Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Wewe kijana wa zamani angalia hizo video na uwape na wanao waangalie pia issue is very simple tumia mwili wako uwezavyo ndugu..
It's a matter of principle. HAKI YA FARAGHA YA WATU. Sisi raia tukiichekea serikali inapoingilia maisha ya faragha ya watu, tumeiruhusu iendee mbele zaidi. Atakuja mwenye akili zake, naye atasema haamimini Mungu au Makanisa yanapiga kelele, atapiga marufuku dini zote.
 
Nafanya kazi ya kukumbusha watu warejee kwa Mungu, TUBU MUNGU ANATAFUTA WADHAMBI WARUDI KWAKE LEO HII..

SIKO HAPA KUKUFATILIA, MUNGU ANATAFUTA WADHAMBI WARUDI KWAKE... ACHA KIBURI KAMA UNAJIONA MSAFI BASI UJUMBE HUU HAUKUHUSU..

ILA KAMA WEWE NI MDHAMBI KAMA MIMI, TUBU LEO KAKAANGU.
Mungu Gani unazungumzia Kama huyu huyu wa Wayahudi hata hunishauri kumhusu hanihusu Mimi wapelekee wa Galilaya wa kale

I proud to be a Bena na Mtanzania kutoka huku Nyumbanitu Njombe hizo dini wapelekee nyumbu waliopoteza matumaini Kwa kukana Asili zao wawe misukule wa Zeus a.k.a Jezeus mgiriki!
 
Sa we nani kakwambiaa mi na Mungu tuna beef!
Si ajabu Mshua ana bragg on me.
Wewe tubu tu, Mungu anapenda wasafi.. huwasikiliza na kuwasaidia Hima.

Haijalishi unasali/kuswali na kutoa sadaka na zaka kiasi gani wewe Tubu leo hii, tubu ndugu yangu
 
Mitandao iliyoanza kufungiwa ni ile pendwa yenye waangaliaji wengi, ndani ya mda/siku chache baada ya watu kuendelea kutafuta vyanzo vingine navyo vitabainika na kufungiwa. Tuupe mda wakati
 
Mungu Gani unazungumzia Kama huyu huyu wa Wayahudi hata hunishauri kumhusu hanihusu Mimi wapelekee wa Galilaya wa kale

I proud to be a Bena na Mtanzania kutoka huku Nyumbanitu Njombe hizo dini wapelekee nyumbu waliopoteza matumaini Kwa kukana Asili zao wawe misukule wa Zeus a.k.a Jezeus mgiriki!
Tubu kwa mungu aliyekuumba wewe Mungu anayekupa pumzi, afya na uhai unaotumia kuabudu miungu wengine.

Mungu hatafutwi kwa wagiriki/waarabu, yupo hapo ulipo.

Ukitaka kumuona, TUBU na umkaribishe ndani yako atakuongoza milele daima.

Tubu acha kiburi ewe mmbena mwenzangu.
 
Ila mnatuonea sana.
Mungu akuonee wewe au mimi kisa nini?

Mungu ANATUPENDA SANA na ndio maaana kakupa nafasi ya kusoma ujumbe huu, shetani ndio hukuonea na ndio maana anakuvuta kwenye mambo ya kumchukiza na kumkasirisha Mungu.
 
It's a matter of principle. HAKI YA FARAGHA YA WATU. Sisi raia tukiichekea serikali inapoingilia maisha ya faragha ya watu, tumeiruhusu iendee mbele zaidi. Atakuja mwenye akili zake, naye atasema haamimini Mungu au Makanisa yanapiga kelele, atapiga marufuku dini zote.
He he! Mkuu hivi unaujua uraibu wa hizo video au unasema tu faragha! Hivi unaiacha jamii inaangalia video za uchi nyengine za usagaji na ushoga then unasema faragha! We unatetea then unaanza kusema vijana wa Sasa sijui vipivipi!! Hivi ukiwa kama mzazi unakuja kugundua mwanao amekuwa shoga kisa kajifunzia huko utajisikiaje..? Mwanao akose urijali wake kisa hayo mavideo kwa kuyapigia punyeto nayo ni faragha hiyo!!.

Mnatudharau vijana wasasa ila sie ndo tunauishi huo usasa wengine wanachoropoka wengine wananasa!,tunajua madhara ya hayo mambo.. ikiwa kama mkubwa lazima uelewe madhara ya teknolojia sio unatetea tu faragha,faradha nyengine hazifai acha waingilie tu ni shida sana haya mambo,Tena waje na kwenye movie Kuna movie za hovyo sana zinakuja na maudhui ya kipuuzi sana!.

Inapobidi serikali iingilie kati tu acheni mambo yenu ya hivyo.. hata hayo makanisa yapo baadhi yapo kwenye makazi yanakelele kweli mpk kero. Katika swala la kuabudu tz ishajipambanua vizuri tu.
 
