Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,884
- 5,235
Watu walio desperate wana shida sana. As if huyo Mungu wana umiliki naye wao tu!Yaani kuna watu wanataka mtu aishi watakavyo wao
I’ll always disappoint them.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu walio desperate wana shida sana. As if huyo Mungu wana umiliki naye wao tu!Yaani kuna watu wanataka mtu aishi watakavyo wao
I’ll always disappoint them.
xvideos bado inapatikana
Poleni watanzania, suala la porn ni private matter sio public interest,mtaishia wapi? Kupekua nyumba hadi nyumba kujua wanandoa wanalalaje?
Kazi mnayo...
Nilichelewa kuleta ujumbe wa MUNGU kwako, hiyo ndiyo dhambi yangu, na kwa hakika ninaitubu leo.Uliangalia pono au licheza?
Umeoa/olewa?Nilichelewa kuleta ujumbe wa MUNGU kwako, hiyo ndiyo dhambi yangu, na kwa hakika ninaitubu leo.
Tubu, next thirty years of yours will be joyfully.Watu walio desperate wana shida sana. As if huyo Mungu wana umiliki naye wao tu!
Nitubu nini?Tubu, next thirty years of yours will be joyfully.
Tubu ndugu, hakuna mkamilifu kwa Mola.
Sasa sisi wadhambi ndo tunahitaji nyie watakatifu mtuachie huu uzi wetu tudhambike.🙏🏾 Hakuna mkamilifu
Ila mnatuonea sana.Tubu, next thirty years of yours will be joyfully.
Tubu ndugu, hakuna mkamilifu kwa Mola.
Wewe kijana wa zamani angalia hizo video na uwape na wanao waangalie pia issue is very simple tumia mwili wako uwezavyo ndugu..Nyie vijana mliozaliwa baada ya Soko huria kuanza mna matatizo sana. Mkishindwa kujibu jambo, mnaishia kutukana.
Ukute sisi tutaingia mbinguni na tushasamehewa mwayego.Watu walio desperate wana shida sana. As if huyo Mungu wana umiliki naye wao tu!
Ulitaka kuijua dhambi yangu, je umeifahamu au bado hujaridhika?Umeoa/olewa?
Vere simpoWewe kijana wa zamani angalia hizo video na uwape na wanao waangalie pia issue is very simple tumia mwili wako uwezavyo ndugu..
Acha ukaidi. Jibu swali. Ukaidi ni dhambi.Ulitaka kuijua dhambi yangu, je umeifahamu au bado hujaridhika?
Tubu kaka muda ndio huu, najua unapata ugumu ila wewe tubu tu Mungu MWAMINIFU ATAKUSAMEHE na kukutoa kwenye vifungo na kila aina ya utumwa unakuandama.
TUBU narudia tena TUBU
SOTE TUNA HAKI SAWA YA KUINGIA MBINGUNI.Ukute sisi tutaingia mbinguni na tushasamehewa mwayego.
Ujumbe na avatar yako Sasa..🤣🤣Ukute sisi tutaingia mbinguni na tushasamehewa mwayego.
Si ajabu tupo list ya Malaika watakaonawisha mikono watu ili washike kitasa cha mbinguni.Ukute sisi tutaingia mbinguni na tushasamehewa mwayego.
Shukuru kama umeanza kufahamu kuwa ukaidi ni dhambi.Acha ukaidi. Jibu swali. Ukaidi ni dhambi.
Umeoa/umeolewa?
Sa we nani kakwambiaa mi na Mungu tuna beef!SOTE TUNA HAKI SAWA YA KUINGIA MBINGUNI.
ILA HAKI HIYO INAKUJA BAADA YA KUTUBU NA KUTIA JUHUDI YA DHATI KATIKA KUTENDA MEMA NA KUMPENDEZA MUNGU.
Tutubu jamani, tumrudie Muumba wetu.
Na wakianza kubaka mbuzi na kukuWakianza kupigwa chabo dada zenu ndio utajua umuhimu wa hizo videos!