kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Yapo sana tuuuKwani Twitter haya mambo yapo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo sana tuuuKwani Twitter haya mambo yapo mkuu?
Raha ya pono uangalie mpya, za kurudia hazinogiWacha wafunge tu as long as nimedownload za kutosha nitakuwa nazipitia mdogomdogo ni za kutosha ninaweza kuziangalia mpaka siku roho itakapotwaliwa bila kuirudia hata moja
Kikao kinaendeleaNasikia wapiga kunyeto wamekaa kikao cha dharura tangu asubuhi hadi muda huu na hawajafikia mwafaka.
Mwenyekiti wao amepanga kwenda kuweka zuio mahakamani
Umesahau na tanzanite tv na channel ten na kusikiliza radio uhuru onlineVijana wa CHADEMA huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1
Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa wanachadema
USSR
Chaputa haina tofauti na kujiuza, vyama vikongwe hivi havifi kizembe namna hiyo.Kwa hili naipongeza serikali chaputa inaenda kufa kibudu
Mimi nimetoka huko nimehamia kwa wakorea addiction ya wakorea nzuri sanaStyle kuna vitabu vingi tu. Unaweza kujisomea.
Addiction yake mbaya Sana Mimi mwenyewe nilikuwa mdau mkubwa Sana hukoWengii sana....ila wanafiki, utasikia mi siangaliagi[emoji57][emoji57]
Mi marafiki zangu wote hadi wamama watu wazima wanaangalia, tena wamekuwa addicted[emoji16][emoji16][emoji23]
Unaangalia huangalii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waiiiiiiiiiii
[emoji16][emoji16][emoji16] chukua namba hiyo shostUmeanza mambo yako..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] chukua namba hiyo shost
Nicheki whasup
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeona.. ngoja ilete balaa kama ile nyingine siku ile umetoa...[emoji23]
Siangalii[emoji2]Unaangalia huangalii?