1- Naughty America
2- Shemalecam69
3- Reality Kings
4- Brazzers*
5- Bang Bros*
6- Mofos
7- evil angel
8-blacked.com
9- red tube*
10- xnxx*
11- xvideos*
12- pornhub*
13- girlsway.com
14- chartubate
Hizo zenye nyota hazioneshi ila hizo nyingine zote zinaonesha na ni Kali Sana ntaendelea kuleta sites nyingine nyingi kulingana na ubora
 
1- Naughty America
2- Shemalecam69
3- Reality Kings
4- Brazzers*
5- Bang Bros*
6- Mofos
7- evil angel
8-blacked.com
9- red tube*
10- xnxx*
11- xvideos*
12- pornhub*
13- girlsway.com
14- chartubate
Hizo zenye nyota hazioneshi ila hizo nyingine zote zinaonesha na ni Kali Sana ntaendelea kuleta sites nyingine nyingi kulingana na ubora
Ukitumia VPN unaziona zote
 
Tubu kwa mungu aliyekuumba wewe Mungu anayekupa pumzi, afya na uhai unaotumia kuabudu miungu wengine.

Mungu hatafutwi kwa wagiriki/waarabu, yupo hapo ulipo.

Ukitaka kumuona, TUBU na umkaribishe ndani yako atakuongoza milele daima.

Tubu acha kiburi ewe mmbena mwenzangu.
Acha kuharibu nyuzi za watu Kwa kujifanya motivation speaker wa huyo Mungu wako Kila mtu humu ana akili zake za kujua jema na baya Kila mtu atapima matendo yake mwenyewe na huyo Mungu wake wewe nani uanze kumshirikisha ndugu?
Naona umekomalia sana huu Uzi kama umetumwa na huyo Mungu vile uje humu kumbe kiherehere chako tu,
Mnaboa sana nyie watu halafu huwezi nibadilisha unavyotaka wewe naishi na namuabudu huyo Mungu Kwa style yangu Kama walivyomwabudu mababu zangu kabla ya hizo dini za kuletewa na Merikebu na wamisionari!
 
He he! Mkuu hivi unaujua uraibu wa hizo video au unasema tu faragha! Hivi unaiacha jamii inaangalia video za uchi nyengine za usagaji na ushoga then unasema faragha! We unatetea then unaanza kusema vijana wa Sasa sijui vipivipi!! Hivi ukiwa kama mzazi unakuja kugundua mwanao amekuwa shoga kisa kajifunzia huko utajisikiaje..? Mwanao akose urijali wake kisa hayo mavideo kwa kuyapigia punyeto nayo ni faragha hiyo!!.

Mnatudharau vijana wasasa ila sie ndo tunauishi huo usasa wengine wanachoropoka wengine wananasa!,tunajua madhara ya hayo mambo.. ikiwa kama mkubwa lazima uelewe madhara ya teknolojia sio unatetea tu faragha,faradha nyengine hazifai acha waingilie tu ni shida sana haya mambo,Tena waje na kwenye movie Kuna movie za hovyo sana zinakuja na maudhui ya kipuuzi sana!.

Inapobidi serikali iingilie kati tu acheni mambo yenu ya hivyo.. hata hayo makanisa yapo baadhi yapo kwenye makazi yanakelele kweli mpk kero. Katika swala la kuabudu tz ishajipambanua vizuri tu.
Hebu tuwe critical kidogo, bila ushabiki na jazba.

kuwa Porn inaleta Ushoga. Na njia ya kudhibiti ni kudhibiti mitandao hiyo ya ngono. Mimi nasema ni uono mfupi, na ni kukata matawi badala ya mizizi wakati unajua matawi yatachipuka.

Ushoga kwa kiasi kikubwa hausababishwi na na ponografia, bali ni malezi mabovu ya watoto. Ukisikiliza testmonies za mashoga wengi, chimbuko ni kuharibiwa wakiwa watoto na wala haihusiani kabisa na utazamaji wa porn. Kisayansi, mtoto anayeanza kuchezewa kabla hajabaleghe, huyo ana chance kubwa ya kuja kuwa shoga.
 
Waje wafungie na hii mifugo uku mitaani maana wanateleza tu adharani
 
He he! Mkuu hivi unaujua uraibu wa hizo video au unasema tu faragha! Hivi unaiacha jamii inaangalia video za uchi nyengine za usagaji na ushoga then unasema faragha! We unatetea then unaanza kusema vijana wa Sasa sijui vipivipi!! Hivi ukiwa kama mzazi unakuja kugundua mwanao amekuwa shoga kisa kajifunzia huko utajisikiaje..? Mwanao akose urijali wake kisa hayo mavideo kwa kuyapigia punyeto nayo ni faragha hiyo!!.

Mnatudharau vijana wasasa ila sie ndo tunauishi huo usasa wengine wanachoropoka wengine wananasa!,tunajua madhara ya hayo mambo.. ikiwa kama mkubwa lazima uelewe madhara ya teknolojia sio unatetea tu faragha,faradha nyengine hazifai acha waingilie tu ni shida sana haya mambo,Tena waje na kwenye movie Kuna movie za hovyo sana zinakuja na maudhui ya kipuuzi sana!.

Inapobidi serikali iingilie kati tu acheni mambo yenu ya hivyo.. hata hayo makanisa yapo baadhi yapo kwenye makazi yanakelele kweli mpk kero. Katika swala la kuabudu tz ishajipambanua vizuri tu.
Kwa nini umchagulie mtu cha kufanya.
Yani wewe mlokole unilazimishe unayoyaamini. Zama hizo tulishatoka ndio masna kuna malaya kola kona, kazi yangu ni kuamua niwanunue au nisiwaanunue.
Mimi nikimnunua malaya wewe hupungikiwi wala hauzidishiwi chochote.
Nikibaka nikosa la jinai ila tunakubaliana wawili wewe inazuia kwa interest zako.
 
Back
Top Bottom