Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliHapana....nyingi walifanyia Arusha
Ngoma ya kwanza iliyofanya vizuri na kumtambulisha Joh ni Hawapendi, ilifanywa na RoyJoh makini katobolea Dsm
Jo makini kaanza kupata umaarufu Dsm pale alipoibuka na kazi yake ya 'Hao' aliyokuwa ameitoa mwaka 2005,chini ya utayairishaji wake 'producer Ludigo
2006 alitoa chochote popote chini ya utayarishaji wake producer 'Ambrose Dunga.
Baada ya hapo alitoa hit nyingine "Zamu Yangu" akiwa Dsm.
JCB kijenge ArushaAfande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)
Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)
Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)
Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?
Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)
Nick wa pili-Arusha
Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
Jcb ngoma iliyompa umaarufu ni "Ukisikia Paa"JCB kijenge Arusha
Toka TZA, TZB mpaka C sina hata taksii!!Jcb ngoma iliyompa umaarufu ni "Ukisikia Paa"
Hizo nyingine ilikuwa anapata umaarufu ndani ya Atown
Shakii na Dunga uhusiano wao ukoje? Ni brothers au?Ngoma ya kwanza iliyofanya vizuri na kumtambulisha Joh ni Hawapendi, ilifanywa na Roy
Ndio ikafata Hao, hao ilikua kubwa pia lakini sababu alifanya video
Chochote popote hakufanya Dunga, ilifanywa na Shakii, but studio ilipofanywa aliyekuwa anaaminika sana ni Dunga
Kuna wasanii kama
PNC - Mama (Tetemesha Records(Mwanza) - Produsa Kid Bway)
Izzo Business - Pisha Nipite (Mbeya Records (Mbeya) - Produsa Kameta) hii ngoma ilishika namba 1 kwenye sindano kali za moto za kipindi cha Marehemu Fred Fidelis aka Fred Waa cha Vodacom (RFA)
View: https://youtu.be/z3JlO1tFToA?si=hBJsf1LH2CcUFJ8J
Dan Msimamo - Mic (Motika records (Tanga) - Produsa Mr. Ebbo) - Huyu mnyama alianzia Tanga na baadae akafika Dar na kutoa ngoma kali kibao kama siku nzuri inavyokwenda (Produsa Marehemu Complex)
Reek K Farida - honey (Tetemesha) ingawa huyu aliwahi rekodi album pale MJ (2002) ikiwa na nyimbo kama PESA na upendo wa mama, ila huu honey ndio ulimtoa sana maana aliufanya akiwa mtu mzima, na akaenda kusoma chuo kikuu cha Tumaini Iringa akakutana na Amba na Roho Saba, akafanya chorus za ngoma za Yaki (wangu), Roho saba (crazy) na nyingine nyingi. Na baadae wakaona na Roho 7 ambaye kwa sasa ni afisa mkubwa wa Jeshi huku Ree K Farida akiwa ni wakili wa kujitegemea na mjasiliamali.
Mimi sijui wewe ulikua mdau wa muziki miaka hiyo hao wasanii wanachomoka.. ila nilimfahamu PNC nikiwa Iringa huku yeye akiwa Mwanza, sasa Mwanza mpaka Iringa ni umbali mkubwa sana na hakukua na whatsapp wala facebook. Hiyo ni ushuhuda kuwa walitoboa Tanzania nzima.Hakuna ata nyimbo
Hakuna hata nyimbo moja kati ya hizo ulizozitaja iliyotamba Tanzania nzima,labda zilitamba uko mikoani mwao.Nyimbo zao zimekuja kutamba baada ya kuja dar na kuanza kurekodi na studio za dar
Duh, basi ongezea Malingita[emoji23]Budagala wa Meatu shy town
Yes ni nduguShakii na Dunga uhusiano wao ukoje? Ni brothers au?
Joh makini yupo DarJoh makini
Bell 9
Hapo ni marehemu mr.ebo tu ndio alikua anaingiza ngoma sokoni akiwa mkoaniAfande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)
Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)
Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)
Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?
Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)
Nick wa pili-Arusha
Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
Joh kapatia umaarufu dar. Ngoma aliyoingiza sokoni akiwa chuga ni moja tu na haikubamba kivileNdio uzitaje sasa, ziwe alozafanyia Arusha na zikawa maarufu nchini.