Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Tangu asubuhi nahangaika kutafuta zile video huko mitandaoni kwenye website pendwa zile video za namba za kirumi 🔞

inaonekana TCRA mmezipiga ban hzo website, sasa je hamuoni huo ni kuingilia uhuru wa vyombo vya habari,

je, mbn hamtoi tamko Rasmi

hii nchi kwa sasa inaendeshwaje jamani lakini?

au mnataka kutuendesha kama Taliban wanavyoiendesha Afghanstan?
au ishakuwa nchi ya kidini ? tumia VPN
 
Mpaka wao kufunga hivyo jua kuna dosari nyingi tu wameziona mkuu think deeply kuhusu hizi porn sites Kuna vitu vinawekwa si vizuri kwa afya ya akili hata kidogo.. dhambi moja haifanyi uiachie nyengine.
Pombe inaunafuu hatari ya haya maporn si mzuri.
Haya mambo hayataki hasira search Google jamaa mmojaa hivi anaitwa Ruberangabo Sebineza,miaka 54 alikua Ni naibu Waziri wa habari na mawasiliano wa Congo enzi za Joseph kabila alijirekodi akicheki porn huku akipiga Puli afu kitu kikavuja.
 
Afadhali mama umetupa ajira tuyasake chimbo tuanze kuuza series za pilau na flash yake 20000 kama miaka ya zaman VHS na Cd za pilau bei juu
 
Kwenye site napenda kuangalia mbususu za mapisi asa akiwa anairudishia ule mti wa mbao spidi spidi ni hatari
 
Back
Top Bottom