Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Mods wame edit tittle imekua kavu..Wangeweka Website za kujamiana.. Ngono haijakaa vizuri..
 
The dangerous thing that God gave a man is the WILL. The ability to choose what to and what not to do. Porn is very destructive psychologically and emotionally.

Ukiingia kwenye choo chenye harufu kali, utapata shida dakika kadhaa za mwanzoni, baada ya muda unazoea na kuona kawaida ila ukweli ni kwamba harufu mbaya iko pale pale na ukitoka inabaki mwilini kwa muda.

Kiumbe alieumbwa kujitawala na kutawala mazingira yake anatawaliwa na kiu za kujitafutia na kuharibu mifumo ya utendaji kazi wa miili na ubongo wetu. It's a pity.
 
By using Statistical sampling(N) na random sampling nimepata jawabu Kwamba Member wa JF wengi Ni watumiaji wa site zetu pendwa kabisa na na Ni senior officers Kule Chaputa.Asanteni.
 
Daaaaaah!!
Siamini kama mpk dk hii bila bila.
Ila hivi hawa Tozo si tumeshakubali?
Wanatutakia nini lakini na huku?
 
Tangu asubuhi nahangaika kutafuta zile video huko mitandaoni kwenye website pendwa zile video za namba za kirumi [emoji725]

Inaonekana TCRA mmezipiga ban hizo website, sasa je hamuoni huo ni kuingilia uhuru wa vyombo vya habari...
Punguza kulalamika kwa vitu visivyo na msingi, kwani VPN huna?

Mi mwenyewe mwanachama lakn huwezi nikuta nikilalamika ni VPN tu kitu "shwaaaaaa"
 
Back
Top Bottom