Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Tcra wanafail sana vitu vingine sio kuzuia ilitakiwa watumie kama fursa maana nchi zingine website kama hizo zinatozwa Kodi kubwa ambapo wanakua wamepiga ndege wawili kwa jiwe moja ie kukusanya mapato na pia kudhibiti kwa watakaoshindwa kulipia
Pia wanafail sana badala wakomae kwenye udhibiti wa wizi na utapeli kwenye mitandao wao wako busy kuzuia starehe za watu ambao kimsingi wanambinu mbadala za kuendelea kuburudika ie VPN
 
Sio hawajafungia ukienda google nikama kawaida..kikubwa uwe na GB zakutosha maan video zenyewe saivi ni quality sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kufungia website za ngono kutakuza soko la ndani la zile zinazosambazwa kwa njia ya CD na flash.

Badala ya wabongo kumaliza mawazo yao kwenye mitandao ya wazungu, watahamia kununua CD na flash zilizojazwa package hizohizo.

Viongozi wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti wao bado hawaijui saikolojia ya mwanadamu. Pia hawajui nguvu ya teknolojia.

Kwenye hili madhara ni makubwa kuliko faida. Kukuza soko la ndani la usambazaji wa video za ngono ni hasara. Wangewaacha wale wachache wanaoponea kwenye mitandao wafanye hivyo, ili demand ya hizi za kutembeza barabarani ipungue.
 
Zipo sana, serikari yetu kuna mambo wangekuw wanaomba hata msaada maana wanachekesha tu. Wamefunga kweli lakin watu wanazipata sana sana tena kirahis tuu
 
Vijana wa huwa mnawaza kwa kutumia nini,mm data zangu huishia jf , BBC,aljazeera, CNN , DW ,mwanachi na TBC1

Huo upuuzi wa kungalia sexual movie ni ujinga wa vijana

USSR
So na wewe ujiona matawi sana kuangalia cnn,dw,bbc sikatai hii nawe ni burudani yako,binadamu lazima tuelewe kwamba sisi hatujaumbwa kufanana hata chembe, kila mmoja ana aina yake ya burudani.
Iwe kuangalia porn,football,cinema,na kadhalika yote haya yapo kwa ajiri ya kuifurahia dunia
 
Ilichofanya serikali ni kuziba shimo la panya Kwa mkate wa bakhresa,
Kitu inatatuliwa Kwa VPN ya MB 5 tu Playstore dadeq!
😁😁😁😁😁
 
wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.

Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.

Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu

Na nashauri mi

Jinga kabisa yaan ruhusu mapicha ya sex yanayotuharibia watoto wetu et kisa mapato? Serious MTU mzima na Akil zako et Serikal iangalie upya iachie mambo ya kijinga haya yaendelee?
Mtoto wako ataharibika kutokana na malezi yako na wala sio video za ngono.
Pumbavu
 
Wachache wataelewa hili .. ni zaidi ya liberation kwa afya na akili za waliokuwa wahanga aliyeleta hili Jambo anastahili pongezi
Afya ya akili muitoe wapi? Hata mkipata afya ya akili hakuna chochote cha maana mtakachofanya ..Wazungu ndio wanaoongoza kwa kila aina ya uchafu na bado wametuzidi kila nyanja mnakuja kusingizia porn video
 
Dah mama samia sijui anatupeleka wapi yan. Anatunyima haki zetu za msingi.

Anahis anatufunza maadili asee
 
Serikali kama ipo humu naomba ifungie na huu mtandao wa PAMOKO PAMOKO
Mishipa inavyotutoka hapa kukemea maadili watu wanahisi tunastress za maisha. Mimi kama mzazi, kama kaka, kama mjomba, baba mdogo, baba mkubwa, na mwanaume . Siwezi kukubali jamii yangu ipate hii fedheha hata kidogo. Nitapambana hadi uzeeni.
 
Back
Top Bottom