Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
X PLASTAZ (RIP father nelly)walitokea arusha moja kwa moja hadi majukwaa ya ulaya..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa belle 9 alirekodi rocker tz records, Jina lilinitoka kidogo,.Boss kuhusu belle9 studio inaitwa rocker tz records,tris alikua producer,.kwa kuongezea kuna hussein machozi alitoka akiwa tetemesha records kwa kidbway,.pia kuna YAKI na roho 7,ngoma zao zili hit wakiwa iringa kwa amber
ngoma inaitwa TONIGHTNi kweli kabida belle 9 alirekodi rocker tz records, Jina lilinitoka kidogo,.
Hapo kwa Yaki nakumbuka aliachia kazi flani ilisumbua sana nimeisahau jina ila mashairi yake ni >>> story za machiz wakikaa, kwamba sikuhizi nakosa furaha, am sorry kama nilijikwaa, hata tentz anajua we mshumaa maa, blinnblin unaniacha kwenye giza, kama chizi kila kona nakatiza, honey please hata Amba ungemueleza, cheki ulivyonichjzisha, nashindwa kusoma shuleni unanifelisha, natuma mesej majibu sipewi, napiga simu haipokelewi, napata wqzimu hata salamu siletewi
Shida kwa Yaki alivoachia hii hakupata hit nyingine
Goma lilihit ila baada ya hapo ni kama alipotea kwenye game, nilimfatilia alienda kusoma Chinangoma inaitwa TONIGHT
asinge dumu game gumu time ile halafu yeye rapa wa kawaida sana,.tonight ilibebwa na beat&chorusGoma lilihit ila baada ya hapo ni kama alipotea kwenye game, nilimfatilia alienda kusoma China
Alitoa ngoma nyingine kama vile 'jamaa yangu' chini ya produsa Amba na baadae aliacha kuimba serious akawa anajihusisha na utengenezaji wa video za muziki na pia matangazo.Goma lilihit ila baada ya hapo ni kama alipotea kwenye game, nilimfatilia alienda kusoma China
Aliifanya na Marehemu Roy Bukuku, G2 records - DSMHivi ile "busu la pinki" aliipika Iringa au Dsm
Sasa mkuu mbona wewe ndio unaenda nje ya mada? Mada imesema kujulikana Tz ukiwa bado mkoani, Joh alikuwa anajulikana daraja mbili na Arusha, Tz nzima kaja kujulikana baada ya kukutana Ludigo, yeye humuita Faza kabisa.Wewe ndio umemjua Joh Makini akiwa Dar, huyo mwamba ameanza kuhit mbaya akiwa daraja mbili Arusha.
Ni vile watu wengi wa Dar huwa hawajui vitu vingine vinavyoendelea nje ya Dar.
Ile ilikua G Records chini ya utengenezaji wa Marehemu Producer Roy (R.I.P).Hivi ile "busu la pinki" aliipika Iringa au Dsm
Huyu anatamba kwawasukumaBudagala wa Meatu shy town
Unaposema katobolea mkoani means kila kitu kimefanyika huko mkoan hadi video zen hio kaz ikaja kuhit nchi nzima haya tajaMkuu, kwa jinsi unavyojibu basi suala linakua sio wasanii wa mkoani, bali unaongelea wasanii waliorekodi studio za nje ya Dar es Salaam ila ndani ya Tanzania.
Maana hiyo orodha iliyotajwa hapo karibu wote walikuwa wanakwenda Dar kwa ajili ya kurekodi tu ila makazi yao ni mikoani.
Soma vizuri swali Mkuu. Nyie ndio huwa mnafeli mitihani kwa kutosoma maelekezo.Wewe ndio umemjua Joh Makini akiwa Dar, huyo mwamba ameanza kuhit mbaya akiwa daraja mbili Arusha.
Ni vile watu wengi wa Dar huwa hawajui vitu vingine vinavyoendelea nje ya Dar.
Zamani wasanii hawakua na video na walitoboa umaarufu kwa kiwango cha kutisha. Hatukua na video za Jay Moe bishoo, ama video za prof jay chemsha bongi, bongo DSM nkUnaposema katobolea mkoani means kila kitu kimefanyika huko mkoan hadi video zen hio kaz ikaja kuhit nchi nzima haya taja
Ngoma za kitambo hazikumtoa nje ya arusha, alitamba hukohuko matejoo na ungaltdJoh ngoma za kitambo sana achana na stimu zimelipiwa,
Still ngoma zilizohit walifanyia darKundi la N2N liliteka sanà kipndi hicho almost East Africa kwa ujumla
Hapana....nyingi walifanyia ArushaStill ngoma zilizohit walifanyia dar
Zitaje mkuu hizo zilizohit ambazo walifanya arushaHapana....nyingi walifanyia Arusha