Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo kuna harufu ya utapeli anataka watu wamfuaye pm afu awapign
MPunga ushalowa mkakoboa usikuusiku half unataka upate faida na umesema mmeuza kwa hasara na ghala kuezuka io ishu yenu haihusiani na faida ya 20mil hahahahView attachment 2991694
Mwaka jana ghala letu lili ezuliwa na mvua na mpunga uliloa ikabidi tukakoboe usiku usiku kwa bei ya hasara tulikua tunabeba magunia huku tunalia. Hlf kuna kiazi anakwambia faida milioni 20 nje nje.
Nyie[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2991695
Umetoa hoja acha ijadiliwe Mkuu. Ulichopost hakina uhalisia acha kubishia ukweli.MPunga ushalowa mkakoboa usikuusiku half unataka upate faida na umesema mmeuza kwa hasara na ghala kuezuka io ishu yenu haihusiani na faida ya 20mil hahahah
Mkuu umetisha!Kununua gunia tupu 500/=
Kupima na kushona 200/=
Kutoa mzigo porini kuleta stoo 10,000/=+
Ushuru njiani 2000/=
Wapakiaji 300/=
Kushusha na Kupanga stoo 500/=
Hifadhi ya stoo 10,000/=
Kijana wa kukusanya 1000/=
Uhalibifu 500/=
Cost ya kila gunia Jumla Tsh. 25,0000/=+ 30,000 ya manunuzi ,= 55,000/=
Hapa bado gharama za kukaa kijijini kula na kulala.
Bado vibali/leseni ya Mazao kama laki 7 au 6.
Bado tips za madalali na viongozi wa Vijiji kwa kifupi hii kazi usiichukulie poa Field ina wenyewe.
Hapo nimefupisha mkeka, kuna wakati kutoa Mzigo porini/Majarubani kuuleta barabara ilipo inakutoka 10,000 hapo tena ulipe elfu 10 nyingine toka barabarani hadi stooo hapo jumla usafiri ushakata 20,000/=Mkuu umetisha!
Safari kidogo hadi Matombo Morogoro utajifunza mengiMkuu kwani kwa huku bara karafuu inalimwa wap
MPunga ushalowa mkakoboa usikuusiku half unataka upate faida na umesema mmeuza kwa hasara na ghala kuezuka io ishu yenu haihusiani na faida ya 20mil hahahah
Hapo nimefupisha mkeka, kuna wakati kutoa Mzigo porini/Majarubani kuuleta barabara ilipo inakutoka 10,000 hapo tena ulipe elfu 10 nyingine toka barabarani hadi stooo hapo jumla usafiri ushakata 20,000/=
Kijijni una stoo/Mahema/Maturubai.
Kijijini unakodi bodaboda ya kukuzungusha pointi moja hadi nyingine.
Kijijini huko umepanga nyumba, unakula, ununue malazi nk halafu mtu ameenda kununua mzigo msimu mmoja anakuletea ngonjera za faida 20M.
Anyway mkuu Karibu Kitambaa Cheupe ya Tabata kwanza tupate kitu baridi kusubiri foleni zipungue.
Umetoa hoja acha ijadiliwe Mkuu. Ulichopost hakina uhalisia acha kubishia ukweli.
Unapafahamu Majimoto Mlele huko Katavi? Pale mwaka 2020 ulikuja upepo ukalaza maghala yote zaidi ya 30 chini mpunga wote ukaloa.
Hasara zipo lazima uwe risk taker, kuuziwa mpunga mbegu mbaya kupo, kuuziwa pumba badala ya mpunga kupo, kuweka mzigo stooo ukakuta mwenye stoo kauza mzigo katoroka kupo, kuweka mzigo suppa stoo ukabadirishiwa ukawekewa kanyaboya kupo, kuuziwa mpunga wa wizi hatimaye ukakamatwa nao na muuzaji keshasepa kupo, kununua mzigo na mwenye gari akatoweka nao mazingira ya kutatanisha kupo nk nk.
Acha wadau wachangie kkadri ya uzoefu wao acha kubeza na kuleta ujuaji.
Umetoa hoja acha ijadiliwe Mkuu. Ulichopost hakina uhalisia acha kubishia ukweli.
Unapafahamu Majimoto Mlele huko Katavi? Pale mwaka 2020 ulikuja upepo ukalaza maghala yote zaidi ya 30 chini mpunga wote ukaloa.
Hasara zipo lazima uwe risk taker, kuuziwa mpunga mbegu mbaya kupo, kuuziwa pumba badala ya mpunga kupo, kuweka mzigo stooo ukakuta mwenye stoo kauza mzigo katoroka kupo, kuweka mzigo suppa stoo ukabadirishiwa ukawekewa kanyaboya kupo, kuuziwa mpunga wa wizi hatimaye ukakamatwa nao na muuzaji keshasepa kupo, kununua mzigo na mwenye gari akatoweka nao mazingira ya kutatanisha kupo nk nk.
