Week end Special

Sijambo sana tu niko fresh,achaa matata unataka kujihalalishia sio

heheeh hapana bana! Shukuru sana umeumbwa kadada, hivi unaposkia mwanaume kabaka mbuzi au kifaranga cha kuku bado haitoshi tu kukuthibitishia kwamba wanaume wana extra excuse?
 


I know dear... I know kabisaa na do accept kua haya mambo yakitokea katika ndoa things never be the same again, In fact kuna thread iliwahi uliza hii issue ya Would you say it? (Courtesy of Kaizer) LINK ... Hii page post # 219 for nishakuwekea page.. nimeelezea vipi nitachukulia nikigundua ka cheat, na ni kipi kitanifanya nibaki ama niondoke... Hii thread ilitoa saana insight ya jinsi members wake kwa waume wanachukulia cheating...

Narudia i am very possessive... But my possessiveness inaweza isiwe evident kwake akaona kama namuacha huru (in the sense i have my lines/bounderies i don't allow him to cross) - I do that kumsoma zaidi... Na lingine naongea mambo mengi from experience, i was married (my first ndoa) for kama 19 months... in those months huyo ex ali cheat na wanawake watatu (hao ndio i was aware... you can imagine) wa nne nilimwambia najua mienendo yake na nikaachia ngazi... Hakuamini... Bado haamini... Hivo ninaposema i understand him to cheat.. Simaanishi nafumbia macho daima... Kuna factors nyingi... Haya mambo ya ndoa haya.... Hapa naona sina la kuongeza....
 
Mbona wanaume wengine huwa wakianza huko nje home inakuwa goodbye kama swala ni kuongeza idadi ya siku za kufanya mapenzi, mapenzi yanaelemea upande mmoja, nakubaliana na baioloji, pia unaweza panga ratiba tu na mkeo akahimili vishindo
 
Samahani ashadii kwa kukuuliza hili swali nataka klorokwini apate picha fulani, mumeo wa kwanza alipo kuwa anacheat, aliendelea kuwa wa kawaida kitandani? hakuwa anakutolea nje au alimanage vipi...samahani kama huwezi jibu ipotezee
 
heheeh hapana bana! Shukuru sana umeumbwa kadada, hivi unaposkia mwanaume kabaka mbuzi au kifaranga cha kuku bado haitoshi tu kukuthibitishia kwamba wanaume wana extra excuse?
Kwa kweli nashukuru ila navojua wanaume akipata chombo kipya inakuwa balaa tena sio kwamba anapunguza hamu anahamia kabisa kimawazo,kiakili na kwa kila kitu, mara nyingi inatokea
 
Ashadii , Tulizo ni stranger wako nini,hahahahaaa joke, it seems humu kila mtu ana secret admire wake ila Tullizo huwa napenda sana na mie michango yake


ha ha ha.... Hapana Gaga... Your joke is a good one... Can not imagine him in those lines... Mbona roho yangu itateseka saaana... Maana misimamo yake mmmh! Tulizo hutoaga insights very unique ambazo sometimes nashindwa nielewe kama nimuonee wivu ama vipi...lol.. Stranger wangu mie Sweetie...lol.. Oh! Sio stranger tena maana tushafunga Ndoa (shahidi Kloro...lol)
 
Mbona wanaume wengine huwa wakianza huko nje home inakuwa goodbye kama swala ni kuongeza idadi ya siku za kufanya mapenzi, mapenzi yanaelemea upande mmoja, nakubaliana na baioloji, pia unaweza panga ratiba tu na mkeo akahimili vishindo
Nimekaa muda mrefu kwenye ndoa na nimeyaona yote haya , akiwa na mwanamke unaweza hata lia kwa kuomba unyumba tu, anakuwa amebase upande mmoja anakuwa na hasira za mara kwa mara hata kwa jambo dogo tu, sasa kama ingekuwa kupunguza hamu tu asinge egamia upand e mmoja coz baiolojia inamruhusu kuwa na kufanya mapenzi pande zote bila kutetereke
 
