Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Jambo la kupongeza sana. Uraibu wa porn sio mzuri kabisa na madhara yake ni makubwa kwa watu binafsi na taifa.

Hizo sites ambazo bado zipo hewani zitapigwa pini moja baada ya nyingine mpaka ziishe zote, ni suala la muda tu.
Weka ushahidi
 
IMG_4853.jpg

Tupo kujadili hilo swala tulien
 
Wakuu twendeni ndani turudi nje uraibu wa porn sio mzuri na nichanzo cha michezo michafu pia mtu anasikia neno usagaji au ushoga akienda kule anaukuta!...
Pombe haina madhara? Watu wangapi wanakufa kwa ajili ya pombe? Addiction ya sigara je?
 
Back
Top Bottom