MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
kama haina madhara we nitajie tu mkuuZipo ila ninayoijua mimi sita mshauri mtu, nilimegombana na mama mmoja mwaka wa 8 huu baada ya kutafutia dawa ampe mkewe, hiyo ni kiboko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama haina madhara we nitajie tu mkuuZipo ila ninayoijua mimi sita mshauri mtu, nilimegombana na mama mmoja mwaka wa 8 huu baada ya kutafutia dawa ampe mkewe, hiyo ni kiboko.
aaaah poa asante boss nshaanza toka jana usikuBaada ya kuswak baada ya dkka kama 3 unaweza tumia maj ya vgvg kdogo kusktulia
Mm na mafua karibu kila siku...msaada please
duuuuh naujua huu uwa mchungu balaa, ishu kuupata sasahuu mmea unaitwa patakuva.... kiboko ya maumivu ya jino/meno. Tafunia kwenye jino linalouma au tafuna halaf sukutua kwenye jino linalouma. Likiendelea kuuma within 30 mimutes njoo uniue.View attachment 2360198
Songwa ndo zipiTyphoid.....,..kwa kutumia songwa pori zile zinazotambaa chini
Kunywa supu ya samakiMimi naombeni nisaidieni mtu anayejua dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke sijui ndo kuongeza nguvu za kike
Unatumiaje???Lala na vitunguu ndani
Nna ushuhuda nayo
Njoo inboxMimi naombeni nisaidieni mtu anayejua dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke sijui ndo kuongeza nguvu za kike
Vitunguu maji unatafuna usiku kila ukitaka kulalaUnatumiaje???
Hii dawa haina madhara kwenye mwili ila itaweza kukuletea msongo wa mawazo.kama haina madhara we nitajie tu mkuu
Mkuu huyo MTU ndio yule anaefanya biashara yamazao sokoni?!Hiyo tiba haiwezekan kuweka hapa mkuu ila yupo mwenye dawa ambae almasaidia babang mzazi ,na ndgu na jamaa zangu wengi tu na pombe kwao imekuwa historia sah ndo maana namwmbia akipata muda anichek nimpe maelekezo uzr huyo mtu na yeye yupo Mwnza pia ili akamwone ana kwa ana
Ilimfanyaje?!Zipo ila ninayoijua mimi sita mshauri mtu, nilimegombana na mama mmoja mwaka wa 8 huu baada ya kutafutia dawa ampe mkewe, hiyo ni kiboko.
Sasa huko ni kurogana haifai hiyoHii dawa haina madhara kwenye mwili ila itaweza kukuletea msongo wa mawazo.
Anyway ukinywa hii dawa utafanya kitendo ambacho hutaamini wewe ndiyo ulifanya.
Madhalani, kuna mama mmoja ndugu alitamani kuona Mume wake anaacha pombe, aliinunua na kumpa mume wake, kilichotokea mumewe alitembea uchi wa mnyama toka bar mpaka nyumbani huku akisindikzwa na watoto wa mtaani.
Baada ya hapo kilichotokea ni historia, mzee alicha pombe na sasa anasali swala tano.
basi mkuu sitaki tenaHii dawa haina madhara kwenye mwili ila itaweza kukuletea msongo wa mawazo.
Anyway ukinywa hii dawa utafanya kitendo ambacho hutaamini wewe ndiyo ulifanya.
Madhalani, kuna mama mmoja ndugu alitamani kuona Mume wake anaacha pombe, aliinunua na kumpa mume wake, kilichotokea mumewe alitembea uchi wa mnyama toka bar mpaka nyumbani huku akisindikzwa na watoto wa mtaani.
Baada ya hapo kilichotokea ni historia, mzee alicha pombe na sasa anasali swala tano.
Lita tano kwa siku haitaleta mafuliko tumboni kweliSindano pamoja na unywaji maji wa kufa mtu ( Lita Tano daily)