Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

wakizuia mapato ya serikali yatapungua kwenye tozo za vifurushi vya internet
 
Vijana wa huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1

Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa vijana

USSR
Sio ujinga bhana, kesho wakija kusema ni marufuku kufanya doggystyle na mpemzi wako utakubali? Maana wengine doggystyle ni ujinga pia
 
Jinga kabisa yaan ruhusu mapicha ya sex yanayotuharibia watoto wetu et kisa mapato? Serious MTU mzima na Akil zako et Serikal iangalie upya iachie mambo ya kijinga haya yaendelee?
Aisee hizi mambo kuna watu wazima na akili zao na pia ndio wanajifanya washauri na wakataa maovu wanaangalia sana tu , tena usikute hata ww mwenyewe ni member mzuri tu,
 
MUNGU ANAKUPENDA SANA.

Ndio, sijakosea.. Mungu ANATUPENDA SANA na ndio maana Ameuleta ujumbe huu mbele yako leo hii.

Ni uamuzi wako, Kuchagua Mema na Uzima AU mabaya na mauti.

Mimi ni mdhambi kama wewe, ndio wewe ni mdhambi kama mimi, lakini Mungu hapendi tuishi katika dhambi na ndio maana Ametupa muda wa kuwa hai mpaka wakati huu unaposoma ujumbe huu.

Fikiria wangapi wanakufa sekunde hii kabla hawajapata nafasi ya kuusoma ujumbe huu?

Mimi sitaki kukuambia kuwa kwa kufanya hivi au vile hauta pata nafasi ya kwenda peponi, Hapana... Mimi nataka nikuambie, KAMA HAUTA TUBU MADHAMBI YAKO SASA UNGALI UNA NGUVU NA UWEZO WA KUFANYA HIVYO, Basi itakuwa ngumu kuingia peponi.

Iogope Zinaa, dhambi zote hufanyika nje ya mwili.. ila Zinaa ni ndani yako, ndio ndani ya huo mwili ambao Mungu amekupa umtumikie Yeye.

TUBU, narudia tena TUBU.. Nakuomba TUBU NA UREJEE KWAKE MUNGU AMBAE NDIYE MUUMBA WETU, ACHA KIBURI, USIJIONE MSAFI... WEWE NA MIMI SOTE WACHAFU MBELE ZA MUNGU.

"Sote tumetenda dhambi Tutubu na Kurejea Kwa Mungu"

Ninamuomba Mungu, akutoe kwenye huo uraibu na hivyo vifungo vya nafsi na roho.. TUBU HUJACHELEWA NDUGU YANGU.

SAMAHANI KAMA NIMEKUKWAZA, TUBU UNIOMBEE NA MIMI.

20.08.21 (TUBU Ewe Mwanadamu)
 
wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.

Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.

Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu

Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai

Ibaki mitandao yenye maana kama twitter

PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.

TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
Msituletee sasa Sharia Law ya Afghanistan mtatumaliza
 
Naomba link ya porn site kali (HD) yenye clip 'fisting'
 
Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.

jaribu kuzuia vpn tuone. hahahahahahahah
 
Back
Top Bottom