kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Tuinuane mpwaNikutumie handle? [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuinuane mpwaNikutumie handle? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haujui Mungu kamuachia dunia shetwaini kidogo aongoze wale Wana Sana tuEnzi hizo niko msingi ni mwendo wa kucheza rede tu sijui huu ushetani
Ngoja nichekiNaskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Shetani ana monopolize kila kituHaujui Mungu kamuachia dunia shetwaini kidogo aongoze wale Wana Sana tu
Ni kweli zimefungwaNaskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Ametufungulia dunia kuwa tunachotakaShetani ana monopolize kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi sijielewi juu yako
Ushoga sio rahisi kuudhibitiWajikite kwenye kudhibiti ushoga sasa hapo ndio nitajua wako serious kiasi gani
Sasa Mimi huyo mtu husali hatari ila nilishangaa anafatilia hii kitu. Hizi video zitapeleka wengi jehanumWengii sana....ila wanafiki, utasikia mi siangaliagi[emoji57][emoji57]
Mi marafiki zangu wote hadi wamama watu wazima wanaangalia, tena wamekuwa addicted[emoji16][emoji16][emoji23]
🙄🙄🙄[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sio islamic state usijiyoe akiliNdio raha ya kuwa na rais mshika dini[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Nimeamka na mawazo kama yako ndugu. Hii issue imekaa kidini zaidi. Angalia nchi zilizofungia porn hapa duniani ulete mrejeshoWataleban wameingia mpaka Tanzania