Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Huwa unatawadha hadi ndani kwenye utumbo wako?🤔Hiuo harifu itoke wapi, kutawadha tu kwa uchache mara tano kutwa.
Usione vinaelea...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa unatawadha hadi ndani kwenye utumbo wako?🤔Hiuo harifu itoke wapi, kutawadha tu kwa uchache mara tano kutwa.
Usione vinaelea...
Siyo kukojoa na kuondoka hivyohivyo tu.Tunaishi navyo tumboni na kwenye vibofu kila muda,kila siku.Watu wengi tu TZ wakikojoa huondoka hivyo hivyo.
Kwa kuwa kimetoka lazima pasafishwe kwani pamechafuka, ila Sasa dah.Siyo kukojoa na kuondoka hivyohivyo tu.Tunaishi navyo tumboni na kwenye vibofu kila muda,kila siku.
Hapo umekula chaka wazungu wengi huwa hawapendi kuoga ,na kwenye swala la usafi hawapo vizuri, waafrika haswa pwani na middle east sifa yetu kubwa ni usafi na ndio walioeneza ustaarabu na usafi dunianiWale ndio waliotufundisha kuoga daily so wanaoga vizuri tu.
Ndio waliogundua vile vibomba vya kushika badala ya kopo ukiwa chooniWale ndio waliotufundisha kuoga daily so wanaoga vizuri tu.
Mkuu watu washapinda. Kama watu wanapiga dubai porta potty huko wanakula poo, we wadhani ajeWakikojoa wanajifuta na tishu, lakini mbususu inalambwa mpaka basi.
Vinyeo vyao navyo hufutwa na tishu tu baada ya kujisaidia kubwa lakini vinalambwa mpaka basi.
WAPOJE HAWA KWANI?!!!!!!
Sijalala Leo natafakari hili tu.
Si afadhali hao wanatumia "tishu", kuna kondoo Tanzania hawatumii maji wala tishu, si haja kubwa si haja ndogo.
Kama ni mwanaume unataka aondokaje akimaliza kukojoa??Watu wengi tu TZ wakikojoa huondoka hivyo hivyo.
Hapo umekula chaka wazungu wengi huwa hawapendi kuoga ,na kwenye swala la usafi hawapo vizuri, waafrika haswa pwani na middle east sifa yetu kubwa ni usafi na ndio walioeneza ustaarabu na usafi duniani
Sio hawapendi Kukokhoga,,Hali ya hewa ya Nchi zao nyingi ni baridi Kwa mizimu mirefu.Hapo umekula chaka wazungu wengi huwa hawapendi kuoga ,na kwenye swala la usafi hawapo vizuri, waafrika haswa pwani na middle east sifa yetu kubwa ni usafi na ndio walioeneza ustaarabu na usafi duniani
Ila hata wakijaga africa, wanajifuta futa tu, hata kwenye chakula hawana ustaarabu kama wa waafrica au watu wa pwaniSio hawapendi Kukokhoga,,Hali ya hewa ya Nchi zao nyingi ni baridi Kwa mizimu mirefu.
Wee bana wewe kumbe unayatakaga mwenyewe ety 😂😂😂😂
Wazungu wa wapi unaowazungumzia wewe?Ila hata wakijaga africa, wanajifuta futa tu, hata kwenye chakula hawana ustaarabu kama wa waafrica au watu wa pwani