Acha wadau wachangie kkadri ya uzoefu wao acha kubeza na kuleta ujuaji.
2022 nilinunua mahindi gunia chache Kwa shs 70,000 nikaja kuuza 130,000 nikajilaumu Kwa Nini sikununua mengi?.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Sie ndo biashara yetu hiyo kwa miaka 6 sasa na sijawahi pata hiyo faida[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Eti ununue mpunga 30k uje uuze 100K. Ni fix juu ya fix. Hujui kitu kaka kuhus biashara. Hii biashara inategemea na vitu vingi sana nikianza kuvisema tutakesha.
Faida pekee niliyowahi ku enjoy ni kuwekeza 5m na kupata 8m tena ni zali tu. Jua linakuja baada ya muda mwingi kupita tena bila kujua. Inshort ni biashara ya ups and downs nyingi. Nikikwambia changamoto zake utabaki mdomo wazi
Matombo/ mkambalani ma muheza tanga ipo ya kutoshaSafari kidogo hadi Matombo Morogoro utajifunza mengi
2022 nilinunua mahindi gunia chache Kwa shs 70,000 nikaja kuuza 130,000 nikajilaumu Kwa Nini sikununua mengi?.
2023 July nikaongeza kiwango, nikanunua Kwa shs 90,000 nikitegemea kati ya Jan- April 2024 bei itapanda!! Mtumee ....acha kabisa bei ni kati ya shs 35,000-45,000 nimeshindwa kuuza. Ikifika mwezi wa saba mavuno mapya yanaingia sokoni.
Unajisikia unachozungumza ivj huamini kam kwa sasa sokoni gunia ni 30k au huamini kama gunia la mpunga linaweza kufika 100k au unaona faida ya mil 20 kubwa sana kwako?Huyu hafanyi hii biashara achana nae. Sie tunaofanya tunaelewa vzr tu sasa mwache na ujuaji wake. Kuna kitu mwaka huu tumekutana nacho kinaitwa BIRIAINI. mchele umebadilika rangi na kua km wa njano. Mnunuzi akiona tu punje ya biriani anapita km hakujui vile. Hiyu hajui hii biashara ndo maana anasema unanunua mpunga elfu 30 unakuja kuuza laki moja. Sijawahi kupata hii faida kamwe. At least mwaka juzi kulikua na faida lkn haikufika hiyo. Huwezi kununua mpunga elfu 30 ukauza laki moja.
Sasa mbn simple math tu io ungenunua gunia 200 manake ungekuwa na faida ya mil 12 haya bs toa io 2m kama gharama nyinginezo ungebaki na 10mil mbn simple math sasa kweny mpunga kinashindikana nn sasa2022 nilinunua mahindi gunia chache Kwa shs 70,000 nikaja kuuza 130,000 nikajilaumu Kwa Nini sikununua mengi?.
2023 July nikaongeza kiwango, nikanunua Kwa shs 90,000 nikitegemea kati ya Jan- April 2024 bei itapanda!! Mtumee ....acha kabisa bei ni kati ya shs 35,000-45,000 nimeshindwa kuuza. Ikifika mwezi wa saba mavuno mapya yanaingia sokoni.
Naawambia na nani wakati saizi niko field na mm ndo nime share mchongo kwa wana hahahaSawa kafanye na ww upate million 20 faida. Mnaambiwa kitu hamtaki kusikia. Nenda kafanye mjomba
Mr negativity endelea kukatisha watu tamaaHapo nimefupisha mkeka, kuna wakati kutoa Mzigo porini/Majarubani kuuleta barabara ilipo inakutoka 10,000 hapo tena ulipe elfu 10 nyingine toka barabarani hadi stooo hapo jumla usafiri ushakata 20,000/=
Kijijni una stoo/Mahema/Maturubai.
Kijijini unakodi bodaboda ya kukuzungusha pointi moja hadi nyingine.
Kijijini huko umepanga nyumba, unakula, ununue malazi nk halafu mtu ameenda kununua mzigo msimu mmoja anakuletea ngonjera za faida 20M.
Anyway mkuu Karibu Kitambaa Cheupe ya Tabata kwanza tupate kitu baridi kusubiri foleni zipungue.
Bongo hautakiwi kuwa mchoyo lazima uhonge . Hela itakayo honga iweke katika bei utayouzia kenya. Ndio biashara zinavyofanyika.Kupata connection ya kupeleka huko ndio kimbembe.
Huyo ni mjinga, mtu umepiga bilioni mbili halafu unafanya biashara ya mazao. Akili za kisukuma bwana . Ni sawa una milioni 200 halafu unafungua genge.Kuna makala moja aliandika Mh Kingwangala kuhusu biashara ya mpunga. Mh aliingizwa cha kike na mtu anaemuamini sana. Itafuteni mtakuja kunielewa
Kwa kifupi hii biashara sio rahisi km mtoa mada alivyosema