Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
VPN haizuilikiNasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Haiwezekani waluga luga tushindwe zama chimbo kuzicheki hebu tupeni mbinu mbali mbali za kuwazoom kina grand Cherokee!
😜😜😜😜😁😁😁
Uzuri hata hao waliozifungia hawazijui zote........kuna zaidi ya site milioni na upuuzi za haya mamboHata na hivyo wamefungia kwa baadhi tu ila zingine zinakamata kama kawaida
victoire kama ni type II nikupe dawa mama..Mimi ndo mwenye sukari. Itakuwa umechanganya madesa.
Kwa MUNGU...Nitubu nirejee kwa Gwajima au Mwamposa?
Naona link ya u-lesbian apo, afu nilikua nakuheshimu.
Unapumua? Uko salama?Uzuri hata hao waliozifungia hawazijui zote........kuna zaidi ya site milioni na upuuzi za haya mambo
Sasa VPN wanazuia vp unachukulia hivi vitu ni simple simpleNasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Hahahaha naona kaka Jambazi anaanza kukumaind vitu vidogo,kiufupi tusipangiane style ya maisha au sio?I don’t live to please people.
Can i ask you something my dear sister? Stop pleasing people, please your Almighty.I don’t live to please people.
Toba itafuta porn sites?Kwa MUNGU...
Mungu hatizami unasali kwa nani, unaswali wapi?
Anatizama moyoni mwako... Mungu ana mahusiano na mmoja mmoja na sio kama kundi... Kwenda sana msikitini/kanisani kunaweza kusikupe nafasi ya wewe kwenda peponi.
Mtafute Mungu kwa dhati toka ndani ya roho yako, UTAMUONA/ATAKUJIBU.
TUBU KAKA ACHA KEJELI, TUBU LEO TAFADHALI... NAKUOMBA NDUGU YANGU WEWE TUBU TU, MUNGU NI MWAMINIFU ATAKUSAMEHE.
Mtumishi wa Bwana unatafuta Nini kwenye huu Uzi aisee nakushauri huwezi mbadilisha mtu mzima aliuekubuhu Kwa style Yako hiyo unapunga upepo Bure tu Bora ukawahubirie Wataliban huko waache maasi!Unapumua? Uko salama?
Kuna mwenzio yuko mweisela pale sasahivi anapumulia mipira, kwa oksjeni bandia..
Mwingine yupo mecca anakata roho sasa hivi.
TUBU kakaangu, acha kejeli, narudia tubu USISHUPAZE shingo itakatika Tubu leo ndugu.
Sisi sote tumetenda dhambi Tutubu na Kurejea Kwa Mungu.
Can i ask you something my dear sister? Stop pleasing people, please your Almighty.
Tubu uirejeze nafsi yako mikononi mwa Mungu, acha kiburi cha kujiona mzuri.. wewe ni mdhambi kama mimi, wacha kiburi cha uhai.. dkt remmy (sura mbaya) alikuwa hai kama wewe.. yu wapi leo hii.
Tubu leo na umpendeze Muumba wako, TUBU acha dharau.
Wewe usizifuatilie hizo sites, fuatilia roho yako acha kiburi niko hapa kukumbusha tu, (funika kombe mwanaharamu apite... Yaani acha kuangalia hizo site na zitapita/hutazifatilia).Toba itafuta porn sites?
Ewe mlokole tumia muda huu kuombea video za ngono ziliwe na virusi
Do you know VPN ndugu..?[emoji1787]
Kama huna link ya porno nipe link ya kuniongoza kwenye tobaWewe usizifuatilie hizo sites, fuatilia roho yako acha kiburi niko hapa kukumbusha tu, (funika kombe mwanaharamu apite... Yaani acha kuangalia hizo site na zitapita/hutazifatilia).
Tubu kakaangu, mimi sio mlokole, ila wewe tubu.. Mungu mwema.
Nafanya kazi ya kukumbusha watu warejee kwa Mungu, TUBU MUNGU ANATAFUTA WADHAMBI WARUDI KWAKE LEO HII..Mtumishi wa Bwana unatafuta Nini kwenye huu Uzi aisee nakushauri huwezi mbadilisha mtu mzima aliuekubuhu Kwa style Yako hiyo unapunga upepo Bure tu Bora ukawahubirie Wataliban huko waache maasi!
Acha kiburi.Hongera mtakatifu.
Red wapStreet Latina nayo wamefungia jua hilo