Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Kwa hiyo ndo zitaadimika mtaani....??....najua wapo wajuba wataziibua tuu
 
Fact unaangalia matokeo yake unaumia unaweza baka ata inzi

Unaweza kwenda Kubaka mtoto kama Sabuni zipo na Mabagu yako wazi mkuu. Binafsi, kosa ni kuziabgalia mara kwa mara au kuzitizama routinely. Nimetizama sana hizi mambo ila sio kila siku kuna kipindi nikionaga Nyege zipo juu ni Kupasha maji yawe vugu vugu na sabuni yangu naenda Bafuni namkumbukia tu Devotabau Nuzulai basi shughuli inaisha naoga then nakua mwepesiiii [emoji4]
 
ila shetani kiumbe mbaya sana utaskia siku ya kiama anakuruka anasema yani wewe ulidownload Hadi VPN ili uangalie Leo hii unanisingia Mimi ndo nilikushawishi?
 
Kwa hili naipongeza serikali chaputa inaenda kufa kibudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…