We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Huyo uzuri wake ule kwa macho tu kwanza.

Watu kama hao ukijuana nao sana ghafla mara nyingine, kwa sababu ushajenga image Fulani ya ajabu kichwani, wanaenda kuku disappoint.
wacha tu nilale.. kumsahau najaribu image yake bado ipo machoni pangu.
 
wacha tu nilale.. kumsahau najaribu image yake bado ipo machoni pangu.
Hata ukiniona tena kesho hutaniambia chochote utakuja tena hapa JF kulalamika. U are always given what u ask for
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Umalaya. On fleek
 
Siku ingine kuwa tayari na peni na karatasi, unaandika na kutafuta mwanya wa kumpa. Wanaume huwa hawapayuki ovyo kama wanawake

Mwambie na wewe ulivaa nini.

Hahaa, hapo ni mwendo wa winwin situation. Na yeye itabidi ajitaje kwanza alivaaje.
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..

Hahaha, dah, na sijui kama mitaa ya kariakoo ulipata washroom yenye pressure bombaaa.

[emoji12]
[emoji12][emoji12]
[emoji12][emoji12]
[emoji12][emoji12]
 
Bahati yangu siyo mimi maana ungesababisha nichepuke buree!
 
Uwii kumbe kesho napaki Prado home napanda mwendokasi labda bahati ya mtende itaniangukia na Mimi
 
najaribu kuutafuta usingizi lakini siupati sijui nimeuangushia wapi?
 
Back
Top Bottom