wacha tu nilale.. kumsahau najaribu image yake bado ipo machoni pangu.Huyo uzuri wake ule kwa macho tu kwanza.
Watu kama hao ukijuana nao sana ghafla mara nyingine, kwa sababu ushajenga image Fulani ya ajabu kichwani, wanaenda kuku disappoint.
Pole sana ila jaribu kusahau maana ikitokea ukamuona tena halafu akupotezee utaumia sana mkuuwacha tu nilale.. kumsahau najaribu image yake bado ipo machoni pangu.
Hata ukiniona tena kesho hutaniambia chochote utakuja tena hapa JF kulalamika. U are always given what u ask forwacha tu nilale.. kumsahau najaribu image yake bado ipo machoni pangu.
Umalaya. On fleekJamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Siku ingine kuwa tayari na peni na karatasi, unaandika na kutafuta mwanya wa kumpa. Wanaume huwa hawapayuki ovyo kama wanawake
Mwambie na wewe ulivaa nini.
Umalaya. On fleek
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Shkamoo blabla Kaka nimekumisssssssssssssLove [emoji23]
Makapuku imekupoteza huyu Bitoz huyu[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Love [emoji23]
weee..kweli?Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Teh teh..Bro,mwambie kesho apande gari ileile..Tutakutana..Kaboom hii si ndio huwa route yako, bro? Njoo umpunguzie mateso mrembo huku.
Teh teh..Bro,mwambie kesho apande gari ileile..Tutakutana..
Btw uko poa?..Ukikutana na BADILI TABIA mwambie nimemmiss..