Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Wafungie na zile za Instagram wale wadada wanao tikisa masaburi, labda pengine inaweza saidia nikaweza kuacha nyeto
 
Nimekaa nikawaza, najua asilimia kubwa ya watu hapa Tanzania wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online.

Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB

Sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguzia kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yaani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine, hapo serikali inakuwa imejiongezea mapato zaidi.

Serikali iangalie upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
 
Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Naunga mkono hoja ili kunusuru kizazi cha sasa na baadaye, siku hizi ngono haina faragha imekuwa ngono holela...........tutafika tuwe kama ng'ombe tunapandana hadharani....
 
Wacha wafunge tu as long as nimedownload za kutosha nitakuwa nazipitia mdogomdogo ni za kutosha ninaweza kuziangalia mpaka siku roho itakapotwaliwa bila kuirudia hata moja
 
Nina full package had sim imekua nzito maana nime download mzigo wa kuangalia miaka 6 bila kurudia vdeo
Wakati huo natafuta mbinu nyingine ya kufikia site pendwa

Itakuwa wewe ndo yule mwamba aliyetumiwa Email kuwa mizigo imeisha tuki-upload mingine tutakujulisha
 
Naskia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali Maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi Maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Kama wametumia pesa kuzuia.. basi wajue wameichezea pesa Bora wangnunulia Tu mitungi ya oxygen [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nasikia wapiga kunyeto wamekaa kikao cha dharura tangu asubuhi hadi muda huu na hawajafikia mwafaka.

Mwenyekiti wao amepanga kwenda kuweka zuio mahakamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
 
Nimekaa nikawaza,najua asilimia kubwa ya watu hapa Tz wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online

Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB

sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguza kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha,ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine ,hapo serikali inakua imejiongezea mapato zaidi.

Serikali iangalia upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
Vijana wa huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1

Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa vijana

USSR
 
Nani kafanya uu upuuzi wameban saa ngapi hakika tutamkumbuka yuke mtu alafu ndo kwanzaa asubuhi ,tukafanye tambiko chato kufuta hizi kauli za marehemu
Mitandao mingi hasa ile iliyozoeleka na watu kama Xvideos,pornhub na mingine imepigwa ban
 
Sisi wenye nchi hatutaki mapato kutoka vyanzo viovu. Ni mapato ya aibu. Haya uliyosema ni ya kufikirika maana takwimu zako hazijathibitika.
wapige ban sigara, pombe na biashara chafu zinazotangazwa na mitandao ya kijamii mpaka page maalumu.
 
Nimekaa nikawaza,najua asilimia kubwa ya watu hapa Tz wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online

Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB

sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguza kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha,ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine ,hapo serikali inakua imejiongezea mapato zaidi.

Serikali iangalia upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
Mkuu ni mitandao ipi ya porn iliyofungiwa? Kwenye network providers gani? Mbona hiyo mitandao ipo na inafunguka tu Google chrome.
 
Back
Top Bottom