Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Yapo mamilion ya website za ngono duniani, kufungia website mbili ni sawa na kujitekenya na kucheka wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limia namfahamu ila niliondoka pale six 2009Yah mkuu..nlipiga advance 2012-2014..nliwakuta akina DENIS SANGU(R.I.P),MGWABI NDADADA,ACRAMS ABDULMAJID et al ndo waliotupokea pale kama unawafahamu..mkuu wa shule alikua MR.LIMIA
Nimetest sasa hivi inaenda tena fasta zaidi, nafikiri zimewekewa busta zifunguke fasta zaidi.Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana...
NLETEE MMOJA KIPENZI NIMFUNDISHE KUACHA! KWELI VILE...😅Wengii sana....ila wanafiki, utasikia mi siangaliagi[emoji57][emoji57]
Mi marafiki zangu wote hadi wamama watu wazima wanaangalia, tena wamekuwa addicted[emoji16][emoji16][emoji23]
Inaelekea unafatilia sana mauno ya paka chongo wewe...Ipo na minah mtamu yupo anagawa tu
Kuna koloni langu moja Hadi transport fee linalipa likimiss kupelekewaInaelekea unafatilia sana mauno ya paka chongo wewe...
[emoji12][emoji12]
Hii sio sheria mpya, ilikuwepo miaka mingi ila utekelezaji ndio haukuwepo.Nchi ina matatizo Mengi,ajira,corona,ufisadi,utawala mbovu,
Raisi yupo bize kutuletea sheria za dini yake,siku si nyingi utasikia marufuku wanaume kusuka,kuvaa hereni,hakuna kuimba singeli,
Hii mijitu yenye imani kali za dini,haioni shida kuua kuiba,lakini inaona shida kuvaa hereni(wanaume),
Hawawezi kamwe kupeleka pua yao kwenye ushoga kwa sababu ushoga ni maslahi ya Marekani ambae ndiye analisha matumbo ya Watanzania.Wajikite kwenye kudhibiti ushoga sasa hapo ndio nitajua wako serious kiasi gani
Bora uraibu wa ngono kuliko matumizi mabaya ya madaraka, uongo, ufisadi, unafiki, mengne malizia mwenyeweJambo la kupongeza sana. Uraibu wa porn sio mzuri kabisa na madhara yake ni makubwa kwa watu binafsi na taifa.
Hizo sites ambazo bado zipo hewani zitapigwa pini moja baada ya nyingine mpaka ziishe zote, ni suala la muda tu.
Pale hukuna mshika dini wala nn.Ndio raha ya kuwa na rais mshika dini[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Duh...Kuna koloni langu moja Hadi transport fee linalipa likimiss kupelekewa
SijakuelewaDuh...
Taratibu kiongozi. "nasikia" ukiweka koloni la kudumu Kwa hao "watu" utajikuta mwisho wa siku kituo chako kinabadilika kuwa Chama "dry"
Ukiwa na koloni utasahau kuchukua tahadhari. Kama kuvaa Kinga n. K