Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Ni Kweli Mkuu.... Moja Ya Athari kubwa za Puchu NI kutokufikiri sawasawa
Kuna connection kati ya porn na masturbation na kuna connection kati ya masturbation na necromancy.

Serial killers wengi miongoni mwao Ted Bundy wamekiri kwamba masturbation iliwapelekea kupatwa na ne
 
Nimekaa nikawaza,najua asilimia kubwa ya watu hapa Tz wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online

Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB

sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguza kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha,ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine ,hapo serikali inakua imejiongezea mapato zaidi.

Serikali iangalia upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.

Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.

Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu

Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai

Ibaki mitandao yenye maana kama twitter

PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.

TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
 
Nadhani wanataka wakusanye kodi ya ngono you pay per click
 
Wafungie na zile za Instagram wale wadada wanao tikisa masaburi, labda pengine inaweza saidia nikaweza kuacha nyeto
Wewee ebu Kemea hilo pepo, yan wamfungie na jane mena niacha kuangalia mauno tena!!?
 
Tumieni VPN!. Zipo kibao mitandaoni
Nimekaa nikawaza,najua asilimia kubwa ya watu hapa Tz wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online

Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB

sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguza kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha,ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine ,hapo serikali inakua imejiongezea mapato zaidi.

Serikali iangalia upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
 
Nimekaa nikawaza,najua asilimia kubwa ya watu hapa Tz wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online

Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB

sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguza kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha,ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine ,hapo serikali inakua imejiongezea mapato zaidi.

Serikali iangalia upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
Aisee, ni kweli kabisa unaanzisha mjadala wa kujadili uchafu wa ngono hapa?

Nakushauri, kama utakuwa na MB nyingi na zinakupa shida namna ya kuzitumia, nakusihi usitumie kuangalia uchafu huo unaoweza kuharibu utu na heshima yako...

Yako mambo mengi sana online yenye manufaa ya kuangalia na kujifunza. Kutazama ngono na uchi wa watu mitandaoni ni uharibifu wa akili na ufahamu wako....!!
 
Inabidi ujiulize tu
Screenshot_20210820-125011_Instagram.jpg
 
Hiki ndicho kitu Serikali nyingi zinaweza,KUDHIBITI&KUZUIA.

Ila mambo ya msingi kabisa yanayolalamikiwa na wananchi wala hayapewi kipaumbele.
 
wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.

Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.

Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu

Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai

Ibaki mitandao yenye maana kama twitter

PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.

TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
Mchango mzuri ila kwenye insta na mitandao mingine sijakubaliana na wewe.
 
Hayo mambo unafikiri wanaangalia CHADEMA tu? Hadi wanaccm wapo wanaangalia.
CCM bhana wanajifanya smart kwa kila kitu kumbe ni wapigaji tu.
Vijana wa CHADEMA huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1

Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa wanachadema

USSR
 
Vijana wa CHADEMA huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1

Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa wanachadema

USSR
TBC1 dah hongera mkuu kwa busara zako.
 
Jinga kabisa yaan ruhusu mapicha ya sex yanayotuharibia watoto wetu et kisa mapato? Serious MTU mzima na Akil zako et Serikal iangalie upya iachie mambo ya kijinga haya yaendelee?
 
Siku wakifungia Telegram ndio nitaumia... Sites za pilau nina miaka kama 3 sijawahi kuingia...

Nilikua member Deep Web kisa pilau nilikoma baada ya kudownload mavirus.. Nani anajua sites za kule za bure anipe assist..!?
hivi telegram mapilau mnayapatia wapi
 
Back
Top Bottom