sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Wasanii wengi wanaofanya kazi zao mikoani huwa wanaishia kutamba hukohuko mikoani lakini wapo wachache ambao walivuka boda na kupata umaarufu nchi nzima.
Uzi huu tuwataje wasanii waliofanya kazi zao mikoani lakini zikahit na kuwatambulisha nchini.
Marlaw - Iringa
Marlaw baada ya kumaliza form four alifaulu kwenda kidato cha 5 Mafinga, Alikuwa anaenda Iringa mjini Kurekodi Studio za Iringa Records wakati huo Producer ni Tuddy Thomas ambae kwa sasa kaajiriwa na Diamond, Ngoma iliyohit angali akiwa bado mkoani inaitwa Bembeleza
Belle 9 - Morogoro
Belle 9 akiwa Morogoro aliiachia "Sumu ya Penzi" aliyoirekodi studio za 'Rocker tz records' Producer akiwa ni 'Tris', Hii ngoma ilimtambulisha kwa kishindo kizito sana, ilisumbua mno vituo vya redio na Tv,
Uzi huu tuwataje wasanii waliofanya kazi zao mikoani lakini zikahit na kuwatambulisha nchini.
Marlaw - Iringa
Marlaw baada ya kumaliza form four alifaulu kwenda kidato cha 5 Mafinga, Alikuwa anaenda Iringa mjini Kurekodi Studio za Iringa Records wakati huo Producer ni Tuddy Thomas ambae kwa sasa kaajiriwa na Diamond, Ngoma iliyohit angali akiwa bado mkoani inaitwa Bembeleza
Belle 9 - Morogoro
Belle 9 akiwa Morogoro aliiachia "Sumu ya Penzi" aliyoirekodi studio za 'Rocker tz records' Producer akiwa ni 'Tris', Hii ngoma ilimtambulisha kwa kishindo kizito sana, ilisumbua mno vituo vya redio na Tv,