Weka hapa msanii alieweza kupata umaarufu nchini akiwa bado yupo mkoani

Weka hapa msanii alieweza kupata umaarufu nchini akiwa bado yupo mkoani

Mazoea tu, na wanaamini arusha kumejitosheleza kila kitu....zone ya arusha huwa sio wasanii tu bali na wengine hawaamini katika dar, wao wanaona dar ni extra kwa mambo yao.
Ni kiburi cha ujivini tu,

Kwa studio zipi hapo Atown mtu atavuma hii Tz ? Joh Makini kaimba sana hapo Arusha ila kapatia jina Dsm, Janjaro kaimba hapo Atown ila kapiga mshindo dsm, Lord eyes nae katobolea Dsm, list inaendelea tu.

waache hio roho ya umaskini jeuri, Mtu unaweza kufanya kazi zako Dsm lakini haimaanishi umeikacha Arusha, kufanya mziki wa malengo kwa mazingira ya Arusha ni ngumu sana, labda uwe unataka tu ule umaarufu wa mitaa ya Arusha

Namjua Izzo B kitambo wa Mbeya nae alisumbua Mbeya lakini nje ya hapo hakuna kitu, Alipohamia Dsm ndio aka shine kitaifa
 
Ni kiburi cha ujivini tu,

Kwa studio zipi hapo Atown mtu atavuma hii Tz ? Joh Makini kaimba sana hapo Arusha ila kapatia jina Dsm, Janjaro kaimba hapo Atown ila kapiga mshindo dsm, Lord eyes nae katobolea Dsm, list inaendelea tu.

waache hio roho ya umaskini jeuri, Mtu unaweza kufanya kazi zako Dsm lakini haimaanishi umeikacha Arusha, kufanya mziki wa malengo kwa studio za Arusha ni ngumu sana, labda uwe unataka tu ule umaarufu wa mitaa ya Arusha
Chuga hakuna exposure yoyote na hivi sasa ndiyo kabisa pamezubaa.
 
Chuga hakuna exposure yoyote na hivi sasa ndiyo kabisa pamezubaa.
Fido mwenyewe kaanza kushaini baada ya kuweka ego yake ya kiarusha pembeni, watu wengi wameanza kumjua siku hizi kumbe kaanza muziki kitambo.
 
Fido mwenyewe kaanza kushaini baada ya kuweka ego yake ya kiarusha pembeni, watu wengi wameanza kumjua siku hizi kumbe kaanza muziki kitambo.
Hata kina joh na nick wa pili, mziki wa kiarusha huwa sio hit song...
 
Mazoea tu, na wanaamini arusha kumejitosheleza kila kitu....zone ya arusha huwa sio wasanii tu bali na wengine hawaamini katika dar, wao wanaona dar ni extra kwa mambo yao.
Hakuna mkoa wakazi wake wanaona fahari kuja Dar kama Arusha.
Naongea kwa uzoefu
 
Joh makini katobolea Dsm

Jo makini kaanza kupata umaarufu Dsm pale alipoibuka na kazi yake ya 'Hao' aliyokuwa ameitoa mwaka 2005,chini ya utayairishaji wake 'producer Ludigo

2006 alitoa chochote popote chini ya utayarishaji wake producer 'Ambrose Dunga.

Baada ya hapo alitoa hit nyingine "Zamu Yangu" akiwa Dsm.
Wewe ndio umemjua Joh Makini akiwa Dar, huyo mwamba ameanza kuhit mbaya akiwa daraja mbili Arusha.

Ni vile watu wengi wa Dar huwa hawajui vitu vingine vinavyoendelea nje ya Dar.
 
Afande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)

Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)

Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)

Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?

Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)

Nick wa pili-Arusha

Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
Hujaelewa Swali bosssss
 
Wewe ndio umemjua Joh Makini akiwa Dar, huyo mwamba ameanza kuhit mbaya akiwa daraja mbili Arusha.

Ni vile watu wengi wa Dar huwa hawajui vitu vingine vinavyoendelea nje ya Dar.
Unajuaaa3ma a na ya kuhit mzeee sasa arushaaa tunzsemea tz nzimaaa sio chugaaa tu
 
Afande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)

Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)

Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)

Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?

Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)

Nick wa pili-Arusha

Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
Dr. Ongala Remmy, wa Super Matimila Band- Songea
 
Hao wote wamepatia umaarufu Dsm.
Mkuu, kwa jinsi unavyojibu basi suala linakua sio wasanii wa mkoani, bali unaongelea wasanii waliorekodi studio za nje ya Dar es Salaam ila ndani ya Tanzania.

Maana hiyo orodha iliyotajwa hapo karibu wote walikuwa wanakwenda Dar kwa ajili ya kurekodi tu ila makazi yao ni mikoani.
 
Afande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)

Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)

Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)

Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?

Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)

Nick wa pili-Arusha

Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
Mandojo na Domokaya ni Arusha. Watoto wa Arusha na mziki walianza kulekule
 
Ngoma za Marlaw zilozohit angali akiwa bado mkoani Iiringa ni Bembeleza na Ritha,
Wimbo wa Bembeleza ulirekodiwa mwaka 2005 katika studio za Iringa Records na maprodusa Tuddy Thomas pamoja na Temigunga Mahondo 'Temmy G', ukapigwa karibu mwaka mzima katika radio stations za Iringa, mpaka ukawa umeisha au umepungua chatini.

Mwaka 2006 mwishoni ndipo ukaanza kuchezwa radioni (Radio 1 nafikiri ndio walianza) na kilichofuata ni historia kuandikwa. Wakati huo Marlaw alikuwa ameshamaliza form 6 (2007 mwanzoni) na kurudi Dar ambako alirekodi wimbo wa Ritha (Mj Records) chini ya Macco Chali na baadae akarekodi wimbo wa Pii Pii (Ngoma Records) iliyokuwa chini ya Tudd ambae nae alihama Dar na upepo wa Marlaw.

Kwa hiyo kama suala ni kurekodi mikoani, basi wimbo ni Bembeleza, japo nao unapoanza kuchezwa redioni kwa nguvu, Marlaw alikuwa ameshamaliza shule Iringa na akawa Dar labda na Simiyu (nasikia amewahi kuishi huko pia).
 
Mkuu, kwa jinsi unavyojibu basi suala linakua sio wasanii wa mkoani, bali unaongelea wasanii waliorekodi studio za nje ya Dar es Salaam ila ndani ya Tanzania.

Maana hiyo orodha iliyotajwa hapo karibu wote walikuwa wanakwenda Dar kwa ajili ya kurekodi tu ila makazi yao ni mikoani.
Labda sijaeleweka vizuri naomba nichukue nafasi hii kueleweka vizuri, hapa twazungumzia kazi zilizoandaliwa mikoani na zikafanya vizuri nchini.
 
Wimbo wa Bembeleza ulirekodiwa mwaka 2005 katika studio za Iringa Records na maprodusa Tuddy Thomas pamoja na Temigunga Mahondo 'Temmy G', ukapigwa karibu mwaka mzima katika radio stations za Iringa, mpaka ukawa umeisha au umepungua chatini.

Mwaka 2006 mwishoni ndipo ukaanza kuchezwa radioni (Radio 1 nafikiri ndio walianza) na kilichofuata ni historia kuandikwa. Wakati huo Marlaw alikuwa ameshamaliza form 6 (2007 mwanzoni) na kurudi Dar ambako alirekodi wimbo wa Ritha (Mj Records) chini ya Macco Chali na baadae akarekodi wimbo wa Pii Pii (Ngoma Records) iliyokuwa chini ya Tudd ambae nae alihama Dar na upepo wa Marlaw.

Kwa hiyo kama suala ni kurekodi mikoani, basi wimbo ni Bembeleza, japo nao unapoanza kuchezwa redioni kwa nguvu, Marlaw alikuwa ameshamaliza shule Iringa na akawa Dar labda na Simiyu (nasikia amewahi kuishi huko pia).
Hivi ile "busu la pinki" aliipika Iringa au Dsm
 
Wewe ndio umemjua Joh Makini akiwa Dar, huyo mwamba ameanza kuhit mbaya akiwa daraja mbili Arusha.

Ni vile watu wengi wa Dar huwa hawajui vitu vingine vinavyoendelea nje ya Dar.
Kujulikana TZ nzima sio arusha tu
 
Boss kuhusu belle9 studio inaitwa rocker tz records,tris alikua producer,.kwa kuongezea kuna hussein machozi alitoka akiwa tetemesha records kwa kidbway,.pia kuna YAKI na roho 7,ngoma zao zili hit wakiwa iringa kwa amber
 
Back
Top Bottom