Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Mmh, we kibokoKuna browser moja matata sana
Hapa natereza tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh, we kibokoKuna browser moja matata sana
Hapa natereza tu
Ova
Ipo wazi labda huo ulioufungua ndiyo umefungwa tena ipo mingi zaidi ya ya ilivyokuwa mwanzo.Kulikuwa na taarifa za watu kulalamika mualiko wa Ambar Rutty katika shule mmoja Temeke. Nikataka kuingia mtandao mmoja wa pilau ili niangalie tena ile clip ya Ambar Rutty. Nimejaribu jana la leo mtandao umegoma kabisa.
Lakini nikakumbuka kama serikali ilitoa tamko la kutaka kufungia hiyo mitandao. Je imeshafungiwa tayari?
Kama imefungiwa naipongeza sana serikali
Kutafuta kura za ubunge na urais mkuu.Hivi mnaingia humo kutafuta nini?
UpakoHivi mnaingia humo kutafuta nini?
For life....Brazzers and Sisterrs!
Kweli mkuu natumia Ha tunnel plus na stark vpn. Kote natumia FREE INTERNET KILA SIKUUnatumia VPN ndo maana unaipata