Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Usidharau mkuu porn si nzuri hasa kisaikolojia ni ulevi mbaya sana unaowafanya watu wajifunze hata michezo michafu! Binafsi naona wapo sahihi kabisa.
Unapangia vipi watu mambo ya miili yao? Wapige marufuku na pombe na pombe kama kigezo ni kudhuru akili.
 
wafunge na telegram maana huku zipo za kutosha kwa dada zetu na kaka zetu. sikuwahi kujua bongo kumeharibika hivi watu wana record ngono wanauza telegram na sura waziachia kama ulaya hivi.
 
wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.

Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.

Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu

Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai

Ibaki mitandao yenye maana kama twitter

PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.

TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
Kila mtu ana Uhuru wake, haulazimishwi kufungua .
 
Wewe Bata kafanye unavyotaka huo mwili wako usichoshe hadhira na mwili ni wako.
Nyie vijana mliozaliwa baada ya Soko huria kuanza mna matatizo sana. Mkishindwa kujibu jambo, mnaishia kutukana.
 
Back
Top Bottom