warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #41
NinachomshangaaWema ni kitu kimoja tu, umri wa yeye kuolewa ndio huu hajitambuwi anasubiri ageuke kwasukwasu ndio aje MMU na thread za kipumbavu kulaumu wanaume yeye anadhani mwanaume gani asiyetaka kufaidi utamu wa mke wake wakati bado yuko hot?
Laana ya mume wake yusuph jumbe inafanya kazi, si aliolewaga akajifanya bado mtoto ndoa hata mwez haujaisha kakimbia mume, atajibeba