Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

kama haina madhara we nitajie tu mkuu
Hii dawa haina madhara kwenye mwili ila itaweza kukuletea msongo wa mawazo.

Anyway ukinywa hii dawa utafanya kitendo ambacho hutaamini wewe ndiyo ulifanya.

Madhalani, kuna mama mmoja ndugu alitamani kuona Mume wake anaacha pombe, aliinunua na kumpa mume wake, kilichotokea mumewe alitembea uchi wa mnyama toka bar mpaka nyumbani huku akisindikzwa na watoto wa mtaani.

Baada ya hapo kilichotokea ni historia, mzee alicha pombe na sasa anasali swala tano.
 
Hiyo tiba haiwezekan kuweka hapa mkuu ila yupo mwenye dawa ambae almasaidia babang mzazi ,na ndgu na jamaa zangu wengi tu na pombe kwao imekuwa historia sah ndo maana namwmbia akipata muda anichek nimpe maelekezo uzr huyo mtu na yeye yupo Mwnza pia ili akamwone ana kwa ana
Mkuu huyo MTU ndio yule anaefanya biashara yamazao sokoni?!
 
Hii dawa haina madhara kwenye mwili ila itaweza kukuletea msongo wa mawazo.

Anyway ukinywa hii dawa utafanya kitendo ambacho hutaamini wewe ndiyo ulifanya.

Madhalani, kuna mama mmoja ndugu alitamani kuona Mume wake anaacha pombe, aliinunua na kumpa mume wake, kilichotokea mumewe alitembea uchi wa mnyama toka bar mpaka nyumbani huku akisindikzwa na watoto wa mtaani.

Baada ya hapo kilichotokea ni historia, mzee alicha pombe na sasa anasali swala tano.
Sasa huko ni kurogana haifai hiyo
 
Hii dawa haina madhara kwenye mwili ila itaweza kukuletea msongo wa mawazo.

Anyway ukinywa hii dawa utafanya kitendo ambacho hutaamini wewe ndiyo ulifanya.

Madhalani, kuna mama mmoja ndugu alitamani kuona Mume wake anaacha pombe, aliinunua na kumpa mume wake, kilichotokea mumewe alitembea uchi wa mnyama toka bar mpaka nyumbani huku akisindikzwa na watoto wa mtaani.

Baada ya hapo kilichotokea ni historia, mzee alicha pombe na sasa anasali swala tano.
basi mkuu sitaki tena
 
Back
Top Bottom