Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Nahisi nikweli mi nimesechi leo hazikubali kuna demu kanifanyia fujo na video za ngono nikamjibu kwa kumshambulia na links hizifunguki, na hizo website hazifunguki
 
Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Naunga mkono hoja asilimia 100%
 
Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Unaposema unasikia unamaanisha unasikia sauti ya hizo websites au unasikia nini? Hakuna kilichofungwa, bila shaka una tatizo la kusikia
 
Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Binadamu sio ng'ombe umpangie fanya hiki usifanye kile,huwezi kumshuritisha binadamu,mwanadamu mpe Elimu,ana utashi wake,akielimika atafsnya maamuzi mazuri,ukimlazumisha lazima ajifunike kichwa(binti wa Kiislam),hakuna kukaa na wavulana,kwamba lazima aolewe akiwa bikra,basi tegemea vinti kutinduliwa Malinda maana hujampa stadi za maisha kuhusu umuhimu wa kutokufanya ngono mapema,wewe
 
Back
Top Bottom