datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 858
- 972
wapi pameandikwa mwanamke anaweza kuolewa na mume zaidi ya mmojaNa ww ikitokea umeumwa mwaka mzima je!?! Mkeo avumilie au atafute msaidizi!?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi pameandikwa mwanamke anaweza kuolewa na mume zaidi ya mmojaNa ww ikitokea umeumwa mwaka mzima je!?! Mkeo avumilie au atafute msaidizi!?!
kwani lazima kila kitu kiandikwe?wapi pameandikwa mwanamke anaweza kuolewa na mume zaidi ya mmoja
kwani lazima kila kitu kiandikwe?
Hati anafuata maandiko...mbona imeandikwa msizini lkn mnazini....kwan kwenda kinyume na maandiko unakufa au kwakua wanapenda down na kukandamiza wanawake ndo wanatumia maandiko kama kigezokwani lazima kila kitu kiandikwe?
Kwa dini yangu hakuna sehemu inayoruhusu mwanaume kua na mke zaid ya mmoja.wapi pameandikwa mwanamke anaweza kuolewa na mume zaidi ya mmoja
YEYE NTAMVUMILIA, ILA KWA USALAMA WA AKILI YANGU NTATAFUTA WENGINE WA KUMSAIDIA KWA MUDA.kwa mfano mkeo anumwa na amefanyiwa operesheni,na hatakiwi kuguswa kwa zaidi ya mwaka,je inawezekana kuvumilia?swali hili ni maalum kwa wanaume tu
nzuriHati anafuata maandiko...mbona imeandikwa msizini lkn mnazini....kwan kwenda kinyume na maandiko unakufa au kwakua wanapenda down na kukandamiza wanawake ndo wanatumia maandiko kama kigezo
nani alikuambia kuna usawa kati ya mwanaume na mwanamkeKwa dini yangu hakuna sehemu inayoruhusu mwanaume kua na mke zaid ya mmoja.
Na hata kama maandko yenu yanaruhusu mwanaume kua na wanawake zaid ya mmoja afu mwanamke anazuiwa kama binadam mwny akili lazima ujue hapa hamna usawa...kwanza as long as am concern nan kaandika hayo maanadiko kama sio binadam kama ww
usiufupishe ubongo wako kufikiri kiasi hichokwani lazima kila kitu kiandikwe?
Na ww nan aliekwambia hakuna usawa Kati ya mwanamke na mwanaume...nani alikuambia kuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke
Teh teh teh tehHakuna mfano wa hivyo labda kama ni oparesheni tokomeza au tezi jike.
Duh..mdogo mtu!!!Inwezekana kuvumilia ndiyo. Lakini kwa moyo na huruma waliyopewa wanawake, anaweza kukuambia, kuna mdogo wangu atakuwa anakuja kusaidia saidia hapa nyumbani, kwa hiyo ni wewe kujiongeza...
Ubaguzi,kwa hiyo mwanaume aoe 3hadi 4,na mwanamke avumilie?Nafikiri we ndio hujielewiwe mwehu hujielewi kabisa
kwa mfano mkeo anaumwa na amefanyiwa operesheni,na hatakiwi kuguswa kwa zaidi ya mwaka,je inawezekana kuvumilia?swali hili ni maalum kwa wanaume tu
Kama vile?kuna magonjwa mkuu, usipime
Wapi imeandikwa mwanamke hana nyege?wapi pameandikwa mwanamke anaweza kuolewa na mume zaidi ya mmoja