Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
π π π π π π Mbn km manzi tuKidume huyo, don't tell we didn't worn you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π π Mbn km manzi tuKidume huyo, don't tell we didn't worn you
Ndo raha yenyewe sasa hiyo dearHuoni unajipa mzuka zaidi hali ya kuwa wa kukutimizia haja zako yupo ukainjoi
Mi naonaga raha sana...kiufupi napenda kucheki[emoji91][emoji91]Nimewahi ila kuziendekeza ni addiction flani
Nin tena mkuuDuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Linamba la customer care wa DStv huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Chukua mkuu hiyo hapona mimi naomba
Aisee hujielewi unataka wabane hadi VPN Ili iweje ngono ni option ya mtu sio kufungia VPNYea nimenotice hiyo ishu.
Manslaw nini of needs sijui nimesahau kidogo inaiweka ngono kama miongoni mwa mahitaji ya binadamu.
Yaani ni kwamba utakula, utavaa, utalala ndani ya nyumba nzuri ila kama hupati ngono soon hivyo vyote utaviona takataka.
Nchi zilizoendelea au niseme zinazoamini kwamba ngono ni hitaji la binadamu zimeifanya ngono kua bidhaa na kujilipa kodi kutokea kwenye hiyo bidhaa. Pia wana access na tovuti za ngono, wana access na maduka ya ngono n.k.
Kwao kuna watu wamejiajiri kama waigizaji katika hizo tovuti. Nigeria kwa Afrika imeingia kwa kasi katika mtandao maarufu wa xvideos kwa kua na waigizaji wengi wa video za ngono baada ya nchi yao kuruhusu kuigiza filamu za ngono kuwe sehemu ya kujipatia kipato.
Teknolojia imekua.
Kuna applications nyingi za VPN za kuweza kuzunguka ili kuweza ingia katika tovuti ambazo zimewekewa kibano.
Hivyo hii siyo dawa sahihi. Kwakua ili iwe dawa barabara itabidi na playstore ibanwe, na websites zote zinazoweza kukupa VPN zibanwe. Jambo ambali litakua ni hatua kubwa katika kushughulikia swala kama hili.
Kwa angalau kidogo ninachokijua juu ya video za ngono, punyeto na nekromansi naunga mkono kwa hiki kibano ila nataka tujue kwamba kibano pekee hakitoshi.
Hafu nimegundua wengi hucheck kisiri hivi vituMi naonaga raha sana...kiufupi napenda kucheki[emoji91][emoji91]
Wengii sana....ila wanafiki, utasikia mi siangaliagi[emoji57][emoji57]Hafu nimegundua wengi hucheck kisiri hivi vitu
Mi sijielewi juu yakoAisee hujielewi unataka wabane hadi VPN Ili iweje ngono ni option ya mtu sio kufungia VPN
Waanzie chamaniWajikite kwenye kudhibiti ushoga sasa hapo ndio nitajua wako serious kiasi gani
Kongole kwa Serikali yetu.Safi sana, angalau watu sasa tumgeukie MUNGU wetu aliyetuumba.Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Nishavuta VPN naachaje kuwaangalia teamsteeHuwa wanadili na vitu vya kipuuzi tu
Ipo na minah mtamu yupo anagawa tuYani wamefungia telegram?
Sizani usikute mara moja moja anachunguliaNdio raha ya kuwa na rais mshika dini[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Piga ban na hiyo vipienItakuwa kuna video ya mkubwa flan imerushwa huko
Na mimi nichukue best?Chukua tu hapa hapa mkuu
0715786901