Weka hapa msanii alieweza kupata umaarufu nchini akiwa bado yupo mkoani

Weka hapa msanii alieweza kupata umaarufu nchini akiwa bado yupo mkoani

Baddes
Mimi sijui wewe ulikua mdau wa muziki miaka hiyo hao wasanii wanachomoka.. ila nilimfahamu PNC nikiwa Iringa huku yeye akiwa Mwanza, sasa Mwanza mpaka Iringa ni umbali mkubwa sana na hakukua na whatsapp wala facebook. Hiyo ni ushuhuda kuwa walitoboa Tanzania nzima.

Mwaipaya na Abubakari Sadick wameicheza ngoma hiyo ya mama, na ikawa kwenye chat za top 10 nk

Hata Sajna, alijulikana Tanzania nzima kwa wimbo wa Iveta ambao aliurekodi Mwanza na Kid Bway ndipo akaja Dar na kuendeleza umaarufu
Mimi sijui wewe ulikua mdau wa muziki miaka hiyo hao wasanii wanachomoka.. ila nilimfahamu PNC nikiwa Iringa huku yeye akiwa Mwanza, sasa Mwanza mpaka Iringa ni umbali mkubwa sana na hakukua na whatsapp wala facebook. Hiyo ni ushuhuda kuwa walitoboa Tanzania nzima.

Mwaipaya na Abubakari Sadick wameicheza ngoma hiyo ya mama, na ikawa kwenye chat za top 10 nk

Hata Sajna, alijulikana Tanzania nzima kwa wimbo wa Iveta ambao aliurekodi Mwanza na Kid Bway ndipo akaja Dar na kuendeleza umaarufu tu.
Sajna na Iveta nakubaliana na ww ila hao wengine hapana...ni kama baddest alivyotamba na nyimbo yake akiwa mbeya ila nyimbo ilipata umaarufu sehem kubwa ya nchi au tuseme ilitamba na dar es salaam pia
 
Ni kweli kabisa belle 9 alirekodi rocker tz records, Jina lilinitoka kidogo,.

Hapo kwa Yaki nakumbuka aliachia kazi flani ilisumbua sana nimeisahau jina ila mashairi yake ni >>> story za machiz wakikaa, kwamba sikuhizi nakosa furaha, am sorry kama nilijikwaa, hata tentz anajua we mshumaa maa, blinblin unaniacha kwenye giza, kama chizi kila kona nakatiza, honey please hata Amba ungemueleza, cheki ulivyonichjzisha, nashindwa kusoma shuleni unanifelisha, natuma mesej majibu sipewi, napiga simu haipokelewi, napata wazimu hata salamu siletewi

Shida kwa Yaki alivoachia hii hakupata hit nyingine
Yaki huyo- Tonight
 
Wasanii wengi wanaofanya kazi zao mikoani huwa wanaishia kutamba hukohuko mikoani lakini wapo wachache ambao walivuka boda na kupata umaarufu nchi nzima.

Uzi huu tuwataje wasanii waliofanya kazi zao mikoani lakini zikahit na kuwatambulisha nchini.

Marlaw - Iringa
View attachment 2783137

Marlaw baada ya kumaliza form four alifaulu kwenda kidato cha 5 Mafinga, Alikuwa anaenda Iringa mjini Kurekodi Studio za Iringa Records wakati huo Producer ni Tuddy Thomas ambae kwa sasa kaajiriwa na Diamond, Ngoma iliyohit angali akiwa bado mkoani inaitwa Bembeleza

Belle 9 - Morogoro

View attachment 2783243

Belle 9 akiwa Morogoro aliiachia "Sumu ya Penzi" aliyoirekodi studio za 'Rocker tz records' Producer akiwa ni 'Tris', Hii ngoma ilimtambulisha kwa kishindo kizito sana, ilisumbua mno vituo vya redio na Tv,
Sumu ya penzi.... Ilikua sumu kweli!...

Sumu ya muziki wa bongo flavour kipindi Ile!

By the way kule kwetu... Yuko Best Nasso! Mara nzima ilimjua kabla yenu nyinyi kumjua!
 
Ni kweli kabisa belle 9 alirekodi rocker tz records, Jina lilinitoka kidogo,.

Hapo kwa Yaki nakumbuka aliachia kazi flani ilisumbua sana nimeisahau jina ila mashairi yake ni >>> story za machiz wakikaa, kwamba sikuhizi nakosa furaha, am sorry kama nilijikwaa, hata tentz anajua we mshumaa maa, blinblin unaniacha kwenye giza, kama chizi kila kona nakatiza, honey please hata Amba ungemueleza, cheki ulivyonichjzisha, nashindwa kusoma shuleni unanifelisha, natuma mesej majibu sipewi, napiga simu haipokelewi, napata wazimu hata salamu siletewi

Shida kwa Yaki alivoachia hii hakupata hit nyingine
Hii ngoma imenikumbusha mbali
 
Back
Top Bottom