Weka hapa msanii alieweza kupata umaarufu nchini akiwa bado yupo mkoani

*Tunawakilisha
*Mchizi wangu Og,audio
Ipo nyingine walimshirikisha jamaa flan iv c mmbongo nmeisahau jina...
*Show love
 
Stamina - Morogoro
Moni Centrozone - Dodoma
 
Hapana....nyingi walifanyia Arusha
Sio kweli
Nako 2 Nako ngoma zilizohit na kuwatambulisha hazikufanyika Arusha
Wimbo wa kwanza Ndio zetu kuwakilisha ulifanyika Kenya kwa Erick musyoka na chizan brain
Bang ilifanywa na dunga
Mchizi wangu ilifanywa na producer Q the don mwanza kwenye studio za Mo records
Hata kabla ya nako 2 nako kutoa ndio zetu, wimbo wa kwanza official wa Lord eyez uliomtambulisha unaitwa Nawafunika ulifanyika Dar kwa shakii
 
Ngoma ya kwanza iliyofanya vizuri na kumtambulisha Joh ni Hawapendi, ilifanywa na Roy
Ndio ikafata Hao, hao ilikua kubwa pia lakini sababu alifanya video
Chochote popote hakufanya Dunga, ilifanywa na Shakii, but studio ilipofanywa aliyekuwa anaaminika sana ni Dunga
 
Afande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)

Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)

Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)

Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?

Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)

Nick wa pili-Arusha

Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
JCB kijenge Arusha
 
Shakii na Dunga uhusiano wao ukoje? Ni brothers au?
 
Hakuna ata nyimbo Hakuna hata nyimbo moja kati ya hizo ulizozitaja iliyotamba Tanzania nzima,labda zilitamba uko mikoani mwao.Nyimbo zao zimekuja kutamba baada ya kuja dar na kuanza kurekodi na studio za dar
 
Hakuna ata nyimbo
Hakuna hata nyimbo moja kati ya hizo ulizozitaja iliyotamba Tanzania nzima,labda zilitamba uko mikoani mwao.Nyimbo zao zimekuja kutamba baada ya kuja dar na kuanza kurekodi na studio za dar
Mimi sijui wewe ulikua mdau wa muziki miaka hiyo hao wasanii wanachomoka.. ila nilimfahamu PNC nikiwa Iringa huku yeye akiwa Mwanza, sasa Mwanza mpaka Iringa ni umbali mkubwa sana na hakukua na whatsapp wala facebook. Hiyo ni ushuhuda kuwa walitoboa Tanzania nzima.

Mwaipaya na Abubakari Sadick wameicheza ngoma hiyo ya mama, na ikawa kwenye chat za top 10 nk

Hata Sajna, alijulikana Tanzania nzima kwa wimbo wa Iveta ambao aliurekodi Mwanza na Kid Bway ndipo akaja Dar na kuendeleza umaarufu tu.
 
Afande Sele-Morogoro
(Mimi msanii)

Wagosi wa Kaya -Tanga
(Tanga kunani)

Mr. Ebo-Tanga
(mimi mmasai)

Man dojo na Domo kaya-Arusha?Dodoma?

Fiq Q-Mwanza
(Mwanza)

Nick wa pili-Arusha

Nakaaya-Arusha
(Mr. Politician)
Hapo ni marehemu mr.ebo tu ndio alikua anaingiza ngoma sokoni akiwa mkoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…