Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka wa jana,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza na kutafiti kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020'21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua Sana wakati huu wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameachia uhuru wa kujieleza kwa wananchi wake,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019'20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa mapema mwaka huu Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019'20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Hongera Tanzania, Hongera Mama Samia Suluhu Hassan kwani huu ni ushindi mkubwa kwa Taifa,
Haihitaji degree kung'amua hilo, kama unaendesha gari tu kila siku majibu yako wazi.
 
Wazungu wazinguaje wanafurahi wanapoona jamii ni maskini kusudi waendelee kuwaita 3rd world countries…

Rushwa Africa ni donda ndugu wasitudanganye
 
Wazungu wazinguaje wanafurahi wanapoona jamii ni maskini kusudi waendelee kuwaita 3rd world countries…

Rushwa Africa ni donda ndugu wasitudanganye
Aliyesema mwaka jana rushwa inapungua ni nani kama sio wazungu?
 
Kwani hiyo rushwa unalazimishwa? Umetoa taarifa wapi?
We unaona ni haki kile kifanyikacho? Kinahitaji kutolewa taarifa ya nini wakati mamlaka ziko zinakula kodi kwa njia ya mishahara. Yani niache kazi zangu nikatoe taarifa kwa watu wanaolipwa mishahara?
 
We unaona ni haki kile kifanyikacho? Kinahitaji kutolewa taarifa ya nini wakati mamlaka ziko zinakula kodi kwa njia ya mishahara. Yani niache kazi zangu nikatoe taarifa kwa watu wanaolipwa mishahara?
Kwa mantiki hiyo ni wewe unaunga mkono rushwa
 
View attachment 2297821

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila akihojiwa na Ayo TV amekuwa na haya ya kusema juu ya kupungua kwa rushwa Tanzania kisayansi,Msikilize

Kafulila anasema,Ripoti ya kimataifa ya kupambana na rushwa inaonesha Tanzania tumetoka nafasi ya 94 mpaka 87 sawa na vietnam & Moroco kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti na taasisi ya kitaifa ya Transparency International kwa vigezo 180 na kuziacha nchi za Msumbiji 149, Uganda 142, Kenya 128, malawi110 na Zambia 117

Aidha,Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka wa jana,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza na kutafiti kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020'21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua Sana wakati huu wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameachia uhuru wa kujieleza kwa wananchi wake,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019'20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa mapema mwaka huu Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019'20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Hongera Tanzania, Hongera Mama Samia Suluhu Hassan kwani huu ni ushindi mkubwa kwa Taifa,
"Adui yake akikusifia, geuka nyuma uangalie umekesea wapi", RIP JPM
 
Back
Top Bottom