Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umehakikisha nini huko?Ebanaaaa eeeeh kumbe kweli.
Kweli wameamua aisee.
Eeeeh mwanangu nimehakikisha, kwenye ile website pendwa inaishia pale mlangoni tu ndani huingii aiseee.Umehakikisha nini huko?
Wamefikia muafaka wa kutumia VPN[emoji16][emoji16][emoji16]Nasikia wapiga kunyeto wamekaa kikao cha dharura tangu asubuhi hadi muda huu na hawajafikia mwafaka.
Mwenyekiti wao amepanga kwenda kuweka zuio mahakamani
Nahisi nikweli mi nimesechi leo hazikubali kuna demu kanifanyia fujo na video za ngono nikamjibu kwa kumshambulia na links hizifunguki, na hizo website hazifungukiNaskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Duuh Rebecca na huku upo, dadeki chabo gesti na kununua kasi itaongezekapoleni watanzania, suala la porn ni private matter sio public interest,mtaishia wapi?? kupekua nyumba hadi nyumba kujua wanandoa wanalalaje??? kazi mnayo...
Naunga mkono hoja asilimia 100%Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Unaposema unasikia unamaanisha unasikia sauti ya hizo websites au unasikia nini? Hakuna kilichofungwa, bila shaka una tatizo la kusikiaNaskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Wapenda "pilau" na matunda ya "topetope" utawajua tu.Huwa wanadili na vitu vya kipuuzi tu
Binadamu sio ng'ombe umpangie fanya hiki usifanye kile,huwezi kumshuritisha binadamu,mwanadamu mpe Elimu,ana utashi wake,akielimika atafsnya maamuzi mazuri,ukimlazumisha lazima ajifunike kichwa(binti wa Kiislam),hakuna kukaa na wavulana,kwamba lazima aolewe akiwa bikra,basi tegemea vinti kutinduliwa Malinda maana hujampa stadi za maisha kuhusu umuhimu wa kutokufanya ngono mapema,weweNaskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Wewe utaathirika vipi mkuu?Wangetoa tangazo mapema kama zitafungiwa ili tuweke akiba.
Huu uamuzi wa kufungia ghafka utaathiri watu wengi sana
Haziplay mkuuHahaha zefungiwa kweli Ila opera mini bado Zippo [emoji1787][emoji1787]
Usidharau mkuu porn si nzuri hasa kisaikolojia ni ulevi mbaya sana unaowafanya watu wajifunze hata michezo michafu! Binafsi naona wapo sahihi kabisa.