Wazungu wanatumia tishu tu kujiswafi wakiwa maliwatoni; Sasa mbona wanaongoza kulambana?!!!!

Wazungu wanatumia tishu tu kujiswafi wakiwa maliwatoni; Sasa mbona wanaongoza kulambana?!!!!

Wala nguruwe wanakuwa hawana kinyaa wala aibu wala harufu mbaya haziwasumbui.

Fikiri, mtu anafakamia najisi kwa kuinunuwa, itakuwa hiyo ya kulambalamba tu?

Ni uchafu juu ya uchafu.
Hivi,huwa huwezi kuiweka akili yako ikawa chanya muda mwingine?Kila kitu unakitazama kwa udini,ubaguzi,kisirani/nongwa na mivurugano tu.Hicho kizazi chako kitakuwaje!?
 
Ndio maana wakaitwa wadhungu ......... .wanakula safi mpaka wakienda huko kwa toilet wanatoa shit safi..............sie huku wapogolo choo chenyewe hakuna tundu la kulenga unajikamua mpaka unatoa chozi.........(bawasiri hiyoooo) kojo limejaa yutiyai miksa fangaso ............kwani kuna shido..............lamba uone kama ujakatika mdomo
 
Unasema kwamba 😂🤣

Hujalala, unawaza na kuwazua hawa wenzetu wapangusa vinyeo kwa tishu na bado wananyonyana😂
Hivi,hayo maelezo ya wao kutumia katatasi kujaribu kujitakasa huwa yana ukweli au ni moja tu ya kuonesha chuki dhidi yao?Kwa sababu,sehemu kubwa ya ugunduzi,kwa mfano matumizi ya mabomba ya maji hadi maliwato walianzisha wao.Sasa iweje wapate uvivu na kukwepa kuyatumia kama inavyokazaniwa tuamini?
 
Back
Top Bottom