Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Nasikia huko VPN haya Mambo yapo , hakuna walichokifanya
 
Twitter kuna content nyingi za porn kushinda hata hizo website walizo ban[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nani kafanya uu upuuzi wameban saa ngapi hakika tutamkumbuka yuke mtu alafu ndo kwanzaa asubuhi ,tukafanye tambiko chato kufuta hizi kauli za marehemu

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Poleni sana, hivi hili nalo ni la kulalamikiwa...

Kuna binadamu watakuja kusema, CCM ndiyo imetufikisha hapa...
Wapo takaosema tatizo ni wapinzani...
 
Twitter kuna content nyingi za porn kushinda hata hizo website walizo ban[emoji16][emoji16][emoji16]
Utakuwa una matatizo ya akili. Kabla haujatuma utumbo kama huo, hua unausoma kwanza au unauachia tu kama ushuzi wa shoga. 😁😁😁
 
Vijana wa huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1

Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa vijana

USSR
JF kila mtu mtakatifu[emoji16]
 
Huijui Twitter wewe..huko ukiamua kupatumia vzr huna haja ya kufungua website za porn.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huu nao Kumbe ni mjadala mkubwa kiasi hiki!!!kweli hizi ni nyakati za mwisho
 
Poleni sana, hivi hili nalo ni la kulalamikiwa...

Kuna binadamu watakuja kusema, CCM ndiyo imetufikisha hapa...
Wapo takaosema tatizo ni wapinzani...
Hii nchi Kila mtu mjuvi wa mambo,tatizo ndo huanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…