Sweetie anaingia mitini sana siku hizi, bora uhamie kwa tulizo ,mnaongea kwa lugha moja,nimemwona leo sijui mitaaa gani mara kapotea
 
Samahani ashadii kwa kukuuliza hili swali nataka klorokwini apate picha fulani, mumeo wa kwanza alipo kuwa anacheat, aliendelea kuwa wa kawaida kitandani? hakuwa anakutolea nje au alimanage vipi...samahani kama huwezi jibu ipotezee


Usijali Shantel... I am good... In fact haku Change... and he was a Great lay....

Ni moja ya wale wanaume ambao mwanamke mmoja kwake sio kabisa... Na sijisifii... i know kua as much as anapenda Wanawake... Mimi alinipenda for real, for that is evident mpaka leo... My Man wakati wa mahusiano aliwahi chimbwa bit, kua he should not hurt me like he (the ex) did... That made me feel so good thou mpaka leo najua he still is a jerk! Na roho yangu ilikufa kabisa mpaka leo... in fact hata we don't communicate kabisa.
Hope nimekujibu sawa...
 
Nimekuelewa na nashukuru kwa kunijibu, kwa jibu lako klorokwini ameshinda kesi, baasi hawa wengine wanaume wanafanya makusudi
 
Dah ulibahatika rafiki huyu wangu alivokuwa anacheat anaenda mazima, hapo unaweza mbahatisha mara mbili kwa mwezi au moja au anapiga desh kabisa, ila akipigwa kibuti huko unaweza omba maji, aaahhhgr life goes on
 
Sweetie anaingia mitini sana siku hizi, bora uhamie kwa tulizo ,mnaongea kwa lugha moja,nimemwona leo sijui mitaaa gani mara kapotea

Saa ingine hata mimi hufikiria hivo... Ila nashindwa, ngoja niweze shinda roho yangu hii bishi.... (Alafu Tulizo does not even know kua na exist)
 
Saa ingine hata mimi hufikiria hivo... Ila nashindwa, ngoja niweze shinda roho yangu hii bishi.... (Alafu Tulizo does not even know kua na exist)
Anajikausha tu tulizo, ila mvumilie sweetie maana kakutoa mbali sana
 
Dah ulibahatika rafiki huyu wangu alivokuwa anacheat anaenda mazima, hapo unaweza mbahatisha mara mbili kwa mwezi au moja au anapiga desh kabisa, ila akipigwa kibuti huko unaweza omba maji, aaahhhgr life goes on

Hasa! na yeye ndo aliniingiza ulimwengu huo, jamaa alikua hachoki...lol.. Ila hio ya kubahatisha mara mbili kwa mwezi hio kali... What do you do? yaani mechi inakua more than dakika 90 ili ulipize? lol

Anajikausha tu tulizo, ila mvumilie sweetie maana kakutoa mbali sana

Umeona eeeh?? Na bado tutaenda mbali....
 
Ukiwa na stranger kama huyu si mbaya , au ndio stranger wa shantel huyu??nimependa mchango wako
 
Dah ulibahatika rafiki huyu wangu alivokuwa anacheat anaenda mazima, hapo unaweza mbahatisha mara mbili kwa mwezi au moja au anapiga desh kabisa, ila akipigwa kibuti huko unaweza omba maji, aaahhhgr life goes on
Na hapa ukicheat utaambiwa unakosea? wanaume wengine wanajitafutia mabalaa tu, maana nafikiria ingekuwa mie ningeandamana
 
NN, those are tough words...esp. that "golden rule". My question to you would be: How can I tell that I'm being true to myself?
 
NN, those are tough words...esp. that "golden rule". My question to you would be: How can I tell that I'm being true to myself?
Ulikuwa wapi vuvu na wewe, i think being true to your self ni pale unapoamua kufata moyo wako and nothing else, but subiri aje NN alway anakuja na majibu murua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…